Mkesha wa VUKA NA CHAKO: Kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa na prophet Boniphace Mwamposa - 16/12/2022

Huwez bishana na serikali.. huwa haikosi majibu
 
Jamaa anapesa sana na anazilipa chanel zikimpa airtime
Sasa hapa naweza kupata concept

Kuna uwezekano huu muda anaoutumia kunadi sera zake kwa kuchezea umeme kwa yale ma spot light haujatolewa bure
 
[emoji3][emoji3]pop.o.ma uzi wa ngapi huu kuhusu huu mkesha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…