Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
🤣🤣🤣Hivi mkuu wangu una madini ardhini.....tunayachimba sisi "in large scale"?!!!Hii dhana ya wazungu kuiba rasilimali za waafrika miaka 60 baada ya kujiendesha wenyewe ni dhalili sana.
Wajibu wetu ni upi kwenye maendeleo ya dunia tutaombaomba mpaka lini??
Fikra na makuzi gani haya?
Huu upuuzi wa kuhemea hemea ni dhana mbovu ambayo inapaswa kupingwa na wote kwa namna zote
Uwezo huo tunao?!!
Mbali na kuchimba...je kuyanunua(soko la ndani)?!!!
Iko hivi.....
Ili uchimbe madini(kitalu kimoja) kwa kutolegalega na kutopata hasara huna budi kuwekeza DOLA MILIONI 500 mpaka DOLA BILIONI 1....
Fedha zote hizo unaweza kuzipata kutoka MIKOPO YA BENKI YENYE RIBA KUBWA......
Huna viwanda vya kutengeneza yafuatayo halafu unapandwa "mori wa uchungu na jazba tu":- 🤣
✓Wheel Tractor Scrapers
✓Hydraulic Mining Shovels
✓Large Dozers
✓Rotary Drill Rigs
✓Drag Lines
✓Underground Mining Loaders and Trucks
✓n.k n.k n.k
Looo saalaaleeee 🤣🤣
SIEMPRE SSH💪
NCHI KWANZA👊