Mke wangu hajali familia

Mke wangu hajali familia

yani hakuwa hivyo mwanzoni, nimekaa nae zaidi ya miaka 5 kabla ya kuzaa nae mtoto wa kwanza..na alikuwa poa tu...balaa limeanza baada ya kuzaa mtoto wa pili ndio akaanza kutojali
Na shida inaanzia hapo. Yale maisha uliishi nae miaka 5 ndio amechukua kuwa ndio mfumo mtaishi miaka yote. Wanawake huhesabu maisha yameanza pale unapomposa na kumuoa, kinyume chake anajua mpo mazoezi ya vitendo ya ndoa, hamjaanza kuishi pamoja hata kama mnaishi pamoja.
 
Habari wana JF!!
Ebu wadau naombeni ushauri wenu. Nina mke na watoto wawili. Mke wangu ana changamoto moja….hataki kupika na pia hajali watoto. Yaani tunaweza kukaa siku mbili tatu tunakula mikate na chai tu. Na yeye ni mama wa nyumbani sio kwamba ana shughuli kivile za kumkwamisha yeye kupika HAPANA. Nikimwambia kwanini hapiki anadai sijaenda sokoni kununua vitu (asa nawaza si yeye ni jukumu lake kwenda sokoni) maana pesa za biashara tunazofanya ni yeye anashika kwahyo sio kwamba haendi kwasababu hana pesa.

Kuhusu watoto ndio kabisa hawalishi wala hawaogeshi, na watoto ni wadogo chini ya miaka 5. Yaani watoto wasipojipambania wenyewe kula ndio basi hawali.
Kuna saa nakasirika kinoma lakini nakosa namna. NIFANYEJE
Tuambie kwanza je ulichunguza ukoo wao au yeye ana ugonjwa wa akili? Pili tuambie anatoka mkoa gani? Usije mlaumu shemeji yangu bure kumbe wewe ni sehemu ya tatizo kisha njoo huku sasa tubadilishane mawazo sisi tulishapitia huko na tuna wajukuu sasa tunapeta uzeeni tunapendana mno sababu tulishajua tatizo
 
Yan hapa ninavosoma tu natetemeka kwa hasira Hiv nyie Wanaume wenzangu mnafeli Wap au n huu mfumo jike Yan ingekuwa mm ndowew sijui ingebak story tu yan Wanaume tumepungua Sana
 
Mkuu mbona Kuna wanawake hutafuta pesa na wakirudi hufanya kazi za nyumbani

nitoke huko nimechoooka na foleni za Dar nifikie makazi? Hapana aisee nitafanya weekend.

Dada yupo na ninamsimamia vizuri ili kila kitu kiende sawa, ila kwa mama wa nyumbani ambaye kazi yake kuchat tu ashindwe kufanya kazi?
 
Kwanza mimi huwa si deal na mwanamke ambaye hatumii akili anatumia hisia muda wote. Mimi mwanamke napendana nae kwa pande mbili

Pande ya kwanza ni mwanamke kama mpenzi ambako huko ni uzuri wake wa mwili, usafi, ufundi wake kindani, mahaba yake kwangu kama mwanaume wake, na vinginevyo vyote vinavyohusika na mapenzi kwa maana ya raha za dunia.

Na eneo la pili ambalo ndilo nyeti ni eneo la mwanamke kama partner wa maisha kwa maana ya shughuli za kijamii uchumi (social economy) na kijamii siasa ( social political).

Huku napenda namna mwanamke anakuwa msaidizi kwenye kutunza mali na fedha tunazotafuta kwa kuwa mshauri mzuri kwenye matumizi na bajeti na hata kama hayupo vema awe tayari kujifunza na kutafuta maarifa mapya ili kunisaidia kuwa imara.

Lakini pia katika malezi ya watoto wangu awe mama mzuri na awe na influence nzuri kwa watoto kama mama yao na balozi wangu kwa watoto. Sio unawajengea watoto fikra kuwa baba ni mtu tu tupo nae ila hana umuhimu, watoto wasione umuhimu wa jitihada zangu na mchango mkubwa kwao na maisha yetu.

