Bado natafakari hatua za kuchukua sitakiwi kukurupuka ukizingatia jambo lenyewe limetokea usiku wa kuamkia leo.na leo ndio nasepa kurudi kuleSasa majibu yote unayo, wewe ndo uliyesikia sasa unataka sisi tuthibitishe nini?
Huyo uliyesikia ndo kidume Sasa wewe tuambie umechukua hatua gani nasi tujifunze.
Uliyechapiwa ni wewe Sasa inakuwaje funzo kwa wengine?Nimeleta hapa ili iwe funzo kwa wengine.kiap changu nakitunza maana hakuna anaenifahamu humu
HakikaUkweli mchungu, lakini lazima tuukubali tu jinsi ulivyo.
Kumchunguza sana mkeo kwa sasa ni kujitafutia presha na stress zisizo na sababu.
Bado Mara ya pili mkuuWewe hujaolewa?
Bora usempe, ili jamaa aendeleze libeneke.It
Itakuwa.hapa nimepanga nisepe fasta nirudi mkoa wa sehemu yangu ya kazi.maana naweza haribu bure
😂😂😂😂🙊Au labda alishajua jamaa kabadilisha jina huko alipo
Kushindana kutoka nje hasara kubwa kwa mwanamke kuliko mwanaume sababu ya maumbile ya via vya uzazi.akinya bata...
Jina lako kifupi chake ni nini!?Tumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vzr ru toka juzi.jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
Kwahiyo ww unamuuliza mkeo kitu ulichosikia akitaja halafu utegemee aseme NDIYO?Tumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vzr ru toka juzi.jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa kuendelea.hapa naona kabisa nachapiwa ila anakataa kuwa hajataja jina lolote zaidi ya kifupi cha jina langu.
Magufuli aliharibu ndoa nyimgi sana kwa kuhamia Dodoma.🤣🤣🤣🤣
Penzi la mbali halina uaminifu kaka