LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Au vipiNchi ya Ccm mkurugenzi Ccm na uyo mzazi pia Ccm uwo ni ugomvi wa kifamilia utaisha na wala mkurugenzi hawezi poteza chochote labda mzazi ndo atapoteza mda kutafta matibabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au vipiNchi ya Ccm mkurugenzi Ccm na uyo mzazi pia Ccm uwo ni ugomvi wa kifamilia utaisha na wala mkurugenzi hawezi poteza chochote labda mzazi ndo atapoteza mda kutafta matibabu
Peleka mtoto shule za serikali toka mwanzo.Ndio ampige na kitako cha bunduki.
Elimu haipaswi kuwa biashara
Elimu ni Nini?Peleka mtoto shule za serikali toka mwanzo.
"Kama unaona elimu ni aghali basi jaribu ujinga" aliimba Banza Stone