Mkurugenzi wa Shule ampiga Mzazi na kitako cha bastola baada ya kuomba uhamisho wa mwanaye

Mmeanza tena eti
Ukiniambia Unanijua mimi
Nakuwahi
Safari hatuwaogopi mbwa nyie [emoji23]
 
Kamtishia bastola ana kesi ya kujibu huyo.
 
Kuna mijitu mingine sijui serikali huwa inatumia formular gani kuipa silaha.
 
Dadeeeki, Kuna Watu Wana roho ngumu sana, inasemekana Mzazi kaenda kuomba uhamisho wa mwanae basi unaambiwa Mkurugenzi wa hio Shule ambaye ni Diwani wa CCM wa kutegemewa akachomoa bastola akamtwanga jamaa kwa kitako.

This time CCM wasije wakamkana, huyu ni Kada wao na hii ndio tabia yao



 
Polisi wamehalibu chakula ya ubongo,ajabu wa bastola atatoka na wakulima wa dawa miaka30
 
Matajiri wetu hawa ni wao kila kitu mpaka kufuatilia madeni 🤣🤣🤣 kinachofuata ni majanga kama haya
 
Dunia inaenda spidi, Hao kina Chengula ni wakinga naona pesa walizokamata zimewapa hadi jeuri ya kuwatandika wahehe kina Mkwawa
 
Huyu chengula alikua diwani awamu iliopita
 
Hii shule imeyumba sana kwa sasa tokea jamaa amalize fedha zote kwenye kampeni za ubunge 2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…