DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Mbwa kala mbwa,Nguvu Chengula
Mmoja wa wadhamini wa CCM Iringa Mjini
Hakuna kesi hapo.
Hamna kesi hapo[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwa kala mbwa,Nguvu Chengula
Mmoja wa wadhamini wa CCM Iringa Mjini
Hakuna kesi hapo.
Jeshi la polisi mkoani Iringa linamshikilia Mkurugenzi wa shule ya Sun Academy, Nguvu Chengula, kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi Alifa Mkwawa, ambaye ni mzazi, kwa kutumia kitako cha bastola baada ya kuombwa uhamisho wa mtoto anayesoma katika shule hiyo.
Kamanda wa Polisi mkoani humo Allan Bukumbi, amesema tukio hilo limetokea majira ya saa 6:00 mchana maeneo ya shule hiyo iliyopo mtaa wa Mawelewele ambapo chanzo cha tukio hilo ni mzozo uliotokana na mtuhumiwa kugoma kutoa uhamisho wa mtoto wa mlalamikaji kwa kile kinachodaiwa kuwa hajalipa ada ya mtoto huyo.
Chanzo: EATV
100% Fact. Elimu haipaswi kuwa biasharaSchool as business na hili linaleta shida sana katika mfumo wa Elimu.
Ifike mahala huu ujinga uishe, FISIEM wameharibu sana hili taifa.Nguvu Chengula
Mmoja wa wadhamini wa CCM Iringa Mjini
Hakuna kesi hapo.
Hawa ndio aina ya wazazi ambao wanasomesha Ems ambao Joannah anampeleka mwanae shule hizo ili apate connection
Hizi shule ujinga mtupu
Umeambiwa ni kada maarufu wa chama tawala! Hii wataambiwa wakazungumze wamalize kesi nje ya mahakama ili kumnusuru bwana NGUVU CHENGULA.Polisi wamehalibu chakula ya ubongo,ajabu wa bastola atatoka na wakulima wa dawa miaka30
Bwana NGUVU CHENGULA ana nguvu nyingi sana. Huyo ni un tuchable muda si mrefu mlalamikaji ataambiwa akazungumze na mtuhumiwa wayamalize nje ya mahakama! Hapo hamna kesi.Kwisha jeuri yake. Polisi waichukue hiyo bastola asije akaitumia kuua huyu kenge.
Hizi shule za Medium hizi zinaongozwa na vilazaBwana NGUVU CHENGULA ana nguvu nyingi sana. Huyo ni un tuchable muda si mrefu mlalamikaji ataambiwa akazungumze na mtuhumiwa wayamalize nje ya mahakama! Hapo hamna kesi.
Kabisa mkuuUnamaanisha wenye pesa wameanza kujimwambafai?
Ndio ampige na kitako cha bunduki.Mzazi alipaswa alipe ada au aombe kwa upole.
Hakuna cha bure.