bokilo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 513
- 1,037
8 au 9?
Umaskini tunauletaga wenyewe mda ungine.
Yani hapo ni sawasawa una shida umeenda benki alafu wao wanakuambia uwape 8M bure bure.
Hapo ni sawa umewapa benki 8M bure tu bila ya wao kufanya kazi yeyote ile