Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

Mke uta oa mpaka lini wote wana mapungufu mbali mbali huwezi kupata angalau mwenye ukamilivu wa 70% asikundaganye mtu wanawake wana udhaifu mwingi kiliko wanaumme.
Na huwezi jua mapungufu hayo mpaka uishi naye,....hawa viumbe 😥😥🥱
 
Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.

nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Huo udhaifu unatatulika,fanya ifuatavyo:
1.kaa chini uongee nao huo udhaifu na muulize,je angependa ufanyeje ili umsaifir kuuondoa huo udhaifu
2.ukiona hana jibu basi mwambie arudi nyumbani kwao ambapo wewe ongea na mama yake juu ya udhaifu huo,ili umpe fursa mama yake ampe mafunzo ya mwezi mzima ili huo udhaifu wote uishe
 
Ulivyo mzembe na wewe unamsapoti eti tunywe juice, are you serious bro?
Mkuu kweli kama lunch alianza kupika saa sita mchana kaivisha saa 11 kwahiyo akianza saa 11 kupika sapa si mutakula asubuhi yake saa 7 usiku hapo utalala saa ngapi natumia busara kimuambia ache kupika tunywe juice tu.
 
Mwanamke asiyejua kupangilia kazi huwa na character za kiume.....mimi napika,nafua,Nathan jf na whsup na bado chakula kwa wakati nyumba safi...simple tu
Hongera kama uko hivo, mme wako kapata kifaa kama huna madhaifu mengine makubwa zaidi . bigup
 
Mfundishe , mpangie ratiba tangu asubuhi mwambie mke wangu Leo sitoki kuanzia asubuhi adi jioni nataka ninywe chai kabla ya saa nne asubuhi chakula Cha mchana Nile kabla ya saa Saba na.cha jioni kabla ya saa mbili huwa wabishi lakini ukimuonngoza mnatoboa.
Ushuhuda
Mimi wangu SIKUKUU ZOTE KUBWA
lazima nisimamie show namuuliza utahitaji Nini na Nini ninavyoweza kununua ninanunua Mimi jioni yake yaani Michelle nyama Kama kuku na matunda ikifika asubui namkurupusha mapema nakumuambia Anza kufanya hiki na hiki huwa nakumbuka ratiba za home kwetu bi makubwa nae alikuwa hivyohivyo lakini siku tukibaki watoto na mshua ratiba zilikuwa zinaenda fasta fasta hata katika sherehe za makinasani na jumuia ukiwaachia wenyewe mambo hayaende kazima mumteue dume mmoja mwenye kiherehere asiye na aibu kuwapelekesha.
Unajua wanawake wanapenda kukuachia sana na wako slow na mambo yao anachotaka asubuhi unaondoka unamwambia naenda kunua mkate na mihogo wewe pika chai fasta ukirudi urudi na samaki au nyama yaani mboga nzurinzuru halafu mwambie kabla haujaunga niandalie supu kidogo kilamara muulize hiyo supu bado ndio wanapenda namna hiyo mi wangu nishamjulia.
Mwanaume hutakiwi kulalamika Kama chakula kumecheoewa au kuingia ingia jikoni lakini Kuna namna ya kumpush kula mmoja na stail yake
 
Mweleze mapungufu yake, akionekana kuelewa mwombe akajifunze mapishi kwenye mgahawa unaoeleweka jirani na home.
Inafanya kama unamwombea field kwa mwenye mgahawa, na yeye akipata muda anaenda kama sehemu ya mapumziko apatapo muda.
Hii imesaidia wanawake kadhaa walioridhia
 
Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.

nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Unakujaje kumwanika mke wako huku? Hayo si majadiliane ndani kwa ndani? Sisi huyo tutaweza kumshauri?
 
Unakujaje kumwanika mke wako huku? Hayo si majadiliane ndani kwa ndani? Sisi huyo tutaweza kumshauri?
Nimepata ushauri mzuri humu na relief ya moyo, sijamuanika kwasababu hawamjui na mimi hawanijui.
 
WEwe kiufupi utotoni ulikua junior.me ni mkorofi sana hadi mke nikikohoa tu anatulia maana anajua makofi nje nje.mwanamke kama huyo kwangu angenyooka ndani ya wiki tu hata kama hajui kupika
 
Yeye kuto kujua kupika sio issue, Issue ni kukataa dada wa kazi, huo ni ubinafsi.

Alete sasa hata wadogo zake wa kike kama wapo.
 
Back
Top Bottom