Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi, Scotland: Rais Samia ametuangusha

Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi, Scotland: Rais Samia ametuangusha

Wafugaji wamejaa maporini wanafyeka misitu/mapori eti wanyama wao wasipotee, hakuna anaejali! Wenye mamlaka wako bize na machinga! Bado mapori ya akiba/tengefu kwa ajili ya kuhifadhi mazingira mnawagawia wananchi wafyeke waishi! Ina maana Mwalimu alikuwa mjinga kuyatenga? Aisee yaani afrika haina viongozi ndiyo maana tramp alikuwa anawadharau sana! Yaani ni mizigo! Ndiyo haibebeki! Mapori yanateketea halafu wanaenda ulaya sijui kusema nini! Sisi wakulima tunasikitika sana!
Hawana akili, juzi Shaka anaropoka eti mamlaka ya hifadhi za misitu ziruhusu watu waharibu misitu, wanaongea mambo ya ajabu, JPM alikuwa strict na mkali wa ujinga kama huu.
 
Wafugaji wamejaa maporini wanafyeka misitu/mapori eti wanyama wao wasipotee, hakuna anaejali! Wenye mamlaka wako bize na machinga! Bado mapori ya akiba/tengefu kwa ajili ya kuhifadhi mazingira mnawagawia wananchi wafyeke waishi! Ina maana Mwalimu alikuwa mjinga kuyatenga? Aisee yaani afrika haina viongozi ndiyo maana tramp alikuwa anawadharau sana! Yaani ni mizigo! Ndiyo haibebeki! Mapori yanateketea halafu wanaenda ulaya sijui kusema nini! Sisi wakulima tunasikitika sana!
Afrika hakuna viongozi mkuu kuna watawala angalia huyu tuliye nae huu ni mwaka 2021 yeye akili na mawazo yake yanawaza uchaguzi wa 2025 Sasa huyu ni kiongozi [emoji23]
 
SSH anahangaika na mkutano wa kuhusu Climate changes” hivi ili ni tatizo kubwa la watz, Carbon emission Tz ni ndogo sana kwa nini anaenda kuhangaika na inshu zisizo na faida au athari kubwa kwetu? Au ili mradi tu amezurula, tungewakilishwa na Mawaziri na mabalozi tungepoteza nini ?
Hatutaki Rais asiyekuwa na exposure, na muelewe wazi nchi hii haitatawaliwa tena na washamba.

Dosari za mama tunazijuwa tutadeal naye accordingly, lakini never again kukabidhi nchi kwa washamba.
 
Hatutaki Rais asiyekuwa na exposure, na muelewe wazi nchi hii haitatawaliwa tena na washamba.

Dosari za mama tunazijuwa tutadeal naye accordingly, lakini never again kukabidhi nchi kwa washamba.
Ni nani aliikabidhi nchi kwa washamba?
 
Hawana akili, juzi Shaka anaropoka eti mamlaka ya hifadhi za misitu ziruhusu watu waharibu misitu, wanaongea mambo ya ajabu, JPM alikuwa strict na mkali wa ujinga kama huu.
JPM is dead Man, naona yatima mnashindwa kuukubali ukweli, is no more, tupo awamu ya Sita wewe bado unaota awamu ya kishetani?
 
JPM is dead Man, naona yatima mnashindwa kuukubali ukweli, is no more, tupo awamu ya Sita wewe bado unaota awamu ya kishetani?

383D0221-1F06-4362-962F-CE32D3079936.jpeg
 
Ni hasara sana kuongozwa na kiongozi anayewaza kuombaomba pasi na kutafuta Suluhu.

Mafanikio na maendelea ni kazi na akili kama kiongozi asilimia 80% ya mawazo yake ni kuombaomba hata ashuke malaika Gabriel hatutoboi.
Nakumbuka akiwa arusha alisema hata hela za kujenga stendi ataomba mahala.

Watu wa pwani kiasili ni omba omba. Hawawezi kuishi bila kuomba. Utumwa uliwaharibu sana akili.
 
Tanzania ni kipande kilichopo duniani na madhara ya climate change yanatuadhiri pia kwa mfano theruji imeyeyuka kwenye cap ya mlima Kilimanjaro, ukame na mafuriko.
Na hayo majanga ni makubwa kuliko uwezo wa taifa kukabiliana,misaada ya kupambana na majanga hayo ilenge kwenye capacity building.
 