Lakini pia napenda awe kiunganishi kizuri cha familia. Sio tunagombana watoto wanasikia anawaambia baba yenu anataka kunidhuru, huo ufala sitaki kusikia. Awe mtetezi wangu popote pale awe tayari kwenda chini na mimi pale nitakapoporomoka sio anikwepe kutafuta unafuu halafu nikirudi juu alete kwato zake, nitachapa makofi.


Kimsingi hayo ni machache naweza sema kumdescribe mwanamke anavyotakiwa.

Kwa namna umemuelezea mkeo inanipa mashaka wakati unakutana nae ulikuwa una malengo gani na yeye na mlikubaliana nini. Kwasababu mahusiano yanaweza kuwa ni temporary au permanent. Ni vema nyote mkaelewana before hamjaseal the deal.

Sasa mkeo anaonekana hayupo tayari kucommit kwako, inaweza kuwa alikuja kwako kwa lengo la starehe na haya unayomwambia afanye si sehemu ya anachojua mlikubaliana kufanya aidha verbally au nonverbal.

Sasa kama mambo hayaendi ni heri usipoteze muda zaidi. Hao watoto kuwalea haitaki wazazi wanaobishana juu ya majukumu ambayo hata kuku au mbuzi hufanya bila kubishana. Huyu ulie nae ni wazi hataki hayo majukumu unayoshinikiza afanye kwasababu zake binafsi.

Hapo fanya maamuzi magumu. Safari Nzuri ya maisha yako na watoto wako isihujumiwe na mtu ambaye anajua wazi kuwa anakuharibia na anajiharibia. Mpeleke kwao kuwa mnashindwana majukumu, akakae huko atafute cha kufanya maana majukumu yake hayawezi.

Akiwa huko atajitafakari, na akikutafuta kuwa anataka kurudi mwambie akirudi basi aje kitofauti, upuuzi wake aache huko huku aje mpya kwa kufuata malekezo uliyomwambia kinyume chake asitegemee kuvumiliwa bali atarejea huko huko tena.

Kama atarudi na kujirekebisha ni sawa ni mama watoto wako hivyo mpokee na muendelee. Kinyume na hapo, akiamua kuvimba kichwa na kukaa kimya au kama akirejea na madudu yake , ni swala la mwaka m'moja tu kufanya maamuzi ya kutafuta mwanamke mwingine na kulea watoto wako bila kushirikiana na huyo mkeo wa sasa.

Wanawake wapo wengi sana huko nje.

Kwanza mimi huwa si deal na mwanamke ambaye hatumii akili anatumia hisia muda wote. Mimi mwanamke napendana nae kwa pande mbili

Pande ya kwanza ni mwanamke kama mpenzi ambako huko ni uzuri wake wa mwili, usafi, ufundi wake kindani, mahaba yake kwangu kama mwanaume wake, na vinginevyo vyote vinavyohusika na mapenzi kwa maana ya raha za dunia.

Na eneo la pili ambalo ndilo nyeti ni eneo la mwanamke kama partner wa maisha kwa maana ya shughuli za kijamii uchumi (social economy) na kijamii siasa ( social political).

Huku napenda namna mwanamke anakuwa msaidizi kwenye kutunza mali na fedha tunazotafuta kwa kuwa mshauri mzuri kwenye matumizi na bajeti na hata kama hayupo vema awe tayari kujifunza na kutafuta maarifa mapya ili kunisaidia kuwa imara.

Lakini pia katika malezi ya watoto wangu awe mama mzuri na awe na influence nzuri kwa watoto kama mama yao na balozi wangu kwa watoto. Sio unawajengea watoto fikra kuwa baba ni mtu tu tupo nae ila hana umuhimu, watoto wasione umuhimu wa jitihada zangu na mchango mkubwa kwao na maisha yetu.

Lakini pia napenda awe kiunganishi kizuri cha familia. Sio tunagombana watoto wanasikia anawaambia baba yenu anataka kunidhuru, huo ufala sitaki kusikia. Awe mtetezi wangu popote pale awe tayari kwenda chini na mimi pale nitakapoporomoka sio anikwepe kutafuta unafuu halafu nikirudi juu alete kwato zake, nitachapa makofi.


