Mkesha wa chako ni chako kesho Kawe kwa Mwamposa; Mungu atupe ndoa zenye upendo na amani member wa JF

Unaamini kwamba wewe ndio mwenye akili kuliko watu wote hao?

Mbona huwashangai wanaospend pesa kibao kupanda ndege mpaka Mecca Saudi Arabia na kulipia pesa kibao kwenda kumpiga mawe shetani ambaye haonekani? Hapa mjinga na misukule ni IPI?
 
MWAMPOSA ni nabii wa Kweli wa MUNGU,

Shuhuda ni nyingi MNO
 
Kwani Christina Shusho anasemaje? Tuanzie hapo kwanza🤒
 
Ni kama vile kuitajirisha Saudi Arabia kila mwaka kwa kile kinachoitwa Hija na Umra.

Tatizo la nyani huwa halioni kundule.
Nyie si mnaenda hija yenu kule israel au hamwendi tena siku hizi?


Kweli Nyani haoni kundule
 
Unaamini kwamba wewe ndio mwenye akili kuliko watu wote hao?
First of all,ktk post uliyoni-quote hakuna popote niliposema kwamba nina akili kuliko watu wote ila nilizo nazo kama zikawa kubwa au ndogo at least naweza kuzitumia vizuri ndiyo maana nikaandika vile
Mbona huwashangai wanaospend pesa kibao kupanda ndege mpaka Mecca Saudi Arabia na kulipia pesa kibao kwenda kumpiga mawe shetani ambaye haonekani? Hapa mjinga na misukule ni IPI?
Kama ulinisoma ili uelewe na siyo ili unijibu utagundua mimi sikuzungumzia mtu nje ya Ukristo,nasisitiza kama yupo mtu anaamini kupata mafanikio ni kwenda kumpa mtu pesa na kuwekewa mikono kisha kuvuta shuka akisubiri miujiza badala ya kwenda kufanya kazi kwa jasho na damu huyo/hao wanabaki kuwa MISUKULE!!!
 
Watu wamejaa mno na wale mnaoangalia kwenye TV msisite kutuma sadaka zenu kwa njia ya mitandao. Karibuni sana
 
Dini ni muhimu Sana zinasaidia kuleta amani na kutuliza mioyo lakini haziwezi kuondoa matatizo.kama huna Hela huna tu hata uhamie kanisani jibu ni kufanya KAZI Kwa bidii
 
Mwamposa Hana ndoa halafu unategemea akufundishe Mambo ya ndoa? Experience atakua ameitoa wapi?
Wajinga ndio waliwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…