Baba yako alikupa kila kitu kuanzia kula, kulala, nguo na elimu zote za duniani na ahera, kuna kimoja tu ulikifata kwangu, hicho nitakupa kwa ukarimu kabisa. Vingine tupambane tuHuduma gani hiyo?
Aaaah we! Acha ukaidi, nilifuata hivyo na alivyostop kunipa baba.Baba yako alikupa kila kitu kuanzia kula, kulala, nguo na elimu zote za duniani na ahera, kuna kimoja tu ulikifata kwangu, hicho nitakupa kwa ukarimu kabisa. Vingine tupambane tu
😂😂😂
Ila wasipime DNA watoto.Pole mkuu, hiyo miaka 6 ya mawasiliano yao ni uthibitisho tosha, kama unasubiri uthibitisho zaidi jiandae kisaikolojia.
Yaani pamoja na kula chumvi nyingi hivi unaniita bro badala ya Babu, Mjukuu 😜Upo good sana bro
Huo uzee baki nao wewe,unataka nikose kula mjini....Yaani pamoja na kula chumvi nyingi hivi unaniita bro badala ya Babu, Mjukuu 😜
Thanks though 🙏
Umenitajia Kiko umefanya nitabasamu Kwa furaha.
Hahaha................njoo unisalimie basi hapa GRHuo uzee baki nao wewe,unataka nikose kula mjini....
Babu ujengewe sanamu pale bungeni.Umenitajia Kiko umefanya nitabasamu Kwa furaha.
Njoo moja kwa moja kwenye hili boma kubwa, utanikuta naota moto 😜
Kama mkongojo...aisee umenikosa.... kilakitu nifanye mie🙌Hahaha................njoo unisalimie basi hapa GR
Ukifika Mapokezi ulizia Mzee mwenye mvi anayetumia mkongojo kutembea 😜
Japo kuwabadirisha watu mind sets zao ni jambo linalohitaji muda kidogoBabu ujengewe sanamu pale bungeni.
Muwe mnawaelimisha hawa watoto kina Manyanza na Nikifa MkeWangu Asiolewe
Sasa si muachane? Unasubiri nini?Kifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
Mwanamke akitamka maneno haya hajatamka kwa bahati mbaya amemaanisha hivyo suluhisho ni moja tu mwache haraka sana ili akiwa nje na wewe ndiyo ajifunze huyo anayempa kiburi anamdanganya tu kwakuwa yupo kwenye ndoa tayari.amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
Hahaha.........mambo kusaidiana Mjukuu, nitachora nane ukichora 7 😜Kama mkongojo...aisee umenikosa.... kilakitu nifanye mie🙌
🤣🤣Ulishindwa mtihani.... Utakula ulikopeleka mboga mkuu🤒Hahaha.........mambo kusaidiana Mjukuu, nitachora name ukichora 7 😜
Nimeshaanza mazoezi hapa 🏋️
Njoo tunywe kahawa wakati huo Wakala wangu anakamilisha kuhamisha mwamala kwenda kwenye ile akaunti yako ya Fedha za Kigeni🤣🤣Ulishindwa mtihani.... Utakula ulikopeleka mboga mkuu🤒
🤣🤣🤣😅🎶🎶🎧Kifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini