Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Bull crapola... Kiaje ufanye hivyo? Basi si usingemuoa tangiapo utafute au msubirie uliyempenda kwa dhati. Unataka kuoa msukule? Ukutumikie kuanzia A2Z ila akichoka vitimbwi yako eti aondoke mikono mitupu? Wanawake wa zamani hao au wavivu... Mwanamke haswa wa karne hii hakusubirii wewe au vijimali yako. Roho jiwe hiyo🤣
Dr.Dree alitingishwa sana kipindi na Corona.
Yule mwana mama wamekaa miaka mingi sana.

Duniani ni akili tu ...pesa mbele utu nyuma.

Unaweza pata Mwanamke Smart na mchakarikaji ikatokea asiwe na tamaa.Wewe na Mungu wako.
Ila ukikutana na pigo za huyo..ni ukishtuka mapema mwaga Unga na kula Mboga zote.
 
Fanya hivyo kama

1. Umezaliwa peke yako tu( Mama yako akifa inahesabika ni mali ya familia hivyo mgao unakua wa watoto wake wote,ikitokea umefariki kisha Mama yako yupo hai mkeo na watoto hawana vyao pale na mbaya nyumba ikiwa kwa jina la Mama yako ,mke na watoto wanaweza timuliwa hapo kama hawana maelewano mazuri na Mama mtu)

2. Mama yako sio mtu wa dini sana hasa muumini wa manabii na mitume. sadaka etc zitahusika kufilisi mali zako

3. Mama sio mtu wa vivoba na vikundi wala mpenda mikopo

4. Sio mtu wa sherehe kila kukicha,maisha ya mashindano.

5. Mama usipitwe(kila fashion yake)

6. Mtu wa mashosti,viben10
Hakuna mama anaetimua wajukuu zake... Kwani wadogo zangu wakiclaim kuna ubaya gani na ni damu yangu pure.. Kwa hilo tunatembea na Achraf hakimi... Ndio model wetu kwenye mahusiano.. Hapa hata infinix yangu ntaandikisha
 
Nadhani sasa mtamuelewa mama's boy Diamond platnumz dogo aliusoma mchezo mapema sana Kila kitu kipo kwa Jina la bi Sandra alijua ma Gold diggers kina mobetto wange mmaliza Hawa ma slay queen Wana la kujifunza, hata sikumoja Maza hawezi kukugeuka mwanae ila Hawa viumbe wa kuitwa mke sijui mzazi mwenzangu dakika sifuri tu, mwamba hakimi amecheza kama pele.
Mama'sboy 5 - slay queens 0
Tanasha alienda mahakamani kudai nusu ya mali, akakuta Mondi hana kitu aise, mali zote za mama yake, hii mbinu kali sana, tuanze kuitumia
 
Bull crapola... Kiaje ufanye hivyo? Basi si usingemuoa tangiapo utafute au msubirie uliyempenda kwa dhati. Unataka kuoa msukule? Ukutumikie kuanzia A2Z ila akichoka vitimbwi yako eti aondoke mikono mitupu? Wanawake wa zamani hao au wavivu... Mwanamke haswa wa karne hii hakusubirii wewe au vijimali yako. Roho jiwe hiyo[emoji1787]
Yeah kama ni 'vijimali' why vimtoe macho mpaka adai talaka?! Acha ushamba wewe mama sijui dada sijui mzee
 
Back
Top Bottom