Mkurugenzi Rombo: Shule iliyoandikisha Wanafunzi Watatu hakuna imani za kishirikina ni maamuzi ya wazazi tu

Mkurugenzi Rombo: Shule iliyoandikisha Wanafunzi Watatu hakuna imani za kishirikina ni maamuzi ya wazazi tu

Huo ndio ukweli.


Rombo hapakaliki, kila anaueweza anakimbilia sehemu nyingine kutafuta.

Huku wanabaki wazee na rejects.

Hata wanafunzi waliopo mostly utakuta wanakaa na mabibi zao.

Na kwasababu pia shulenni nyingi na watu hakuna.

Bora hata hiyo shule imepata watoto 3, Kuna shule nyingine inaitwa Mseta tarafa hiyo hiyo ya Mashati tena ilijengwa kwa msaada wa Kilimanjaro National Park, ilishafungwa muda kwa kukosa wanafunzi.

Huyo kilaza Chacha sidhani Kama hata anajua chocchote
Hata Moshi Vijijini kuna shule zimekosa wanafunzi wa Darasa la kwanza miaka miwili mfululizo.
Hili nalijua vizuri sana
 
Anayosema ni kweli, wakazi wengi WA rombo wamehamia mijini, shule nyingi zimeshafungwa Kwa kukosa wanafunzi, mfano Kirwa, Amrushu, Kiungwe ipo njiani, na kama hiyo mlembea
Sahihi.
Wadau wasiojua hawawezi kuamini.
Shule zao watoto ni wengi sana
 
Mbona kama kuna viashiria vya ukweli kwenye hoja ya

Sababu zipo kadhaa, baadhi ni Wazazi wengi kuwapeleka Watoto wao kwenye Shule za binafsi, pia maeneo ya mipakani kuna Wazazi wanapeleka Watoto wao kwenda kusoma Kenya.

===== Huu ni UWONGOOOO.

Private Kuna wanaopeleka lakini ,ni wachache mnooo, na haina impact kubwa.

=======

Kwa kuwa tuna ujirani mwema kuna magari yanayokuja kubeba Wanafunzi wanaenda huko kusoma kisha jioni wanawarudisha.
======
Huu ni UWONGOOOO, UWONGO kabisa asilimia 200.

======

Sababu nyingine ni kuwa ‘population’ sio kubwa sana hapa na Watu wengi wamesambaa na wanasambaa hivyo kusababisha baadhi kuwahamisha Watoto wao pia.
======

Huu ndio ukweli HALISI,.

=====

Kingine ni kuwa Kilimanjaro watu wamesoma sana na hivyo suala la kuzaa Watoto wengi sio jambo linalopendelewa sana kama ilivyo maeneo mengine, watu wengi wana Watoto chini ya watatu au wawili.

=======

Huu ni UWONGOOOO UWONGO kabisa asilimia 5000.
 
Rombo mbona inajulikana watoto wake wamesambaa nchi nzima, asilimia kubwa ya familia za Rombo zinaishi mijini wakiongozwa na Dar es Salaam, na kutokana na wengi kuwa wafanya biashara wa kuanzia kipato cha chini , , watoto wao wanapendelea kupelekwa private wakiamini ndio kuna elimu Bora, na population ya huko wengi ni wazee waliostaafu, na vijana mashamba boy kutoka mikoa mingine, serikali ingezifanya shule za huko ziwe za boarding zipokee hata watoto kutoka zanzibar na Kanda ya ziwa maana huko kuna upungufu wa shule na watoto wanarundikana mashuleni.
Huu uzi uishie hapa...Umemaliza kila kitu Watoto wengi wapo private schools
 
Moja Kati ya DED viazi waliyopo nchi hii ni huyu Chacha. Na amedumu sana hapo Rombo.