JPM is dead Man, naona yatima mnashindwa kuukubali ukweli, is no more, tupo awamu ya Sita wewe bado unaota awamu ya kishetani?
Wewe akili huna, Kwamba mtu akifa hatakiwi kuongelewa? Nyerere kila siku anaongelew ahumu kwani yuko hai?

Halafu kwani kufa ni jambo la ajabu, wewe hutakufa?

Unaandika kama umekalia mshine.
 
Sisi tulizoeshwa na JPM kujitangaza kuwa ni matajiri na huo ndiyo ukweli na utabaki hivyo. Mambo ya kuzurura ni ya wa pwani. HAPA KAZI TU
 
We lofa kweli,KWA hyo wakupe KWA mkono huu afu wakupe masharti ya kuingiza sheria zao za kishenzi kama ushoga!

Mnateteaga upumbavu sana
Hivi toka tuanze kupewa misaada enzi za Hayati baba wa taifa ndani ya familia yenu wamepatikana mashoga wangapi ?!!! Wanazidi 5?!!
 
Kwanza sio kila mikutano lazima aende kuhudhulia. Mikutano mingine unaangalia Ina tija gani kwa Taifa letu. Kwenda ktk mikutano kama huo ni matumizi mabaya ya pesa Yetu ya tozo. Angemtuma balozi wetu wa huko au aliye kalibu na hapo Kwenda kumuwakilisha
Kuandika tu kiswahili fasaha hujui....utaweza kuwa na Weledi wa kumshauri kiongozi wa nchi ?!!! Khaaa 😲😲🤣
 
Mnaona aibu kuomba omba? Mnamuonea aibu nani asiyejua nchi hii ni masikini wa kutupwa na inategemea misaada kuendeshwa? Ndiyo hali halisi nchi masikini kama hii haiwezi kumudu mfano tozo ya kupunguza carbon (carbon tax).

Lazima tusaidiwe au mnataka Watanzania wafe na tai shingoni kwa kuona aibu kutembeza bakuli? Ndiyo maana yule aliyepita aliona aibu za kuomba msaada wa kupambana na Covid-19, wengi wakafa kwa ajili hiyo. Tukubali nafasi yetu hapa duniani kama nchi masikini, tunaotegemea misaada miaka 60 tangu tupate uhuru.
Kwa hiyo watu milioni moja tanzania waliochanjwa ndo walikua na covid hawa milioni 60 waliobaki hawakua na covid sio?

Wachawi waliua watu kupitia mgongo wa covid sasa baada ya kumaliza kazi milioni 60 wamepona covid, hii ni hatari sana.

Jifunze kama wewe nyumbani kwako unapenda kujitegemea bila kuomba kwa jirani basi hata nchi tungependa tujitegee tubakize mahusiano ya kawaida.
 
Wanabodi,



Kama mtanzania, inawezekana umepata nafasi kufuatilia yanayojiri nchini Scotland kwenye mkutano unaohusu mabadiliko ya tabia nchi. Mkutano huu umehudhuriwa na viongozi wengi akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan ambaye alihutubia mkusanyiko huo.

Tofauti na nchi kama China, Marekani na India, Tanzania haihusishwi sana kwa kuwa chanzo cha mabadiliko ya tabia nchi. Umuhimu wa kuhudhuria mkutano huo ni kujumuika na viongozi wengine katika kujadili suala hili na kuwa na mchango unaoweza kuleta manufaa chanya kwa miaka mingi ya baadaye.


Nimebahatika kuanglia hotuba zote za Rais Samia na kwa bahati mbaya au nzuri, aligusia zaidi kwenye umuhimu wa nchi zilizoendelea kuzisaidia nchi ambazo hazijaendelea kifedha ili kuweza kukabiliana na tatizo hili la mabadiliko ya tabia nchi.

Labda inawezekana kwamba ni kweli Tanzania inahitaji misaada hiyo lakini kwa upande wa pili haipendezi kuona kwamba mawazo haya ya kuendelea kupata misaada imetawala katika vichwa vya viongozi wetu. Kauli kama hizo zinaweza zisizae matunda.

Ingependeza sana kama Rais Samia angejizatiti zaidi katika kuongelea umuhimu wa kuwa na "balance" katika shughuli za maendeleo, maslahi ya binadamu na mikakati ya kulinda mazingira. Kama Tanzania, angezungumzia changamoto zinazo sababishwa na mabadiliko ya tabia nchi na mipango yetu haswa katika kipindi ambacho tunatamani uchumi wa viwanda.

