Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wapi kibidula au!Yupo vinyunguni anapalilia
Hawana shida ila wewe ndiye unawaona wana shida.Ivi watoto wa Nyerere wanashida gani huwa naona kama wapo wapo tuu...
Tatizo baba yao. Penda sana sifa za kijinga kupeleka pesa na rasilimali zetu kukomboa watu na mataifa uchwara yasiyo nashukran eti akidhani ataacha legacy.Ivi watoto wa Nyerere wanashida gani huwa naona kama wapo wapo tuu...
Umeona kipengele ni upigaji tuu ....aseee siwezi kuwaa muhunzi mtoto wangu akawa kondaHawana shida ila wewe ndiye unawaona wana shida.
Hebu tuambie kama wangerithishwa upigaji, leo ungeweza kuwaandika katika muktadha gani?.
Ulitaka usikie madaraka Nyerere ni waziri wa fedha au ulinzi ndio ufurahi?Umeona kipengele ni upigaji tuu ....aseee siwezi kuwaa muhunzi mtoto wangu akawa konda
Umeandika upuuzi gani huu?Tatizo baba yao. Penda sana sifa za kijinga kupeleka pesa na rasilimali zetu kukomboa watu na mataifa uchwara yasiyo nashukran eti akidhani ataacha legacy. Matokeo yake Kaambulia tu jina...r
Kaacha legacy ndio kwani uongo?Tatizo baba yao. Penda sana sifa za kijinga kupeleka pesa na rasilimali zetu kukomboa watu na mataifa uchwara yasiyo nashukran eti akidhani ataacha legacy. Matokeo yake Kaambulia tu jina lake kubakia kwenye vibarabara uchwara vya uchochoroni kwenye hizo nchi. Na huku kwetu katuachia mifisi na mchwa inatafuna nchi kwa fujo bila aibu.
#MboweSiyoGaidi
#MboweForever
Ulitaka wawe crooks na wauza sembe kama kina rizimoko?Ivi watoto wa Nyerere wanashida gani huwa naona kama wapo wapo tuu...
Mkuu,upogo?Kaacha legacy ndio kwani uongo?
Niko hapa.Andrew Nyerere yupo wapi
Jitayarishe kujibu maswali.Mkutira upo?Niko hapa.
Nipo..my dear brother. Uko poa?Mkuu,upogo?
Nipo bien!πππNipo..my dear brother. Uko poa?
[emoji120][emoji120][emoji120]Nipo bien![emoji106][emoji106][emoji106]