Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

KAFI..RWE HUKO
Siku nyingine ukome kuchobokea comment zangu sikutaka kukujibu ila ukirudia tena kwa mara nyingine tutakesha,Huwa sijibu Choko leo una bahati nimekujibu.
 
Siku nyingine ukome kuchobokea comment zangu sikutaka kukujibu ila ukirudia tena kwa mara nyingine tutakesha,Huwa sijibu Choko leo una bahati nimekujibu.
Ww ni kama nani mpaka usijibiwe, acha kuingia jf.
 
Siku nyingine ukome kuchobokea comment zangu sikutaka kukujibu ila ukirudia tena kwa mara nyingine tutakesha,Huwa sijibu Choko leo una bahati nimekujibu.
Unavaa miushungi kumbe Mala..ya tu
 
Yaani siku wife akifanya huo ujinga anajua kabisa ataondoka kama alivyokuja. Na sijali tumefunga ndoa au vipi, nashangaa unaomba ushauri wakati jibu liko wazi ni kipi cha kufanya
Watoto, kulelewa na baba/mama wa kambo ndiyo kipengele. Ila hawa wadudu wana majibu ya hovyo, utafikiri wanafanya wanashindana kwa kero za matusi na kashfa.
 

Kama ulimuoa bikira.. msamehe.. ila kama alikuwa na msururu wa ma X, achana nae

Mtu unamlisha na unamvisha na bado anakulaza polisi.. huyo hana shukrani
 
Ndoa Zina mengi sana sana acheni tu

M sikuwahi fikiria mke anaweza nipeleks ndani

Baadae natokea nkakuta amechati na nduguye WA like katoka Moshi anakaa kwangu almost ilikuwa wiki

Aisee NKAMWAMBIA huyu ndie aliekutia ADABU unipeleke NDAN sio

Nikampa yule dada masaa 12 awe amefunga kilicho chake akalia sana anaomba radhi mara dada ndie AKIANZA kunihoji nkajibu vile

NKAMWAMBIA sijataka kujua alieanza nani nimeona msg umesema mpelekee ndani huyu mbwaaa

Sasa unaendeleaje kuishi na mbwaa zzikapigwa simu kadhaa na baba mowe NKAMWAMBIA akalale kwa ndugu wengine hapa simtakiii
Saa Moja jion angendelea kulia

Saa mbili anaelekea alipokujua....Toka sikuhio najitunza sana silazi NDUGU ovyoo kwanguu
 
Akili yako bado Sana. Nyie ndio mnapataga kiharusi Kwa sababu ya stress za wake zenu
Sawa mtaalamu, ila ujue kiharusi kinasababishwa na mambo nje ya mke, mfano kolesto na kuganda kwa damu. Haya enenda kamdunde mkeo magumi ili uepukane na kiharusi.
 
Kila lakheri mwakinyo, utakuja baini kuwa ngumi sio suluhisho ukiwa umechelewa pengine ushauwa wakati huo
Tena wahivi wanawafanyia haya wake zao mbele ya watoto, mwishowe mapenzi ya watoto yote yanahamia Kwa mama yao .
 
Naunga mkono hoja. Sio chini ya miezi miwili. Mpe nafasi ya kujua umuhimu wako, kama upo atapata funzo, kama haupo potelea huko huko. Ila ukirudi hakikisha unaichapa mpaka igeuke ndani nje.
 
Weee shangazi yanguu anajitambua
Anajitambua Kwa lipi badala yakumkanya kijana yeye anamwagia petrol, ila kama umelea mtoto pekeyako bila baba lazima kumjaza hayo matakataka kichwani.
 
Naunga mkono hoja. Sio chini ya miezi miwili.
Na akipata wakumsaidia kumtunza mkewe asije kulia lia humu, kama hampendi humu angekuja na majibu tu nishafukuza mke πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Reactions: Tsh
Na akipata wakumsaidia kumtunza mkewe asije kulia lia humu, kama hampendi humi angekuja na majibu tu nishafukuza mke πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuna saa lazima mpitie kashkash, inawakumbusha iwapo bado mnatakana. Mahusiano yakipoa sana nayo yanaboa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…