Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani mahakama ilitoa maelekezoHuyo Mdee yuko chama gani
Huu ujinga wa hivyo ndio Kabudi alienda kwenye mkutano wa UN wakati wa Magufuli, eti anasomea wajumbe wa Baraza kuu la umoja wa mataifa kuwa Tanzania Kuna demokrasia kubwa kwa kujenga shule, kupeleka madawati na upuuzi wa aina hiyo. Pale ndio wazungu walijua tuna ujinga wa kiwango gani.Duh!!! Nchi ya North Korea wananchi wanapewa nyumba bure. Je, hiyo siyo demokrasia?
Kwahiyo wazungu ndio kipimo cha ustaarabu?Huu ujinga wa hivyo ndio Kabudi alienda kwenye mkutano wa UN wakati wa Magufuli, eti anasomea wajumbe wa Baraza kuu la umoja wa mataifa kuwa Tanzania Kuna demokrasia kubwa kwa kujenga shule, kupeleka madawati na upuuzi wa aina hiyo. Pale ndio wazungu walijua tuna ujinga wa kiwango gani.
Unauliza au unapigia jibu mstari?Kwahiyo wazungu ndio kipimo cha ustaarabu?
Kwanini isiwe sasa na Uchaguzi uchelewe kidogo.katiba si baada ya uchaguzi mkuu2025
Na ukitaka kujua ni kiwango gani hatuna ustaarabu zaidi ya hila za kipuuzi, subiri uone kwenye huo mkutano, watu wazima watapotezewa muda wao, kisha mapendekezo mengi ya msingi yataachwa maana hayana maslahi na madaraka ya ccm.Kwahiyo wazungu ndio kipimo cha ustaarabu?
uchaguzi upo kwenye katiba.Kwanini isiwe sasa na Uchaguzi uchelewe kidogo.
Mimi ninajiuliza tu. Ustaarabu wa kulana mwanaume kwa mwanaume, sijui hata wanyama kama wanaustaarabu huo.Na ukitaka kujua ni kiwango gani hatuna ustaarabu zaidi ya hila za kipuuzi, subiri uone kwenye huo mkutano, watu wazima watapotezewa muda wao, kisha mapendekezo mengi ya msingi yataachwa maana hayana maslahi na madaraka ya ccm.
Ili Mama aibe Uchaguzi kwanza...uchaguzi upo kwenye katiba.
hiyo ingine na maoni na mapendekezo ya wadau tu haivunji wala kuathiri utekelezwaji wa katiba iliyopo.....
so,
maoni na mapendekezo yaweza subiri
bado ni maoni na mtazamo wakoIli Mama aibe Uchaguzi kwanza...
Kwa taarifa yako huo ushoga hata huku kwetu umejaa vibaya, tofauti ya sisi na hao wazungu ni kuwa wako wazi mno. Ila huko kulana ni janga la kidunia.Mimi ninajiuliza tu. Ustaarabu wa kulana mwanaume kwa mwanaume, sijui hata wanyama kama wanaustaarabu huo.
Je, upo na comment yoyote kuhusu ustaarabu wa wazungu kuhusu ushoga?
Kwasababu sio mambo mageni 2020 yametokea nasasa huyu Mama nae anataka mitano tena ya Wizi🤮🤮🤧🤧🥵bado ni maoni na mtazamo wako