Kimsingi hayo ni machache naweza sema kumdescribe mwanamke anavyotakiwa.

Kwa namna umemuelezea mkeo inanipa mashaka wakati unakutana nae ulikuwa una malengo gani na yeye na mlikubaliana nini. Kwasababu mahusiano yanaweza kuwa ni temporary au permanent. Ni vema nyote mkaelewana before hamjaseal the deal.

Sasa mkeo anaonekana hayupo tayari kucommit kwako, inaweza kuwa alikuja kwako kwa lengo la starehe na haya unayomwambia afanye si sehemu ya anachojua mlikubaliana kufanya aidha verbally au nonverbal.

Sasa kama mambo hayaendi ni heri usipoteze muda zaidi. Hao watoto kuwalea haitaki wazazi wanaobishana juu ya majukumu ambayo hata kuku au mbuzi hufanya bila kubishana. Huyu ulie nae ni wazi hataki hayo majukumu unayoshinikiza afanye kwasababu zake binafsi.

Hapo fanya maamuzi magumu. Safari Nzuri ya maisha yako na watoto wako isihujumiwe na mtu ambaye anajua wazi kuwa anakuharibia na anajiharibia. Mpeleke kwao kuwa mnashindwana majukumu, akakae huko atafute cha kufanya maana majukumu yake hayawezi.

Akiwa huko atajitafakari, na akikutafuta kuwa anataka kurudi mwambie akirudi basi aje kitofauti, upuuzi wake aache huko huku aje mpya kwa kufuata malekezo uliyomwambia kinyume chake asitegemee kuvumiliwa bali atarejea huko huko tena.

Kama atarudi na kujirekebisha ni sawa ni mama watoto wako hivyo mpokee na muendelee. Kinyume na hapo, akiamua kuvimba kichwa na kukaa kimya au kama akirejea na madudu yake , ni swala la mwaka m'moja tu kufanya maamuzi ya kutafuta mwanamke mwingine na kulea watoto wako bila kushirikiana na huyo mkeo wa sasa.

Wanawake wapo wengi sana huko nje.
kipindi nakutana na huyu mama watoto wangu kwanza nilikuwa bado nasoma wakati tayari yeye ana kazi yake. Naweza nikasema alinipenda from the scratch sikuwa na kitu wala muelekeo wa kuwa na kitu(kama ilivyo kwa vijana wengi wa vyuoni),,, baadae akapata ujauzito akajifungua akiwa kwao na akaendelea kukaa kwao, Nilipomaliza chuo nikapata ajira za hapa na pale nikaona sio mbaya nikalipa mahari nimchukue mzazi mwenzangu kwakuwa tumefahamiana kwa muda mrefu na tayari alikuwa na ujauzito wa mtoto wetu wa pili, Kwahyo rasmi nimeanza kuishi nae huu ni mwaka wa pili sasa naishi nae, kwa maadili ya kwao ni mtu alienyooka sana maana nyumbani kwao hawataki mambo ya kipumbavu,,,sasa nashindwa kuelewa hizi tabia anazonioneshea amezipata wapi maana sio mtu wa mitandano na hana marafiki zaidi ya wale aliokuwa anafanya nao kazi enzi hizo ambao anaongea nao tu kwa simu. Routine yake anashinda home mara nyingi from monday to monday, hata akiulizwa mji umekaaje hajui kabisa maana huwa hatoki.
KWAKWELI AM CONFUSED
 
Yan hapa ninavosoma tu natetemeka kwa hasira Hiv nyie Wanaume wenzangu mnafeli Wap au n huu mfumo jike Yan ingekuwa mm ndowew sijui ingebak story tu yan Wanaume tumepungua Sana
Asa ungefanyaje mkuu! ungemuacha kwa hasira au!
 
Huyo ukimletea mfanyakazi ndo utakuwa umeharibu kabisa, yaani itakuwa dada nichomekee simu chaji, dada chukua hela kaninunulie vocha, dada pika chai, dada niletee rimoti hiyo, mwishowe dada wa kazi anakuwa Kama punda.

Kama walivyosema member wengi, huyo cha muhimu mpeleke kwao, then weka mfanyakazi ndani msimamie atunze watoto wako vizuri.


