Mke wangu hanipi haki ya tendo la ndoa, kila siku amechoka

Mke wangu hanipi haki ya tendo la ndoa, kila siku amechoka

Attachments

  • Screenshot_2023-08-17-16-20-00-45.jpg
    Screenshot_2023-08-17-16-20-00-45.jpg
    45.7 KB · Views: 11
Mimi ni mwanaume nimeoa, ndoa ina miaka mitano sasa. Mke wangu amebadilika sana, amekua ni mtu wa kila siku usiku yeye analalamika tu amechoka, na akiingia kitandani ni skeunde 10 tu amelala. Kuna kipindi nikawa nalazimishia, ikawa kama nambaka, anatanua tu miguu nafanya yangu, hadi namaliza.

Hii tabia inanikera sana, ila yeye haoni kama ni kero. Hii hali imeanza kwa muda wa miaka mitatu sasa, kabla ya ndoa wakati wa uchumba hakua na tabia hii, labda kwa vile alikua anakuja tu sleep overs za weekend chache chache.

Imekua ni shida kubwa sana kwenye ndoa yetu, tunagombana mara nyingi sababu ya hili, ila yeye anajiona hana makosa, analalamika tu kuwa napenda sana ngono, nataka ngono kila siku kama chakula. Yaani saa zingine usiku huwa namuangalia akiwa amelala kitandani, natamani nimchape mangumi, au hata nimfunike na mto afie mbali huko!!

Kuna kipindi niliamua kama kumpa adhabu nione kama anajielewa, sikumgusa karibu mwezi mzima, naingia zangu tu kitandani nalala bila kumgusa wala kumsumbua.

Cha ajabu, hata hakushtuka na kuona hiyo ni hali ya hatari, mwezi mzima tulilala bila kufanya chochote na bila hata yeye kushtuka wala kusema chochote. Mimi sio mtu wa kuchepuka kabisa kiasili, ni mtu wa kukaa na mwanamke mmoja.

Sasa kwa hatua iliyofikia, ninachopanga kichwani kwangu atakuja kushtuka wakati ameshachelewa sana, namtafutia dawa yake, atakuja kujuta. Wanawake acheni huu ujinga, mnavunja ndoa zenu kwa mikono yenu wenyewe.
Tatizo unavuta miguu kusaini barua za promotion. Mpaka muda huu huyu angeshakuwa Bosi kitambo mno.

Watu miaka 50 hatujarudi home!
 

Attachments

  • IMG-20240119-WA0058.jpg
    IMG-20240119-WA0058.jpg
    44.9 KB · Views: 11
Sorry bro, nikueleze tu ukweli.
Ile sehemu inakazi mbili. sio kukojoa tu.
Njaa ya mwili kunasehemu anashibishwa.
 
Yeye anasema shida uchovu, anachoka sana hivyo usiku anakua hoi. Yeye ni mtu ambae saa tatu tu usiku ameshalala.
Aaaah itakuwa ni kweli jaribu kufanya nae muda mwingine sio huo wa kulala asubuhi, au mchana.
 
Huyu mwanamke kama atakuwa so mchaga nimekaa pale , kama ni mchaga bro wala usihangaike chukua tu mwingine coz wadada wengi wa kichaga wakishafika kwenye 35+ aisee hukata hisia za kimapenzi hizo kesi zipo nyingi sana tu na kama Huwajui unaweza kuhisi wanatoka nje ya ndoa kumbe Wala hata nadhani ni Sababu za kimazingira na maumbile huwaathiri wengi . Note Mtanisamehe Watani zangu wachaga ila tatzo Hilo lipo kwenu sana
 
Mkuu kuna wanawake wengine hawajafunzwa na hawajui mwanaume hisia zake zipo vipi, Mimi nimeachana na mpenzi wangu, anatabia kama ya huyu mke wa jamaa, yeye hataki kabisa kunipa tendo yeye anataka tu niwe nampa pesa tu na tutoke out na ukimgusia maswala ya sexy hataki, alikuwa ana nipa sexy kwa mwaka mara moja na akipenda yeye.
Kuna watu ni wavumilivu
 
Acha uboya kiumbe wa kiume asiechepuka ni Mbwea na njiwa tu hao ndo huwaga na jike mkoja tu mpaka kufa

Tafuta mchepuko piga mashine ikiwezekana uwe unalala huko huko unarudi home asubuhi na usimpe attention huyo mke wako atazidi kukupanda kichwani

Anakubania uchi wengine anawapa wanamgeuza wanavyotaka. Tafuta mpango wa kando huyo mtemeeee
Kwisha
 
Uzazi wa mpango,hormones imbalance kunenepa baada ya kujifingua.. hizo zote zinaweza kua sababu mkuu badala ya kurusha lawama tu jaribu kua muelewa na mtafute suluhu, achana na hao viwambaza walokaza anagongwa nnje.
 
Sasa kwa hatua iliyofikia, ninachopanga kichwani kwangu atakuja kushtuka wakati ameshachelewa sana, namtafutia dawa yake, atakuja kujuta. Wanawake acheni huu ujinga, mnavunja ndoa zenu kwa mikono yenu wenyewe.

Thread ipo hapa 😀

For sure kina mama huwa wanajisahau sana, sasa sijui huwa ni mabadiliko ya hormones, uchovu au kupoteza mvuto kwa mwanaume wake...

Mwisho wa siku, michepuko haiwezi kukoma...
 
mimi ndo napitia wakati kama wako ila nimekuja kugundua kuna mtu anampa furaha so hisia na mimi hazipo tena ila wa kwangu ni tamaa ya pesa coz sidhani kama kwangu kuna kitu alikosa ila amempata mtu mwenye uwezo zaidi yangu nimeamua kuachana nae japo na mpenda ila sina jinsi,najua nitapata mtu sahihi coz mapenzi usilazimishe utaishia kuumia na kushindwa kufanya mambo ya muhimu.japo naumia ila yataisha tu
 
Ongea naye kirafiki ,kwani kukosa tendo humfanya mtu kuwa na hasira umwambie kabisa atoe Dukuduku Kama analo,wewe la kwako ni kunyimwa haki yako mwisho mwambie tuanze upya Kama Kuna Jambo halikuwa sawa.

Baada ya hapo mpe mda wa kupumzika yaani ashinde nyumbani tu kulala, ukiwa kazini mtumie sms za uchokozi za kimahaba na Maandalizi
Ukiona bado ujue hakuna uchovyu au kukwazika uchukue hatua zaidi
Nimeshaongea nae sana, hamna chochote hapo, hana hasira zozote wala hakuna ugomvi wowote kati yetu, zaidi ya ugomvi wa kuhusu hilo la yeye kuwa amechoka kila siku.
 
Kuna kitu kuhusu Kunyimwa tendo kimejificha nyuma ya pazia.

Kwa mwanamke sex is earned.

"My husband has been so good to me let me he deserve to be rewarded with sex"
Sijawahi kumkosea kitu kikubwa, na mara nyingi naongea nae kwa upendo sana kumuuliza shida nini, hajawahi sema kuwa kuna maudhi toka kwangu yanayomkata stimu
 
Back
Top Bottom