Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

Mzee makosa ni yako na mke ni wako miruzi mingi inampoteza mbwa kumbuka ulimpiga na alikua na hasira na maumivu wakat anatoka akakutana na hao washenz na mtu ukiwa na hasira unafanya chochote wewe msamehe rud nyumban mkae muyajenge muekeane mipaka ya maisha yenu na wewe bwege mwanamke hapigwi na kifo kipo muda wote umemgusa kumbe ndio ahad yake saa hizo utanyea debe miaka 30 kwa kuua kumbe ilikua sababu tu ya ahad yake
 
U
kiwezaaa lala naee sikuhio apatee harufuu ya ndani na yeyeee
 
Wapumbavu wanaotetea, hivi wanafikiri mauaji yanatokeaje?
Ingekuwa ni dada yao au binti yao kafanyiwa hivyo wangesapoti huo ujinga? Pumbavu zao
Kuna mkaka alimuua mkewe tena mjamzito kaenda kuchota maji kakuta vijana ni yale maring wakamjazia kufika nyumbani kaanza kumpiga eti alikuwa na wanaume, kumbe binamu yake alipita kamuona kaenda mwambia ndugu yake mkeo yupo na vijana huu mwaka 22 yupo gerezani pamoja na mbeya wake
 
Huyu ilitakiwa achapike vidole vivimbe km virungu vya bendi hata kutype kutupa habari ashindwe 😹😹😹

Hii story yake ilitakiwa atupe baada y’a mwaka, baada ya kupona 🤣
😂😂😂😂 Kuna mkuu wakituo mmoja ilikuwa mtu akimpiga mkewe kesi ikamfikia alikuwa anatoa bakora zakutosha mpaka mwanaume anaomba poo 😂😂😂😂
 
Muwe mnajifunza na sheria kidogo,kwani wewe hujui kumpiga mtu ni kosa la jinai?,jamhuri ndio imekulaza lockup na wala sio mkeo,usiangalie tu upande wako angalia na upande mwengine na ikiwezekana msameheane maisha yaendelee hayo ni mapito tu katika maisha
 
Huyu ilitakiwa achapike vidole vivimbe km virungu vya bendi hata kutype kutupa habari ashindwe 😹😹😹

Hii story yake ilitakiwa atupe baada y’a mwaka, baada ya kupona 🤣
Mimi mtu anajiona kwamba yeye ni mtakatifu huwa si mpendi ndio aina ya mtoa mada🤨
 
Fullstop.
 
Achana kutukana wanaume ww ma..laya
Mwanamke kuwa malaya sio jambo geni,Ila Mwanaume kuwa Choko kama wewe ni masikitiko makubwa.
Koma kujiweka kwenye kundi la Wanaume wewe ni choko nakujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…