Mke wangu alibakwa na baba yake mdogo aliyekuwa anamlea akiwa na miaka 13, leo ukweni akataka arudie tena!

Huwa tu nailumbuka story ya baba yako alivyowapeleka ndugu zake kulala wodini
Hivi wenzangu hua mnapata wapi ujasiri wa kuvumilia mambo ya namna hii...😕 yaani hapa ulitakiwa ulete simuluzi ya wewe kutoka jela kwa kosa na kumpiga baba mkwe alie taka kumbaka mkeo..😑
 
Hujamwachia alama yoyote Baba Mdogo ???

Hata kumkata kidole kimoja Cha mguuni?.


Basi angalau mfikishe kwenye sheria
 
Yaan huyo Mzee anamwitaje Binti chumbani kwake na huyo Binti akili Hana mpaka aingie chumbani Kwa Mzee? Alishindwa nini kumwambia atoke nje.
 
Muwe mnakumbuka kuwa hao wadada wa kazi, wajomba sijui au watoto walio zaliwa na nani kwenye familia zenu huko kwa mnayo wafanyia watakuwa wake za wengine hapo baadae.
 
We bwana una chuki na kila kabila na mataifa. Unachukia waarabu, wasomali, waethiopia, watusi, warundi, bado makabila ya weusi wenzako wa hapa nyumbani nayo huyapendi.
Hapana, sichukii kabila lolote bali naeleza ukweli niujuao kuhusiana na wahusika. Kama ukweli ni chuki, basi ninawachukia. Ila kama ukweli ni ukweli, basi sina chuki na yeyote. Wote ni watoto wangu.
 

Ana laana huyo baba
 
Ana laana huyo baba
Ukitaka kujua hali si hali,nenda kwenye uzi wa watu waliotembea na ndugu zao wa karibu,utajua hujui mengi.Huyo anabaka,yule anamlawiti dadaake,yule anatembea na mtoto wa babaake mkubwa n.k.
 
Mkwe umeamua kuja kunianika huku. Au unazani sipo Jamii foramu.
 
Najua umeuandika huu uzi ili mimi nikasirike niandike mapovu hapa ila kwa leo hunipati😁😁😁 ila ebu ngoja kwahiyo hata hujamfunza adabu kidogo huyo baba mdogo alafu unarudi zako Dar!!?
Wanaume wa Dar wako na matatizo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…