Mkeo kipindi yupo kwao huko usimsumbue kabisa, fanya kwamba unaweza bila yeye maana chanzo cha migogoro mingi ya ndoa ni pale mwanamke anapoona kwamba labda Mwanamme hawezi bila yeye labda kiuchumi, kimawazo nk.
 
Kwanza mimi huwa si deal na mwanamke ambaye hatumii akili anatumia hisia muda wote. Mimi mwanamke napendana nae kwa pande mbili

Pande ya kwanza ni mwanamke kama mpenzi ambako huko ni uzuri wake wa mwili, usafi, ufundi wake kindani, mahaba yake kwangu kama mwanaume wake, na vinginevyo vyote vinavyohusika na mapenzi kwa maana ya raha za dunia.

Na eneo la pili ambalo ndilo nyeti ni eneo la mwanamke kama partner wa maisha kwa maana ya shughuli za kijamii uchumi (social economy) na kijamii siasa ( social political).

Huku napenda namna mwanamke anakuwa msaidizi kwenye kutunza mali na fedha tunazotafuta kwa kuwa mshauri mzuri kwenye matumizi na bajeti na hata kama hayupo vema awe tayari kujifunza na kutafuta maarifa mapya ili kunisaidia kuwa imara.

Lakini pia katika malezi ya watoto wangu awe mama mzuri na awe na influence nzuri kwa watoto kama mama yao na balozi wangu kwa watoto. Sio unawajengea watoto fikra kuwa baba ni mtu tu tupo nae ila hana umuhimu, watoto wasione umuhimu wa jitihada zangu na mchango mkubwa kwao na maisha yetu.

Lakini pia napenda awe kiunganishi kizuri cha familia. Sio tunagombana watoto wanasikia anawaambia baba yenu anataka kunidhuru, huo ufala sitaki kusikia. Awe mtetezi wangu popote pale awe tayari kwenda chini na mimi pale nitakapoporomoka sio anikwepe kutafuta unafuu halafu nikirudi juu alete kwato zake, nitachapa makofi.


Kimsingi hayo ni machache naweza sema kumdescribe mwanamke anavyotakiwa.

Kwa namna umemuelezea mkeo inanipa mashaka wakati unakutana nae ulikuwa una malengo gani na yeye na mlikubaliana nini. Kwasababu mahusiano yanaweza kuwa ni temporary au permanent. Ni vema nyote mkaelewana before hamjaseal the deal.

Sasa mkeo anaonekana hayupo tayari kucommit kwako, inaweza kuwa alikuja kwako kwa lengo la starehe na haya unayomwambia afanye si sehemu ya anachojua mlikubaliana kufanya aidha verbally au nonverbal.

Sasa kama mambo hayaendi ni heri usipoteze muda zaidi. Hao watoto kuwalea haitaki wazazi wanaobishana juu ya majukumu ambayo hata kuku au mbuzi hufanya bila kubishana. Huyu ulie nae ni wazi hataki hayo majukumu unayoshinikiza afanye kwasababu zake binafsi.

Hapo fanya maamuzi magumu. Safari Nzuri ya maisha yako na watoto wako isihujumiwe na mtu ambaye anajua wazi kuwa anakuharibia na anajiharibia. Mpeleke kwao kuwa mnashindwana majukumu, akakae huko atafute cha kufanya maana majukumu yake hayawezi.

Akiwa huko atajitafakari, na akikutafuta kuwa anataka kurudi mwambie akirudi basi aje kitofauti, upuuzi wake aache huko huku aje mpya kwa kufuata malekezo uliyomwambia kinyume chake asitegemee kuvumiliwa bali atarejea huko huko tena.

Kama atarudi na kujirekebisha ni sawa ni mama watoto wako hivyo mpokee na muendelee. Kinyume na hapo, akiamua kuvimba kichwa na kukaa kimya au kama akirejea na madudu yake , ni swala la mwaka m'moja tu kufanya maamuzi ya kutafuta mwanamke mwingine na kulea watoto wako bila kushirikiana na huyo mkeo wa sasa.

Wanawake wapo wengi sana huko nje.
 
