Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

Size ya kati maana we ni chubby [emoji39] sio chikonda!

Chubby girls ndo wanaongoza kwa nyodo mjini maana unakuta mtoto ana mguu wa kwenda, tumbo hana, chuchu kifuu, anakashepu na katako flani kakichokozi! Ukimuangalia mtoto amekatika vizuri yani kaenda mvinje hivi bana wee usiombee akivaa zile skin jeans zenu na ka top blouse amazing hivi!

Unafikiri kwanini mnatupangaga foleni hata wahuni 6 kwenye simu? Yani kila mmoja anakula mzinga kwa wakati wake ilimradi tu apate fursa ya kuchopeka mpini panapo unyevu yani acha tu!
Hahaha! Mi nikajua chubby ndio wanene mku
 
Mimi namuelewa Jamaa sana
Changamoto yake inafanana na yangu niliyoipitia
Jamaa anapata shida sana ..Naelewa anachoongelea
Ila muache afanye hivyo tu ...Kuna watu wanatafuta wanawake wa namna hiyo wanawakosa
 
Hunitakii mema eh!!! Ujue tu mpaka BAK kaamua hiyo picha asiiweke hapa basi picha ni noma hata kusema kilichomaanishwa na picha ile pia ni noma ila vibonge huku mitandaoni ME wanawapandisha chart sana. ME wengi sasa wanataka wawe na Kibonge.
😂😂😂

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikuwa anamaanisha nini BAK?
 
Kunisaidia nini tena kwa lipi mbona una negativity sentiments.

Rafiki angu nikimaanisha akipata mtu wa kumpa attention ambayo ww unaona kero and doesn’t matter ni aina gan ya mtu atampata basi rafiki angu ataacha hata kukusalimia jion ukirudi nyumban.

Afu umesema ni mkeo... si mnakatazaga wake kua na marafiki either wakike au wakiume asa wewe ndo rafiki ake... her partner in crime[emoji81][emoji81][emoji81][emoji847] why unamchoka sasa mzoee tu rafiki angu
 
Hahaha! Mi nikajua chubby ndio wanene mku
Aah wapi chubby girl yuko na round shape wanaita! Sio bonge yani!
BCCDBB51-83D0-4854-AFD4-589ECF1B4515.jpeg
340B4276-9F13-4FD5-BE03-81D675C3309B.jpeg
01C559C7-1E75-4928-84E2-F0DDEC456FC6.jpeg

Sampuli hizo
 
Rafiki angu nikimaanisha akipata mtu wa kumpa attention ambayo ww unaona kero and doesn’t matter ni aina gan ya mtu atampata basi rafiki angu ataacha hata kukusalimia jion ukirudi nyumban.

Afu umesema ni mkeo... si mnakatazaga wake kua na marafiki either wakike au wakiume asa wewe ndo rafiki ake... her partner in crime[emoji81][emoji81][emoji81][emoji847] why unamchoka sasa mzoee tu rafiki angu
Sawa ila naona kama ni nanga kasha shusha kwangu, yule habaduki na mimi pia na mpenda ila incase akitoka kwa kupata mgine wa kuweka mateka, kamwe simbembelezi kurudi, nta furahia tu maisha angu ya upeke after role am turning 40yrs.......na nina basics za maisha.
 
Nadhani nimefanya kila jambo kumtengea mda tukae nae ila haridhiki, kuna kipindi nimeanza kuangalia tamithiria za kihindi kwenye Azam TV hata sizijui wala hazinivutii ila nakaa sebule masaa mawili anilalie wakati anatizama na mimi nafanya unafiki eti na enjoy wakati hata sina interest nazo kumbuka huyu mke kanilalia mapajani karibia masaa mawili ni mzito ila navumilia.....what else should I do ni mfurahishe?
Wewe kama yote yameshindikana omba transfer ya kikazi kafanyie mkoa mwengine hapo alipo muache na watoto mtaongea kwenye simu tu!
 
Hivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3.

Sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Samahani mkuu,mm ni mdogo sana kwako
Ila sio kama ndio inavyotakiwa iwe mtu hataman company ya mtu mwingine zaidi ya mume/mke
Akianza kutoka na mashosti sijui kama utapenda.

Je,wewe ni una hela eeeh?
Maana madeko yanakuja na mfuko unasemaje
 
Mkuu husigeneralise shape ya mtu haiwezi ku determine tabia ya mtu.
Vibonge wengi wana roho nzuri na ndio maana wananenepa! Mungu anawabariki na afya tu sababu wana roho nzuri sana ila wale vimbau mbau wengi wanafiki na roho ya kwanini ndio maana hawanenepi hata wakinywa mafuta ya kula kila siku litre 1!
 
Back
Top Bottom