luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
- Thread starter
-
- #61
Hawana Shep Ila Wana pesa,elimu na maisha wewe unakula shape?..ni sawa ni kwa sababu wamekakamaa mno sana sababu ya kupanda milima! kila siku ni kupanda shuka huoni hata dada zao hawana shepu?
Mm nazungumzia idadi by numbers not percentageArticle inazungumzia percentage ya wazee.
Kama kuna vijana 90 na wazee 10 basi wazee ni asilimia 10.wakiongezeka vijana 900 na wazee wa kabaki wale wale 10 basi asilimia ya wazee ina drop hadi 1%
Hujui utafiti,tunazungumzia idadi ya wazee vijana hawahusiani hâta wangekuwepo vijana milion 10 nazungumzia idadi ya wazee by numbersKama wameangalia parcentage maana yake mikoa ya Kilimanjaro na Mtwara vijana wanakimbia na kuacha wazee wengi. Siyo jambo la kushangilia.
Nisaidie kumwelewesha MAANA haelewi,mm nazungumzia idadi ya wazee yéyé anasema vijana😄😄Hiv mnasomaga mnachoandika kweli? Kwa huo utafiti ulitaka kujua idadi ya watu au ni jamii gan watu wake wanaishi umri mrefu kwa idadi
Ntu Wala mboni hamjiwasema mione Kilimanjaro tu?Ongera kwao
Huko Ntu Wala kwa wenyewe 'Wala' manake Gambe kwa hio Ntu Gambe, unaelewa sijui hivi Rombo IPO wapi Mashati au Kilimanjaro?Wazee wengi kwa sababu vijana wengi wanakimbia maisha ya vijijini.
Hahahaha matajiri wazawa ukiondoa WA Hindi ni kinaa nani? Sio Wachaga? Nikutajie makampuni ya Wachaga? Sio ubunifu huo?Hataki kwenu mkoa huo hata makaburi ni mengi .Mimi sijaiba mitihani ndio maana nyie hamna ugunduzi nje ya kuajiriwa na kutumiwa na wazungu kweny kampuni zao ...
Kinachozungumzwa ni parcentage ya wazee siyo idadi. Kwa mantiki hiyo idadi ya vijana hadi watoto imetiliwa maanani. Mkoa wa Dar una wazee wengi kuliko Kilimanjaro. Lakini ukija kuangalia hao wazee ni asilimia ngapi utakuta Kilimanjaro wana asilimia kubwa ya wazee kuliko Dar. Maana yake nini? Inaweza kumaanisha kuwa Kilimanjaro vijana wanakimbia.Hujui utafiti,tunazungumzia idadi ya wazee vijana hawahusiani hâta wangekuwepo vijana milion 10 nazungumzia idadi ya wazee by numbers
Tungekuwa hatutaki kwetu tungejenga maghorofa migombani? Nyie mliojenga nÿumba za nyasi ndo mnapenda makwenu?Hataki kwenu mkoa huo hata makaburi ni mengi .Mimi sijaiba mitihani ndio maana nyie hamna ugunduzi nje ya kuajiriwa na kutumiwa na wazungu kweny kampuni zao ...
Mmiliki mwenza wa JF Maiko Mushi ni wa huko huko duuuh ebwanaweeHahahaha matajiri wazawa ukiondoa WA Hindi ni kinaa nani? Sio Wachaga? Nikutajie makampuni ya Wachaga? Sio ubunifu huo?
1: Makampuni ya mabasi nchi nzima karibia 40% yanamikikiwa na Wachaga
2:Makampuni ya ujenzi karibu 20% ni ya Wachaga pekee
3:Wafanyabiashara WAkubwa Wachaga ndio wenyewe
4: Maghorofa MWANZA
5: maghorofa Arusha
6:Kampumi ya ndege precision air unamjua mwenye nayo? Yani wewe uliefeli darasa la nne una ubunifu wowote?
Mkoa WA Kilimanjaro 90% Wana maisha bora 10% tu ndio malofa kama wewe,napo tunataka 2030 tuondoe malofa tuwe flat 99%Hao vijana wa rombo wengini age 35-40 wanaonekana kama wazeee , tafuta picha zao utaona 90% ni wazee wengine wamaisha kwa pombe hata iwe jua kali wamevaa makoti .
Yaan Ntu Wala na Kilimanjaro kunafanana au unamaanisha nini?Tungekuwa hatutaki kwetu tungejenga maghorofa migombani? Nyie mliojenga nÿumba za nyasi ndo mnapenda makwenu?
SIO KWELI..Maelezo sahihi yanatakiwa kuwa, Kilimanjaro ndio mkoa unaongoza kuwa na rundo kubwa la wazee waliorudi na kutelekezwa, huku wakiishi na vijana rejects ambao walikimbia mikoa mingine Hali ikawa ngumu wakarudi.
Hahaha hajui kutofautisha idadi na percentage😄😄Sio kweli wewe ni ngumbaru huelewi parameters huwa zinakuje.
Rombo IPO Mashati au Kilimanjaro?Mkoa WA Kilimanjaro 90% Wana maisha bora 10% tu ndio malofa kama wewe,napo tunataka 2030 tuondoe malofa tuwe flat 99%
Alifeli la nne msamehe mkuuHawaangalii muonekano kinacho angaliwa na umri. Wewe elimu yako ni ya chini ya mti sio
Kote Hadi GazaSamahani ndugu mleta takwimu, huu utafiti waliufanya hadi 'Palestina'?
Kuwa na wazee ni jambo la kujisifu MAANA watu wanaishi Sasa ulitaka wakomee miaka 30? Dah kukosa elimu ni kubaya sanaMimi elimu yangu sio ya wizi wa mitihani kama wazazi wako 😀 😀 😀Kuwa na wazee ni jambo la kujisfu kama Italy?
Mlevi Ana pesa,Sasa wewe maskini utapataje Hela ya kulewa?Walevi na wezi wa mitihan