Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mmeanza tena eti
Ukiniambia Unanijua mimi
Nakuwahi
Safari hatuwaogopi mbwa nyie [emoji23]
Ukiniambia Unanijua mimi
Nakuwahi
Safari hatuwaogopi mbwa nyie [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtia Nia wa ubunge 2020 na kabla ya hapo alikuwa diwani CCMNguvu Chengula
Mmoja wa wadhamini wa CCM Iringa Mjini
Hakuna kesi hapo.
Kamtishia bastola ana kesi ya kujibu huyo.
Jeshi la polisi mkoani Iringa linamshikilia Mkurugenzi wa shule ya Sun Academy, Nguvu Chengula, kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi Alifa Mkwawa, ambaye ni mzazi, kwa kutumia kitako cha bastola baada ya kuombwa uhamisho wa mtoto anayesoma katika shule hiyo.
Kamanda wa Polisi mkoani humo Allan Bukumbi, amesema tukio hilo limetokea majira ya saa 6:00 mchana maeneo ya shule hiyo iliyopo mtaa wa Mawelewele ambapo chanzo cha tukio hilo ni mzozo uliotokana na mtuhumiwa kugoma kutoa uhamisho wa mtoto wa mlalamikaji kwa kile kinachodaiwa kuwa hajalipa ada ya mtoto huyo.
Chanzo: EATV
Yana mwishoKiburi cha madaraka.
Wale nyumbu wa Magu bado wapo wapo. Huku Tulia kule diwaniKiburi cha madaraka.
Kuna yule aliuwa kabisa pale kaniaaniHaya madudu hatukuyaona miaka mitano iliyopita, yameanza tena baada ya watu kushiba.
Yes ni wazi kabisaCCM NI watu hatariiiii wanatembea na migobore ili kuua watu
Hii shule imeyumba sana kwa sasa tokea jamaa amalize fedha zote kwenye kampeni za ubunge 2020
Jeshi la polisi mkoani Iringa linamshikilia Mkurugenzi wa shule ya Sun Academy, Nguvu Chengula, kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi Alifa Mkwawa, ambaye ni mzazi, kwa kutumia kitako cha bastola baada ya kuombwa uhamisho wa mtoto anayesoma katika shule hiyo.
Kamanda wa Polisi mkoani humo Allan Bukumbi, amesema tukio hilo limetokea majira ya saa 6:00 mchana maeneo ya shule hiyo iliyopo mtaa wa Mawelewele ambapo chanzo cha tukio hilo ni mzozo uliotokana na mtuhumiwa kugoma kutoa uhamisho wa mtoto wa mlalamikaji kwa kile kinachodaiwa kuwa hajalipa ada ya mtoto huyo.
Chanzo: EATV