Huu ndiyo ushauri wa mwanaume.MKUU
M NI KAMA WEWEE INFACT MJUMBE ALINIAMBIA NIWAPIGIE NDUGU NKATOKA NA POLISI TUKAENDA PUB MOJA YA MJUUMBE WAKALAMBA MOJA MOJA NIKISUBIRIA MJUMBE AJE NA BARUA YA UDHAMINI
KUFIKA BOSI ANA NYOTA MOJA AKASEMA SAME NILALE NKAMWAMBIA MKUU SIWEZI NKAHISI MAZINGIRA YA HELA
AKAJA DOGOWANGU AKAPIGA KWA SISI N INSPECT PALE MJINI AKAJA FASTER..BEFORE ALIPIGA NIKAACHIWA
AKAJA AKANIONYA ACHA KUPIGA MWANAMKE NKASEMA POA.....
AKANSHAURI NIENDE KWAKE NKAENDA KUBADILI NGUO NKAENDA KWAKE THR. CLUB
NKARUDI ASBH SLPN USIKU CLUB
AKANSHAURI NISISOGEE HOME KWA MDA
USHAURI KAA KAMA SIKU 7 NDUGU...UKIMSOGELEA ANAPIGWA TENA NA TENA
M NAKUMBUKA NI MERUDI AKANZA KUNYUMA UNYUMBA NKAONA NAMCHAPA TENA NKAONDOKA BAADA YA WIKI KADHAA NDIO NKARUDI HOME
KINGINE MWONYESHE HUKUPENDA
PISHANA NAR HUMO NDAN KAMA SEVEN DAYS KAMA MNA VYUMBA VIWILI HAMA CHUMBAN NAKWAMBIA ULE MPISHANO LAZIMA AFUNGE UMSAMEHE
BILA MUNGU NGUMU SANA
Baba yangu hasingeweza kushauri ujinga eti mkeo akikweka ndani hakikisha ameondoka nyumbani? Huyo baba yako ndiye unamwita anajielewa? Badala akwambie ukitoka usiende kwako njoo huku daa baba yako atakuwa kizazi kipya, wenzio wazee wetu walikuwa niwazee wa kutafuta ili hekima. Nenda kwa Babu yako atakufundisha jinsi yakuishi na mke Kwa baba yako umefeli pakubwaNa katika kujielewa huko kuna mzee alijielewa zaidi kuliko baba ako ndio ukapatikana
Alafu una busara sana we mzeeKweli umempiga siyo vizuri, ila kukupeleka
polisi ndiyo mbaya zaidi.
Hao mashosti ipo siku watamshauri akuwekee sumu ili ufe kabisa.
Mwanaume anipeleke polisi tunaachana hapo hapo.
Jifanye bwege mwambie aende kwao utamfuata huko, Jishauri then utaamua.
Mie sijatoka barabaraniMkuu unafahamu maana ya neno familia???,
Nakushauri msamehe lakini usitamke wewe rudi nyumbani halagu fungal hiyo matrimonial room fanya ukatabati fungal hafi vitu kama CCTV yaani fanya mkwara sana kisha ikikamilika rudi chumbani kwako. 😄 anakwambia atakuwa na tahafhari zisizo za kawaida hapo nyumbani. Haji kurudia ujinga huo na hao wapumbavu wenzie watakuwa maadui.Hali zenu?
Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.
Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.
Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.
Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini
Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.
Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.
Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.
Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?
Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Tena katika Hasira, mwanadam mpumbavu huongea mpaka take ambayo HAPASWI kuongea .Kitendo cha kukaa na watu wasio sehemu ya familia kuamua kumjadili mwenza wako no matter kafanya nini wanafanya wapumbavu.
Kesho mkisolve wanaanza kuwanyoshea vidole.
Bro, yaana iko hiv, utamuacha mkeo aliye kupeleka rumande akafuta kesi kesho yake, alaf ukamchukua ambaye ukimpiga mikanda wala hatakuja kukutizama ukiozea jela, huyo kwa kitendo cha kufuta kesi ndani ya masaa 24, anakupenda sana , ila kama unavojua wanawake, shida mashost, lakin pia woote wamejaliwa madhaif hakuna mwanamke asiyedhaif,Hali zenu?
Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.
Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.
Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.
Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini
Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.
Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.
Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.
Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?
Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Kwanza we jinsia gani kama ni mwanaume basi kuna walakini au unajikomba kwa wanawake wajinga humu wakuone mtetezi na piga ua umelelewa sana na mama wewe huna tabia za kiume kabisa kama ni mwanaume , hakuna hekima mbele ya upuuzi na kwa haya inaonekana mkeo umeolea watu wewe hebu kuwa na misimamo ya kiume wewe.Baba yangu hasingeweza kushauri ujinga eti mkeo akikweka ndani hakikisha ameondoka nyumbani? Huyo baba yako ndiye unamwita anajielewa? Badala akwambie ukitoka usiende kwako njoo huku daa baba yako atakuwa kizazi kipya, wenzio wazee wetu walikuwa niwazee wa kutafuta ili hekima. Nenda kwa Babu yako atakufundisha jinsi yakuishi na mke Kwa baba yako umefeli pakubwa
Kuna kisa kama hiki yani vinafanana mnoo kipo humuThread kama hii sio ngeni JF
Wewe endelea kutesa mkeo ukizani mjinga, ndiyo mwisho wa siku mnaanza kulalamika mke maisha yamebadilika naye kabadalika kumbe kabeba mateso ya zamani.Kwanza we jinsia gani kama ni mwanaume basi kuna walakini au unajikomba kwa wanawake wajinga humu wakuone mtetezi na piga ua umelelewa sana na mama wewe huna tabia za kiume kabisa kama ni mwanaume , hakuna hekima mbele ya upuuzi na kwa haya inaonekana mkeo umeolea watu wewe hebu kuwa na misimamo ya kiume wewe.
Halafu wewe ni mwanamke daa kama unawake wa watoto wako watakuwa wanapata tabu sana Kwa mama mkwe waoKweli umempiga siyo vizuri, ila kukupeleka
polisi ndiyo mbaya zaidi.
Hao mashosti ipo siku watamshauri akuwekee sumu ili ufe kabisa.
Mwanaume anipeleke polisi tunaachana hapo hapo.
Jifanye bwege mwambie aende kwao utamfuata huko, Jishauri then utaamua.
pole chiefHali zenu?
Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.
Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.
Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.
Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini
Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.
Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.
Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.
Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?
Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Aisee jitafakari wewe sana tena sanaaa mbona huna masculine ya kiume hivi? We unajua wanawake walivyo wewe? Sikufichi bwana mdogo mana kwa hiki unachokiandika humu mpaka umri wako nishaukadiria , Acha kujidai mtetezi sana wanawake wao wenyewe hawajui nini wanataka ,Wewe endelea kutesa mkeo ukizani mjinga, ndiyo mwisho wa siku mnaanza kulalamika mke maisha yamebadilika naye kabadalika kumbe kabeba mateso ya zamani.