Sasa badala ya kurudi wakayamalize eti wanamshauri sijui apotee aende mwezi au miwili alaa watoto hawa wa 2000 atalipa na mabua, yeye katoa kipigo mwisho kaenda huu kwenye ndoo kati watu 30😂😂😂 arudi nyumbani tu.Kuna saa lazima mpitie kashkash, inawakumbusha iwapo bado mnatakana. Mahusiano yakipoa sana nayo yanaboa.
Lakini sio kudundana hivyo 😂😂😂Kuna saa lazima mpitie kashkash, inawakumbusha iwapo bado mnatakana. Mahusiano yakipoa sana nayo yanaboa.
Mzee hao watu sometime michosho sana. Usikute mchizi katikati ya majibizano aliambiwa unafikiri mimi ni kama mama yako asiyeoga. Come On.Msamehe mke wako muendelee na maisha yenu na mlee watoto kama kawaida.
Kwanini wewe ujione una haki ya kumpiga mikanda 'hatari' alafu yeye kukushtaki uone nongwa? Angeshupalia ukae mahabusu ingekuwa ishu nyingine, lakini kitendo cha ku react haraka kufuta kesi ni wazi hata yeye alichukia ulivyo mpiga hata kama alikosea.
Mara tatu kwangu,nimepajua selo na kupazoea ni huyu mwanamke alinipeleka.Hali zenu?
Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.
Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.
Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.
Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini
Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.
Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.
Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.
Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?
Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Watoto tunao,ila kwa mwezi huu wameenda likizo kwa ndugu zako huko mkoani.Kazingua, home kuna watoto? Ili tukushauri vzuri
Kuna lugha za maudhi tu alinitamkia, nikajikuta nimemlabua.Wewe kwanini ulimpiga?
Yalikua ni mambo ya kuongea kifamilia,ila kupelekana police kwa issue za kifamilia naona amevuka mstari mwekundu.Mbona makosa yamekua ya wife tena? Kiukweli hapo we ndo umezingua.
Ila sometimes hawa wamama wanakera
Na ana watoto wakubwa kbs .argh kichefuchfuHuyu mama nimemshanga sana badala yakumkanya kijana asimpige mkewe eti mke aachwe
Nampongeza afande kwa busara kubwa aliotumia kukushauri kulala lockup. Kumbe wakati mwingine lockup ni kweli ni kwa ajili ya usalama wako na wa mtu mwingine. Ungetoka nje usiku huo bado emotions zipo juu chochote kibaya kingeweza kutokea
Yeye alivyo mpiga mwenzie hajanzigua🐒
Umlaze selo mtu unayempenda? Hapo ndoa ishaanza kufa kama bigjii imeanza kuisha sukari ndio maana kuitupa huoni uchungu.Kwa hiyo yeye alivyompiga mwenzie sio kosa safi sana kwa huyo bibie iwe funzo kwa wenzie🐒,Kwanza ulimshushia kipigo kikali sana mpaka akakupeleka police na huenda ndio tabia yako kumpiga ila siku hiyo ulizidisha dozi hata ningekuwa mimi ningekulaza Selo dadekii.
Mwanamke wa kukupeleka polisi huyo sio mke ni jangili. Mke yapaswa awe mstahimilivu na mwenye hekima ya kujua akipigwa ni sehemu ya maonyo kuwa anatoka nje ya reli. Sasa mke unampiga kibao tu kashakimbilia polisi kweli?!Yeye anajiona ana haki sana, japo kampiga, wanaume baadhi niwanafiki sana, hapo utakuta ndugu zake wanamperemba aachane naye, na huenda kosa lilikuwa lake.
Mkanda haujawahi kuua ni kama fimbo tuWapumbavu wanaotetea, hivi wanafikiri mauaji yanatokeaje?
Ingekuwa ni dada yao au binti yao kafanyiwa hivyo wangesapoti huo ujinga? Pumbavu zao