Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

Kuna saa lazima mpitie kashkash, inawakumbusha iwapo bado mnatakana. Mahusiano yakipoa sana nayo yanaboa.
Sasa badala ya kurudi wakayamalize eti wanamshauri sijui apotee aende mwezi au miwili alaa watoto hawa wa 2000 atalipa na mabua, yeye katoa kipigo mwisho kaenda huu kwenye ndoo kati watu 30😂😂😂 arudi nyumbani tu.
 
Mzee hao watu sometime michosho sana. Usikute mchizi katikati ya majibizano aliambiwa unafikiri mimi ni kama mama yako asiyeoga. Come On.
 
Mara tatu kwangu,nimepajua selo na kupazoea ni huyu mwanamke alinipeleka.
Mpk nilihama kwangu nikaanza maisha upya mbali huko.
Can you imagine mpk leo huyo yupo ananiita Baba, mzee, Baby, asali,darl.
Miaka 25 imepita.
 
Nampongeza afande kwa busara kubwa aliotumia kukushauri kulala lockup. Kumbe wakati mwingine lockup ni kweli ni kwa ajili ya usalama wako na wa mtu mwingine. Ungetoka nje usiku huo bado emotions zipo juu chochote kibaya kingeweza kutokea

Afande alimshauri hivyo huku ana m please mke wa jamaa, na baada ya mda huwa wanawala wake zenu maana ni mlango mzuri sana wa kupitia!
 
Umlaze selo mtu unayempenda? Hapo ndoa ishaanza kufa kama bigjii imeanza kuisha sukari ndio maana kuitupa huoni uchungu.
 
Yeye anajiona ana haki sana, japo kampiga, wanaume baadhi niwanafiki sana, hapo utakuta ndugu zake wanamperemba aachane naye, na huenda kosa lilikuwa lake.
Mwanamke wa kukupeleka polisi huyo sio mke ni jangili. Mke yapaswa awe mstahimilivu na mwenye hekima ya kujua akipigwa ni sehemu ya maonyo kuwa anatoka nje ya reli. Sasa mke unampiga kibao tu kashakimbilia polisi kweli?!
 
Sijui nisimulieee au nipiteee.....🤔🤔🤔🤔

Ukubwa jalala, nyani mzee amekwepa mishale mingi.
 
Msamehe lakin kaa nae kikao kizito mpe term and condition. Muelez kwann ulimuadhibu na ajue waz Kua utamuadhibu tena akizngua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…