Mambo ni zig zag.
Screenshot_20240112-100029~2.png

Screenshot_20240112-095808~2.png

Screenshot_20240112-095503~2.png


Angalia Umbali hizi shule zilipo tokea Moshi Mjini ambapo ndio makao makuu ya mkoa.
Ni karibu sana na Mjini.
Screenshot_20240112-095927~2.png

PSX_20240112_095651.png

Hao ni Darasa la 4 walioanza shule miaka 4 iliyopita means kuna baadhi ya hizo shule hazina Class One kwa sasa.

Wazazi wanaojitahidi kwa sasa Huko Kilimanjaro ni wale waliopo maeneo ya milimani.

Wao bado wanajuhudi za kuzaliana.
 

Attachments

  • Screenshot_20240112-095615.png
    Screenshot_20240112-095615.png
    62.4 KB · Views: 3
Sababu zipo kadhaa, baadhi ni Wazazi wengi kuwapeleka Watoto wao kwenye Shule za binafsi, pia maeneo ya mipakani kuna Wazazi wanapeleka Watoto wao kwenda kusoma Kenya.

===== Huu ni UWONGOOOO.

Private Kuna wanaopeleka lakini ,ni wachache mnooo, na haina impact kubwa.

=======

Kwa kuwa tuna ujirani mwema kuna magari yanayokuja kubeba Wanafunzi wanaenda huko kusoma kisha jioni wanawarudisha.
======
Huu ni UWONGOOOO, UWONGO kabisa asilimia 200.

======

Sababu nyingine ni kuwa ‘population’ sio kubwa sana hapa na Watu wengi wamesambaa na wanasambaa hivyo kusababisha baadhi kuwahamisha Watoto wao pia.
======

Huu ndio ukweli HALISI,.

=====

Kingine ni kuwa Kilimanjaro watu wamesoma sana na hivyo suala la kuzaa Watoto wengi sio jambo linalopendelewa sana kama ilivyo maeneo mengine, watu wengi wana Watoto chini ya watatu au wawili.

=======

Huu ni UWONGOOOO UWONGO kabisa asilimia 5000.
Lete Ukweli wako mkuu.
 
Lete Ukweli wako mkuu.
UKWELI ni kwamba Kilimanjaro hakuna FURSA na maisha ni MAGUMUUUUU.

Mkoa hakuna anayehamia, isipokuwa kila siku wenyeji WANAHAMA. Huku ukikuta mgeni labda mfanyakazi na yeue anatafuta kuhama kila siku.

Huku wachagga wanarudi sikukuu na mwisho wa mwaka.

Pia, shule ni nyingi kutokana na Kilimanjaro ni kimkoa kidogo mnoooo.

Mfano halisi wa hiyo tarafa ya Mashati, ukubwa wake sehemu nyingine ni Kama KIJIJI tu
Sasa Ina kata 6, na kila kata ina sekondari na shule za msingi wakati hakuna watu, wakusoma


Kilimanjaro wanaobaki ni wazee tu na vijana wasio na pa kwenda, ambao wengi ni bodaboda.

Rombo pia kuna tatizo zito la.ulevi ambalo huyo DED anakwepa kulisema ili asiwaudhi wachagga, anawasifia eti wamesoma ndio maana Wana watoto wachache jambo ambalo ni UWONGO kabisa.

Ni kwamba narudia, watu wa Kilimanjaro wengi wako mikoa mingine na wtoto wao wanasoma huko.
 



Baada ya kuripotiwa Shule ya Msingi ya Mlembea inayomilikiwa na Serikali katika Tarafa ya Mashati, Halmashauri ya Rombo Mkoani Kilimanjaro kuandikisha Wanafunzi watatu pekee kwa ajili ya Mwaka wa Masomo 2024, uffanuzi umetolewa.