Mkeo hana dadake au mdogoye? Fungasha yeye na watoto aende kwao kwa wiki moja tu, akirudi amenyooka.
Sasa watoto wanahusikaje hapa katika hii adhabu, yeye aondoke mwenyewe awaache watoto ili roho imuume atakapowakumbuka wanae.
 
kipindi nakutana na huyu mama watoto wangu kwanza nilikuwa bado nasoma wakati tayari yeye ana kazi yake. Naweza nikasema alinipenda from the scratch sikuwa na kitu wala muelekeo wa kuwa na kitu(kama ilivyo kwa vijana wengi wa vyuoni),,, baadae akapata ujauzito akajifungua akiwa kwao na akaendelea kukaa kwao, Nilipomaliza chuo nikapata ajira za hapa na pale nikaona sio mbaya nikalipa mahari nimchukue mzazi mwenzangu kwakuwa tumefahamiana kwa muda mrefu na tayari alikuwa na ujauzito wa mtoto wetu wa pili, Kwahyo rasmi nimeanza kuishi nae huu ni mwaka wa pili sasa naishi nae, kwa maadili ya kwao ni mtu alienyooka sana maana nyumbani kwao hawataki mambo ya kipumbavu,,,sasa nashindwa kuelewa hizi tabia anazonioneshea amezipata wapi maana sio mtu wa mitandano na hana marafiki zaidi ya wale aliokuwa anafanya nao kazi enzi hizo ambao anaongea nao tu kwa simu. Routine yake anashinda home mara nyingi from monday to monday, hata akiulizwa mji umekaaje hajui kabisa maana huwa hatoki.
KWAKWELI AM CONFUSED
Basi labda ni kumdekeza unaishi nae kama unalipa fadhila na sio kama unaishi na mke wake.

Nadhani haina haja ya kugombana ni swala la kumpa makavu tu na kumpa maamuzi magumu kuwa arudi kwao au ajirekebishe tabia.

Na hii ndio changamoto ambayo wanaume huwa hatujui kusema tunataka mwanamke wa kuvumiliana nae mwisho wa siku huyu mwanamke ukishafanikiwa anakuwa sasa kama mzazi kwako au askari anakuchunga na kukulisha fadhila hadi inapunguza upendo.
 
Huyo ukimletea mfanyakazi ndo utakuwa umeharibu kabisa, yaani itakuwa dada nichomekee simu chaji, dada chukua hela kaninunulie vocha, dada pika chai, dada niletee rimoti hiyo, mwishowe dada wa kazi anakuwa Kama punda.

Kama walivyosema member wengi, huyo cha muhimu mpeleke kwao, then weka mfanyakazi ndani msimamie atunze watoto wako vizuri.


Mkeo kipindi yupo kwao huko usimsumbue kabisa, fanya kwamba unaweza bila yeye maana chanzo cha migogoro mingi ya ndoa ni pale mwanamke anapoona kwamba labda Mwanamme hawezi bila yeye labda kiuchumi, kimawazo nk.
Ila mabeki tatu ndio maana wanalipizia kisasi kwa watoto maana hawa wanawake wa kisasa hawana adabu kwenye kutuma tuma.

Unakuta baba ukirudi kazini unajifikiria mara mbili mbili kumtuma dada wa kazi ila mkeo hawazi kumtuma tuma hata vitu ambavyo angeweza fanya mwenyewe. Unakuta kadada kanamind mkeo kanatamani asafiri maana akiwapo ni kero kwake.
 
Mtu aende labour mara 2 asilishe watoto wake wenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo mkuu lazima kuna mahala uliteleza pia
 
Atafute hela na akirudi afanye kazi za nyumbani Mkuu upo Serious?

Kazi ya mke ni nini, tena ambaye yupo nyumbani tu?
huyu mwenzetu kuna mahali alikosea, wanawake huwa wanaanza taratibu, unashangaa mara hapiki badala yake mnakula kiporo cha wali siku hiyo imepita mara akanunue chips siku nyingine hiyo nayo inapita, kama hakukaza mwanzoni enzi za bebibebi unadhani kwa sasa ataweza. Acha aendelee kukomunika tu.
 
Back
Top Bottom