Kwa nchi zilizoendelea, umuhimu wa sayansi katika kuvumbua njia mpya zisizo chochea uharibifu wa mazingira zinazoweza kutumika kwenye sekta mbali mbali

Mungu ni mwema, wakati wote

Masalia ya utumwa akili utumwa ndio urithi ulio tamalaki. Elimu mazingira tena elimu shirikishi bottom-up, ushiriki wa viongozi tena kuwa mfano, usimamizi, sera thabiti, citing sustainable development goals hasa vipengele vya mazingira, kuhimitiza utekelezaji wa maazimio mbalimbali ya nyakati zilizopita, na kuainisha mafanikio ya tanzania katika utekelezaji wa maazimio hayo na mipango thabiti iliopo kwa sasa na baadae, kuweka mfano bayana wa tunachofanya tanzania kwa muktadha wa maudhui at hand.

Wenye akili wapo lakini je wanaheshimika, kujumuishwa, kuaminiwa, kushirikishwa na kupewa nafasi za kuwasaidia viongozi.

Unapewa pesa baada kuonesha na kuainisha relevant proposals au projects zinazovutia watoa pesa.
 
Ndio maana hizo pesa hazikutolewa walifanya makusudi wanawajua viongozi wa Africa ni mafisadi hivi kwa akili ya kawaida kupanda mti unahitaji pesa si unachukua tu mbegu za Miche
 
Mnaona aibu kuomba omba? Mnamuonea aibu nani asiyejua nchi hii ni masikini wa kutupwa na inategemea misaada kuendeshwa? Ndiyo hali halisi nchi masikini kama hii haiwezi kumudu mfano tozo ya kupunguza carbon (carbon tax).

Lazima tusaidiwe au mnataka Watanzania wafe na tai shingoni kwa kuona aibu kutembeza bakuli? Ndiyo maana yule aliyepita aliona aibu za kuomba msaada wa kupambana na Covid-19, wengi wakafa kwa ajili hiyo. Tukubali nafasi yetu hapa duniani kama nchi masikini, tunaotegemea misaada miaka 60 tangu tupate uhuru.
Toa uboya wengi wamekufa wangapi? Wewe kwenu mmekufa wangapi kwa corona wewe mbona hujafa kwa corona!!???,mwendazake alisistiza sana watanzania tufanye kazi kwa bidii tujitume na tuache uvivu na hiyo ndo siraha kubwa kwa mafanikio ya kuepukana na umasikini kuomna omba kunalemaza na kunaleta umasikini fullstop.
 
Hata mimi nilitegemea hivyo kwamba kwa kuwa mabadiliko ya tabia nchi ni agenda ambayo imeonekana kuwa changamoto, je sisi japo ni nchi changa kiuchumi tuna idea gani tofauti na maalum ambayo mataifa tajiri yangeweza kuipokea au kuichota na kuitumia kupunguza au kutatua changamoto hiyo?
Aliegoma kutembeza bakuli katumia trilioni 4+ za wazazi wetu wastaafu. Dhambi iliyoje
 
Masalia ya utumwa akili utumwa ndio urithi ulio tamalaki. Elimu mazingira tena elimu shirikishi bottom-up, ushiriki wa viongozi tena kuwa mfano, usimamizi, sera thabiti, citing sustainable development goals hasa vipengele vya mazingira, kuhimitiza utekelezaji wa maazimio mbalimbali ya nyakati zilizopita, na kuainisha mafanikio ya tanzania katika utekelezaji wa maazimio hayo na mipango thabiti iliopo kwa sasa na baadae, kuweka mfano bayana wa tunachofanya tanzania kwa muktadha wa maudhui at hand.

Wenye akili wapo lakini je wanaheshimika, kujumuishwa, kuaminiwa, kushirikishwa na kupewa nafasi za kuwasaidia viongozi.

Unapewa pesa baada kuonesha na kuainisha relevant proposals au projects zinazovutia watoa pesa.
Kelele nyingi humpoteza mbwa....

Tunapotezwa tupambanie UKABILA ,UDINI ,UMAJIMBO NA UKANDA na kuonekana tunafanya la maana la KUJITAMBUA NA KUJITHAMINI....

Huo utumwa usemao ni upi ?!!!
Wa kiwango gani ?!!!

Wa kufungana minyororo na kushurutishwa kama enzi zile tulizochukuana wenyewe kwa wenyewe baada ya kushindwa vita baina ya makabila yetu ama kipindi kile walipotuchukua watu weupe?!!!

Utumwa upi uongeleao haswa?!!!
 
Back
Top Bottom