Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Tanga, Lindi, Mtwara, Bukoba, Pwani, unajilia vitu naturali kabisa, so tasty na very tasty!. Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?Naomba kujua experience yako kwenye vitu vya kula kula me nilionaga dodoma labda ndo ni bora zaidi. Yaani viwe ambavyo vya asili kabisa Mkoa gani una hiyo iliyojaliwa TASTE.
P