miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Kumpatisha mimba furing holidays siyo issue. Huyo unaishi naye kila siku. Hizo ndo siku za kumcherish. Fantasy ya siku mbili ndo unaona umemaliza?Ho my God nina mapezi buan na huyu bonge wangu, hamna mwaka ambao cijamtoa holiday ya 3-7days isipo kua miaka miwili ya jpm vyuma vilivo kanza sanaa nilishindwa kutenga kiasi mimba za watoto wangu wote amezipata tukia holiday, ndo navo penda, ila ananikera kunifuatilia fatilha mie mtaji wangu ni kichwa changu kinahitaji kupumzika.
Hivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3.
Sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Kunisaidia nini tena kwa lipi mbona una negativity sentiments.
Hapana ctamuacha ila nataka kujua kama na wezangu wana experience haya ya kwangu,......kupata wife material sio rahisi mambo mengine ana yafanya poa, anapika vzri she is nice in bed so waterly though hawezi×3, ana mapezi na watoto ni msafi, nk ila hataki kunipa uhuru nyumbani nikifungua laptop anakasilika ni kika kimya anaaza kiniuuliza unawazaa nini? nikilala anagonga mlango paka nashituka yaani in short ana ni kera ineed my spaceImagine... yaan hampens kbs mkewe. Anamwona keroo. Hapa anatafuta justification ya kumuacha. Aliexpect tutamsupport kwa hili ila imekua tofauti. Atakataa ila kuna siku atamtafyta na asimpate
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Huko kufatiliwa fatiliwa ndio utulivu wa akili yako sasa siku akiondoka ndio utajua bila huo unaouona usumbufu kichwa chako hakipati utulivuHo my God nina mapezi buan na huyu bonge wangu, hamna mwaka ambao cijamtoa holiday ya 3-7days isipo kua miaka miwili ya jpm vyuma vilivo kanza sanaa nilishindwa kutenga kiasi mimba za watoto wangu wote amezipata tukia holiday, ndo navo penda, ila ananikera kunifuatilia fatilha mie mtaji wangu ni kichwa changu kinahitaji kupumzika.
Nilimuoa na 105kg nikapambana nikaishia kwenye 95kg ni mvivu wa mazoezi, na anapenda kula vuzuri tu nakaona isiwe shida nikamuacha hivo.
Kwani mapezi lazima yawe hivo kutompa mwenzio space, huo ni udhaifu sio mapenzi.
Huyu mwanaume ana tatizo kubwa hafu ana msingizia mkeUmekuja kuomba ushauri hapa au umekuja kufanya nini? Sasa umeanzisha uzi wa nini? Kumsema tu mkeo ama?
Ulishawahi kuongea naye na kumuomba akupe privacy yako? Alisemaje? Na kama alikataa ulichukua hatua gani kama mwanaume?
Nimeanza kuhisi pengine tatizo ni wewe na siyo mkeo!
Pambana jombaa acha kuendelea kushinda hapo home. Anatakiwa akirudi kutoka kazini asikukute nenda vijiweni huko hukosi hata shale becha kwa siku.Kama tubadilishane me wakwangu hataki hata kuniona
Hanaga kazi za kufanya au jambo la kumu keep busy?Yaani naongea nae hata leo asubh kabla ya uuzi hu, ila anatoka tu kwa masaa sio kwa siku anarudi vile vile,.. simu nilisha mkataza kama hamna issue usipige akiacha sanaa nikama massa matano baada ya hapo atakubipu tu, unampigia unamuuliza nini, atakuambia simu imejipiga yenyewe loh, ule ni udhaifu sio mahabah
Utamfanya na yeye ni sex machine, hakuna jingine maishani mwao, ni ngono tu.Piga mashine tu, we akikulalia vua vyupi piga mashine
Akipata kazi ya ubusy ka kuuza genge ataacha usumbufuKazi za kufanya nizitoe wapi zaidi ya kupika na kupakua ana dip ila hataki kwaajiriwa anasema ameridhika kuka home
[emoji23][emoji23]Sasa hapo cha ajabu kitu gani privacy ya nini hali ya kuwa mshaonana vikojoleo.
Mkuu, watu wa JF wakishakuelewa then, what next?Hapana mkuu nimeishi na matumaini kwamba atakuja kubadilika kwa but not naona hiyo tabia imekua sugu habadiliki na suweji kuipeleka kwa wazazi isipo kua hapa jf tu ndokuna variety ya watu ndo wanaweza kunielewa, wengi watz hawajui umuhimu wakua na mda wa privacy
Si anapenda kuwa nawe kila mahali, anzisha safari za kutembea kwa mguu umpe zoezi.Nilimuoa na 105kg nikapambana nikaishia kwenye 95kg ni mvivu wa mazoezi, na anapenda kula vuzuri tu nakaona isiwe shida nikamuacha hivo.