we huna data za rombo.
ingekuwa ni walevi mabasi toka dar pekee kwa siku kwenda rombo ni kama ifuatavyo-:
Tilisho 2
Easter 2
Dar expres 2
na wote ni wa rombo wanajaza.
je ni mabasi mangapi yanaenda wilayani kweni kwa siku?
kumbuka hayo ni mabasi yanayotoka dar pekee, bado dodoma,singida mwanza,arusha nk.
ni wilaya pekee yenye uchumi usioyumba.
kuhusu ulevi syo rombo pekee kwenye walevi ila imekua inashangaza kwa kuwa haikuwahi kutokea kuwa hivyo
kuhusu shule kukosa watoto kunatokana na sababu alizoeleza DED lakini kwa ukubwa wake warombo wengi wako nje ya wilaya yao wanatafuta maisha hasa Dsm,Arusha, moshi,nairobi, mwanza,dodoma na morogoro ambako wanasomesha watoto shule zilizoenda shule.
pia vita ya serikali dhidhi ya wachaga ilisababisha shule kuwa hazina mazingira rafiki kusomea ikiwamo walimu, miundombinu nk vitu vilivyopelekea kukosa wanafunzi