Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

Hivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3.

Sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Atakua dada yangu huyo kabisa[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3.

Sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Haya ni mambo madogo sana kiasi cha kukufanya uwe bored unless humpendi.

You have got a good woman, keep her loved and cherished. Wanawake ambao hawajaharibiwa kisaikolojia na nginja nginja za mahusiano kwenye ujana wao mara nyingi wako hivyo.

Kuna namna unatakiwa kumfanya awe satisfied (and by this simaanishi sex) ili uendelee na shughuli zako ama kuwa na mda wa utulivu as a man.
 
Mimi nakushauri usibadilike coz jinsi unavokua mgumu kufanya anachotaka ndo ye anazidisha upendo.. Ukijifanya ubadilike uwe romantic hutampa tena mtihani wa kuumiza kichwa awaze jinsi gani akuvute ili umkolee..

If U do everything a woman wants U to do u'll kill the attraction she has for you..

If u keep on being a difficult guy to please she'll keep on luvin U n being attracted to U.

Utakuja kunishukuru.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Haya ni mambo madogo sana kiasi cha kukufanya uwe bored unless humpendi.

You have got a good woman, keep her loved and cherished. Wanawake ambao hawajaharibiwa kisaikolojia na nginja nginja za mahusiano kwenye ujana wao mara nyingi wako hivyo.

Kuna namna unatakiwa kumfanya awe satisfied (and by this simaanishi sex) ili uendelee na shughuli zako ama kuwa na mda wa utulivu as a man.
Sawa ushauri mzuri mkuu ila najitahidi kumlizisha kwa kumpa attention ila ninapo mpa attention anazidi kuomba attetion nyingine zaidi, kuna kipindi nilatamani kumpiga kibao, kuna siku aliniamsha usuku wa manane niko deep a sleep eti amepata ndota anataka anisimlie usiku huo huo, nika muuliza kwani asbhi utakuepo basi subiria utanisimulia asbhi,.....akaanza kulalamika eti citaki kumsikiliza, simpendi nk, yaani mtu kama huyu utampa nini akupe privacy yako duh
 
Sawa ushauri mzuri mkuu ila najitahidi kumlizisha kwa kumpa attention ila ninapo mpa attention anazidi kuomba attetion nyingine zaidi, kuna kipindi nilatamani kumpiga kibao, kuna siku aliniamsha usuku wa manane niko deep a sleep eti amepata ndota anataka anisimlie usiku huo huo, nika muuliza kwani asbhi utakuepo basi subiria utanisimulia asbhi,.....akaanza kulalamika eti citaki kumsikiliza, simpendi nk, yaani mtu kama huyu utampa nini akupe privacy yako duh
Hhahahhahahan pole.
We ngoja ukutane na sisi mabinti Farao ndo utaelewa maana ya kuamshwa kusimuliwa ndoto usiku.
Endelea tu!!
 
Although kweli kitu kina kiasi.
Ila nikwambie tu, namna unaielezea
Ni zaidi ya hiki unakisema hapa.
 
Nadhani mwamba ndo ana issues za kisaikolojia kibao na siyo huyo mkewe. Tungekuwa na therapists na marriage counselors wazuri wangeweza kumsaidia. Wangeenda wote pamoja ili psychological entanglements zao zikawe sorted out. Ukimsoma vizuri huyu "Mr. Introvert" unaona kabisa kuna tatizo mahali.

View attachment 1975024

hii sipingi brother
 
Back
Top Bottom