Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Kwisha habari yake atakua anagegedwa tu. Hawezi kupata ndoa tena. Labda aje atumie ndumba za kibongo.Huyo tapeli kakutana na bahili sugu
Hivi hio kenge itapata kweli mwanaume Tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwisha habari yake atakua anagegedwa tu. Hawezi kupata ndoa tena. Labda aje atumie ndumba za kibongo.Huyo tapeli kakutana na bahili sugu
Hivi hio kenge itapata kweli mwanaume Tena?
😁😁😁Katufuraisha sana aisee.Aliwaza nje ya box alikuwa anakula mbususu uku kimoyomoyo anasema jikanyage😃😃
Alisoma Alama za nyakati mapema ndio maana akafanya hivyoJamaa ana roho ya ubinafsi mtu kakuzalia watoto wawili kwa nini mali andike za Mama yake😬😬
Hata kama jamanii mwanamke alikuwa anampa utulivu nyumbani akifika kiwanjani anacheza vizuri hata hilo hamlioni waja 😬Alikua anaecheza namba ngapi huyo mwanamke.!?? . Maana mostly hakimi Ana earn kupitia kwenye mpira
Sawa si wamegawana utulivu mahakamaniHata kama jamanii mwanamke alikuwa anampa utulivu nyumbani akifika kiwanjani anacheza vizuri hata hilo hamlioni waja 😬
yeye Hana kitu labda amuombe mama yake huyu kiboko.Hata kama jamanii mwanamke alikuwa anampa utulivu nyumbani akifika kiwanjani anacheza vizuri hata hilo hamlioni waja 😬
Jinsia yenu ina roho ya kibinafsi sana 😬😬Sawa si wamegawana utulivu mahakamani
Kula kelebu tulia nasema tuliaJinsia yenu ina roho ya kibinafsi sana 😬😬
Huyo Mama nae anashindwa hata kumstua Mwanamke mwenzie dah kweli adui wa Mwanamke ni Mwanamke mwenzie😁yeye Hana kitu labda amuombe mama yake huyu kiboko.
hakimi bwana hata nguo ni anamnunulia mama yake 😂😂😂Huyo Mama nae anashindwa hata kumstua Mwanamke mwenzie dah kweli adui wa Mwanamke ni Mwanamke mwenzie😁
Hii nimeipendajamani mueleweni hakimi sio kwamba hataki wagawane ni kwamba hana kitu sa watagawana nini hakimi ni muislam safi Ana utu lakini yuko juu ya mawe 😂😂😂😂😂😂
Nunua novida naja kulipa 😁Hao mnaowataka ninyi wakina eboue type wapo.. Ila historically mtu yeyote alie mu entertain mwanamke aliishia kula za uso.. Ndio maana hata wasayansi na walio fanya mambo makubwa hawakuwekeza muda wao na akili zao kwa wanawake
[emoji23][emoji23][emoji23] eti yuko juu ya mawejamani mueleweni hakimi sio kwamba hataki wagawane ni kwamba hana kitu sa watagawana nini hakimi ni muislam safi Ana utu lakini yuko juu ya mawe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kamata Mirinda nyeusi hapo chaphawakuwekeza muda wao na akili zao kwa wanawake
Ndio shida ya kuwa kwenye mahusiano na mtoto wa Mama😬hakimi bwana hata nguo ni anamnunulia mama yake 😂😂😂
napiga nyetoHivi Hauna demu na mbususu unaijua utamu wake, na x huangalii