Kuna watu wanasema hakuna sababu ya Chadema kukutana na Samia kwa mwenendo wa tunayoyaona including issue ya Halima et al. To me, kwa mazingira ya leo baada ya Mwendazake, ambaye alikuwa Jiwe kama ametokea mtu akasema njoo tutungumze, si busara kukataa wito. UTAKATAA UNACHOITIWA.
Busara za kawaida zinaniongoza hivyo! Hongera Mbowe, Hongera Chadema kwa kuitikia wito maana pressure ilikuwa kubwa eti msiende huko.
Hopefully you did not compromise your position on all political issues you have been demanding for decades!
FINALLY: Tunaomba mrejesho, TO BUILD TRUST AMONG TANZANIANS AS THIS WAS AND IS STILL A CONTENTIOUS ISSUE!
Busara za kawaida zinaniongoza hivyo! Hongera Mbowe, Hongera Chadema kwa kuitikia wito maana pressure ilikuwa kubwa eti msiende huko.
Hopefully you did not compromise your position on all political issues you have been demanding for decades!
FINALLY: Tunaomba mrejesho, TO BUILD TRUST AMONG TANZANIANS AS THIS WAS AND IS STILL A CONTENTIOUS ISSUE!