Awali imeelezwa kuwa baadhi ya sababu za na uhaba wa Wanafunzi ni imani za kishirikina na Vijana wengi kudaiwa kujiingiza kwenye ulevi na kushindwa kuendeleza familia na wengine kukimbilia Mjini kutafuta maisha, zaidi soma hapa - Kilimanjaro: Shule ya Msingi ya Serikali yaandikisha Wanafunzi watatu (3) kuanza Darasa la Kwanza


MAJIBU YA SERIKALI
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Rombo, Godwin Chacha ameelezea kinachoendelea kwa kusema:

Ni kweli Wanafunzi waliokuwa wameandikishwa ni Watatu na wameongezeka kufikia nane lakini matarajio ya Shule ni kuwa wanaweza kuongezeka lakini hawatazidi kumi na moja (11).

Sababu zipo kadhaa, baadhi ni Wazazi wengi kuwapeleka Watoto wao kwenye Shule za binafsi, pia maeneo ya mipakani kuna Wazazi wanapeleka Watoto wao kwenda kusoma Kenya.

Kwa kuwa tuna ujirani mwema kuna magari yanayokuja kubeba Wanafunzi wanaenda huko kusoma kisha jioni wanawarudisha.

Sababu nyingine ni kuwa ‘population’ sio kubwa sana hapa na Watu wengi wamesambaa na wanasambaa hivyo kusababisha baadhi kuwahamisha Watoto wao pia.

Kingine ni kuwa Kilimanjaro watu wamesoma sana na hivyo suala la kuzaa Watoto wengi sio jambo linalopendelewa sana kama ilivyo maeneo mengine, watu wengi wana Watoto chini ya watatu au wawili.

Hivyo, niweke wazi kuwa hakuna imani za kishirikina kama baadhi wanavyodai (kwamba siku za nyuma Wanafunzi walikuwa wakianguka wenyewe shuleni hapo), ni haki ya mzazi kuamua mtoto wake akasome anapotaka.

Hali hiyo ya uchache wa Wanafunzi hauwezi kuathiri Wanafunzi au Walimu, wakiwa wachache wanaweza kupewa elimu bora zaidi kuliko wale ambao wangekuwa wengi kwenye darasa moja, japo hatusemi kuwa tunafurahia kuwa na idadi ndogo ya Wanafunzi.

Tunakaribisha wadau ikiwemo mbalimbali ikiwemo Wanahabari waje waone mazingira na inawezekana ikachangia kuongeza uwekezaji pia.
Watu wa milimani wanaendekeza sana ushirikina na kustarehesha watalii mpaka hawataki kusoma.
 
Kama hujafika kule utaamini stori za kuhadisiwa Ila wazawa tunajua tangu miaka ya 90 hata huo
UKWELI ni kwamba Kilimanjaro hakuna FURSA na maisha ni MAGUMUUUUU.

Mkoa hakuna anayehamia, isipokuwa kila siku wenyeji WANAHAMA. Huku ukikuta mgeni labda mfanyakazi na yeue anatafuta kuhama kila siku.

Huku wachagga wanarudi sikukuu na mwisho wa mwaka.

Pia, shule ni nyingi kutokana na Kilimanjaro ni kimkoa kidogo mnoooo.

Mfano halisi wa hiyo tarafa ya Mashati, ukubwa wake sehemu nyingine ni Kama KIJIJI tu
Sasa Ina kata 6, na kila kata ina sekondari na shule za msingi wakati hakuna watu, wakusoma


Kilimanjaro wanaobaki ni wazee tu na vijana wasio na pa kwenda, ambao wengi ni bodaboda.

Rombo pia kuna tatizo zito la.ulevi ambalo huyo DED anakwepa kulisema ili asiwaudhi wachagga, anawasifia eti wamesoma ndio maana Wana watoto wachache jambo ambalo ni UWONGO kabisa.

Ni kwamba narudia, watu wa Kilimanjaro wengi wako mikoa mingine na wtoto wao wanasoma huko.
Tangu miaka ya 90 hata hayo Mambo ya ulevi hayajachanganya na bado shule zilikuwa na wanafunzi wachache.
 
Back
Top Bottom