Mke wangu hanipi haki ya tendo la ndoa, kila siku amechoka

Tatizo unavuta miguu kusaini barua za promotion. Mpaka muda huu huyu angeshakuwa Bosi kitambo mno.

Watu miaka 50 hatujarudi home!
 

Attachments

  • IMG-20240119-WA0058.jpg
    44.9 KB · Views: 11
Sorry bro, nikueleze tu ukweli.
Ile sehemu inakazi mbili. sio kukojoa tu.
Njaa ya mwili kunasehemu anashibishwa.
 
Yeye anasema shida uchovu, anachoka sana hivyo usiku anakua hoi. Yeye ni mtu ambae saa tatu tu usiku ameshalala.
Aaaah itakuwa ni kweli jaribu kufanya nae muda mwingine sio huo wa kulala asubuhi, au mchana.
 
Huyu mwanamke kama atakuwa so mchaga nimekaa pale , kama ni mchaga bro wala usihangaike chukua tu mwingine coz wadada wengi wa kichaga wakishafika kwenye 35+ aisee hukata hisia za kimapenzi hizo kesi zipo nyingi sana tu na kama Huwajui unaweza kuhisi wanatoka nje ya ndoa kumbe Wala hata nadhani ni Sababu za kimazingira na maumbile huwaathiri wengi . Note Mtanisamehe Watani zangu wachaga ila tatzo Hilo lipo kwenu sana
 
Kuna watu ni wavumilivu
 
Kwisha
 
Uzazi wa mpango,hormones imbalance kunenepa baada ya kujifingua.. hizo zote zinaweza kua sababu mkuu badala ya kurusha lawama tu jaribu kua muelewa na mtafute suluhu, achana na hao viwambaza walokaza anagongwa nnje.
 
Sasa kwa hatua iliyofikia, ninachopanga kichwani kwangu atakuja kushtuka wakati ameshachelewa sana, namtafutia dawa yake, atakuja kujuta. Wanawake acheni huu ujinga, mnavunja ndoa zenu kwa mikono yenu wenyewe.

Thread ipo hapa 😀

For sure kina mama huwa wanajisahau sana, sasa sijui huwa ni mabadiliko ya hormones, uchovu au kupoteza mvuto kwa mwanaume wake...

Mwisho wa siku, michepuko haiwezi kukoma...
 
mimi ndo napitia wakati kama wako ila nimekuja kugundua kuna mtu anampa furaha so hisia na mimi hazipo tena ila wa kwangu ni tamaa ya pesa coz sidhani kama kwangu kuna kitu alikosa ila amempata mtu mwenye uwezo zaidi yangu nimeamua kuachana nae japo na mpenda ila sina jinsi,najua nitapata mtu sahihi coz mapenzi usilazimishe utaishia kuumia na kushindwa kufanya mambo ya muhimu.japo naumia ila yataisha tu
 
Nimeshaongea nae sana, hamna chochote hapo, hana hasira zozote wala hakuna ugomvi wowote kati yetu, zaidi ya ugomvi wa kuhusu hilo la yeye kuwa amechoka kila siku.
 
Kuna kitu kuhusu Kunyimwa tendo kimejificha nyuma ya pazia.

Kwa mwanamke sex is earned.

"My husband has been so good to me let me he deserve to be rewarded with sex"
Sijawahi kumkosea kitu kikubwa, na mara nyingi naongea nae kwa upendo sana kumuuliza shida nini, hajawahi sema kuwa kuna maudhi toka kwangu yanayomkata stimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…