uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Tangu lini Kilimanjaro ikawa mtani wa Kagera?Kilimanjaro kama ulaya vile
Sio kama kwa watani zetu Kagera darasa Moja Lina watoto 300[emoji1][emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini Kilimanjaro ikawa mtani wa Kagera?Kilimanjaro kama ulaya vile
Sio kama kwa watani zetu Kagera darasa Moja Lina watoto 300[emoji1][emoji1][emoji1]
Kilimanjaro 95% ya Kaya zote Zina maji na umemeUKWELI ni kwamba Kilimanjaro hakuna FURSA na maisha ni MAGUMUUUUU.
Mkoa hakuna anayehamia, isipokuwa kila siku wenyeji WANAHAMA. Huku ukikuta mgeni labda mfanyakazi na yeue anatafuta kuhama kila siku.
Huku wachagga wanarudi sikukuu na mwisho wa mwaka.
Pia, shule ni nyingi kutokana na Kilimanjaro ni kimkoa kidogo mnoooo.
Mfano halisi wa hiyo tarafa ya Mashati, ukubwa wake sehemu nyingine ni Kama KIJIJI tu
Sasa Ina kata 6, na kila kata ina sekondari na shule za msingi wakati hakuna watu, wakusoma
Kilimanjaro wanaobaki ni wazee tu na vijana wasio na pa kwenda, ambao wengi ni bodaboda.
Rombo pia kuna tatizo zito la.ulevi ambalo huyo DED anakwepa kulisema ili asiwaudhi wachagga, anawasifia eti wamesoma ndio maana Wana watoto wachache jambo ambalo ni UWONGO kabisa.
Ni kwamba narudia, watu wa Kilimanjaro wengi wako mikoa mingine na wtoto wao wanasoma huko.
Wanasomesha private,hakuna mtoto Kilimanjaro asiyesoma elewaWatu wa milimani wanaendekeza sana ushirikina na kustarehesha watalii mpaka hawataki kusoma.
Kikwete aliwahi kukaririwa akisema ukienda Mahali ndani ya Tanzania ukamkosa Mchagga, hiyo sehemu sio Valid kuishi.Kilimanjaro watu wengi wamesoma hivyo wanafanya kazi nje ya huko
Pia ni wafanya biashara hivyo ndiyo factor kuu inayochochea mtawanyiko
Hakuna sehemu yoyote tz utamkosa MTU WA Kilimanjaro
Shida ni darasa kuwa na watoto 300Mhm shule nzima wanafunzi watatu tu????? Itakua kuna shida
Stori za JABA, RAHA POA na MKOKAA.Kilimanjaro 95% ya Kaya zote Zina maji na umeme
90% ya makazi yake ni ya kisasa
Kule watumishi WA umma anapewa nyumba bure awe anaiamgalia tu n'a kuifanyia usafi
Kilimanjaro wasomi na wafanyabiashra ni wengi hivyo kuchochea mtawanyiko
Naam Kilimanjaro standard ya élimu ni nzuri,mm enzi nasoma darasa la saba tulimaliza 45 tuKama hujafika kule utaamini stori za kuhadisiwa Ila wazawa tunajua tangu miaka ya 90 hata huo
Tangu miaka ya 90 hata hayo Mambo ya ulevi hayajachanganya na bado shule zilikuwa na wanafunzi wachache.
Yuko ndani ya mada, kama wanaume walevi kupindukia mpaka wamama walilalamika hao watoto watapatikana wapi??Nje ya mada
Tangu enzi n'a enzi Kilimanjaro shule hazijaagi kama huko mikoani kwenu,mm nimemaliza shule tukiwa 45 tuUnaishi wapi Sasa hivi?
Maana Mimi Niko hapa wanapopasema.
Kumbe ndo maana wameandika wengine wanaenda kusoma KenyaWanawake wa Rombo walishawahi kulalamika wanalazimika kwenda kufata wanaume kenya baada ya vijana wa Rombo kuwa walevi kupindukia
Sasa hivi unaishi wapi na watoto wako wanasoma wapi?Tangu enzi n'a enzi Kilimanjaro shule hazijaagi kama huko mikoani kwenu,mm nimemaliza shule tukiwa 45 tu
Alafu pia shule kule ni nyingi mno, Kilimanjaro ni mkoa WA kwanza kwa sekondar nyingi,Huku Moshi DC ni halmashauri inayoongoza kwa shule za msingi Tanzania
Pia Kilimanjaro Karibu Kila Kijiji Kuna shule na zahanati ya private
Naam hoja za ded zipo sahihiSawa mkuu, ila karibia 90% ya alichosema DED ndicho unachosema wewe.
Kwamba watoto wengi wanaenda private??Shida ni darasa kuwa na watoto 300
Kilimanjaro tunasomesha private
Kilimanjaro Karibu Kila Kijiji Kuna shule ya private
Ni jueurii yule mkurya🙌🙌🙌Chacha jeur sana
Nguvu za kuzalisha hawana🤣🤣Wanawake wa Rombo walishawahi kulalamika wanalazimika kwenda kufata wanaume kenya baada ya vijana wa Rombo kuwa walevi kupindukia
Nyumbu ni wale mnaozaliana kama panya Hadi darasa linakuta Lina kaa watoto 300 hasa kwenu usukumaniDanganya nyumbu.
Kilimanjaro pesa IPO tunasomesha Hadi ulaya,unatupangia?Yaani anajisifia kabisa kuwa watu wanapeleka watoto kusoma kenya.
Kwanini wasiboreshe elimu na kulishinda soko la kenya??
Hapo ndio utaona kama elimu bure ndio elimu bora.
Peleka dada Yako aje akusimulieNguvu za kuzalisha hawana[emoji1787][emoji1787]