Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi, Scotland: Rais Samia ametuangusha

Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi, Scotland: Rais Samia ametuangusha

Nchi zilizoendelea zinapaswa kutoa fidia kwa nchi masikini kwani viwanda vyao ndio vinatoa gas nyingi zinazoharibu ozone layer. Tena sio kwa kubembeleza ilibidi iwe ni lazima.
 
Kujikombakomba kwa mabeberu hakuta saidia hizi nchi za bara giza. Daily kulialia.
 
Waharibifu wakubwa wa mazingira upande wa kuharibu tabaka ni hao mabeberu na viwanda vyao,wanapaswa kupunguza emitting poisonous gases,pia kwa sababu wanasababishia ulimwenguni wote majanga wanapaswa Ku finance ili nchi za ulimwengu waweze Ku tibu madhara haya.
 
Apatapo fursa ya kwenda nje na kutusemea WATANZANIA basi huinuka baadhi na KUMKOSOA na hata KUMZODOA......

Cha ajabu "mabingwa" hao wanasahau kuwa WAZUNGU "walikwiba" raslimali na nguvu kazi ya afrika kwa miaka mingi tu na wana WAJIBU wa kuturudishia baadhi ya "mambo".......

Na mambo yenyewe ni hayo MAFUNGU....tuyachukue tu....hakuna haja ya "kutumia falsafa nyingi" katika dunia isiyo na "mzani" Sawa.......

#Kazi Inaendelea Kwa Kasi & Weledi Zaidi 💪👊😍
Tuwaambie kwa madai rasmi kuwa tunadai mali zetu walizopora, hiyo ya kuomba misaada kwa sababu tu walipora rasilimali zetu naona ni upuuzi. Utamuombaje mtu aliyekudhulumu!? Wasalimie hapo Denmark.
 
Hoja ya "balance" katika maendeleo, masilahi ya binadamu inaweza ikaongelewa na big potatoes tu Ile ya G8, na siyo shithole countries (kama alivyoziita Trump).

Wale emmitters wakubwa wa carbon dioxide yaani China, USA, European Union na China kupitia Greenhouse gas ndiyo wanapaswa kujadili hilo.

Namuona Rais SSH ame address real issue ambayo itatuongezea fedha za kuratibu mazingira kupitia COP 26 ambayo itatenga USD 19 Bilion kwa nchi 197 ambazo zimeridhia mkataba wa Paris juu ya mabadikiko ya tabia nchi.

Mara nyingine hata kimoyomoyo tukubali tu kuwa nchi iko kwenye reli sahihi mikononi mwa Rais SSH hata kama tuna tofauti za kiitikadi, kidini na kikanda
😍👍
 
Hao wazungu wali tupiga sana wana Gold Reserve nyingi ya Africa, ukipata nafasi wapige

Na bado wanatupiga , mwendazake alituongopea tungenunuliwa NOAH baada ya kulipwa hela za MAKINIKIA lakini kaondoka bila kusema lolote na KABUDI nae amemeza jiwe; sijui walikatiwa ngapi?
Huwezi kuwapiga wazungu kwa kuomba omba hiyo ni legacy ya thinking ya Mkwere ambayo Samia unfortunately anaiendeleza na kuwapa mwanya maadui zake!!! Amini usiamini mama huyo Vasco Dagama is a liability!!!
 
Acha akomae na hizo hela, hawa mabeberu lazima uende na uzungumze nao na kupambania nchi yako ipate hela,ukijifanya kiburi etc hupati.na hiyo ni misaada na mikopo ya riba nafuu au ulitaka akomae hapa akope mikopo ya kibiashara yenye riba kubwa, unaambiwa kila mwaka kuna zaidi ya $ billioni mia moja, kwaajili hiyo, sasa nchi zetu maskini unataka tususeView attachment 1996480
Huu mwandiko wa Kikwete au sauti yake!.🤔
 
Ebu tuambie utajiri wa magufuli ni upi!? Pesa pembe la ng'ombe ukiwa nazo hazifichi .ukikutana na mtoto mdogo wa mjini gari la kampuni fulani ya mafuta inapopita utasikia hiyo ya ridhiwani...kampuni gani ulishaisikia ya magufuli au mtoto wake ina trend mjini kabla na baada ya kifo chake[emoji2957]
Pole,
Unaijuwa Nyanza Construction?🎤🎤
 
Hapo umepotosha. Dira ya Rais Samia iko wazi kabisa sema nyie mnaomuabudu yule DIKTETA mnabisha kama sehemu ya ibada.

Dira ya Samia ni kujenga uchumi utakaoleta financial inclusion kwa raia wake kupitia uwekezaji toka nje, biashara na nchi jirani huku tukizingatia utawala wa Sheria na haki.

Tanzania ilikuwa ni kisiwa wakati wa Mwendazake. Mama anafungua Tanzania kiuchumi
😍
 

Samia angetaka financial inclusion asingekubali TOZO kwenye miamala ya Simu ; hii imeawathiri watu wa hali ya chini na haswa akina mama vijijini na hiyo itatumiwa na wapinzani wake kumuangusha!!! Unfortunately, hao wanaomshauri hawamtakii mema. Gavana hana masaada kwa Samia Kwani hamshauri vyema; huyu ni mteule wa mwendazake!!!
 
Wena mkuu andiko lako mantiki ndani yake lakini mkuu, Nchi zetu nyingi za kiafrika , bila misaada unafikili itakuaje , nafikili maneno YAKO angeyaongea pia laki lazima mataifa yaliyoendelea yatusaidie , maana wao pia ni chanzo Cha matatizo aya
Hakuna wanapotusaidia, unapewa mkopo kwa riba na masharti
 
Ninadhani kuhimiza wananchi kutumia majiko ya gesi na kupunguza matumizi ya kuni na mkaa ingekua ni jambo la kujadili ndipo kuomba msaada wa kifedha.
Na serikali ingepunguza gharama za umeme Ili watu wajikite kwenye kupikia na kupunguza kutumia mikaa na kuanzisha kampeni za upandaji miti kitaifa, maana makazi mengi yanaanzishwa bila kuhiniza upandaji miti
 
Mkuu hotuba si wanaandaa wataalamu, sasa kama wataalamu wenyewe majani ya chai hawana critical thinking yoyote tegemea maneno yaleyale ya kuomba kuwekewa chochote kwenye bakuli.....rais anapoenda kwenye mikutano kama ile wataalamu wanatakiwa kukuna vichwa hasa kuandaa hotuba zenye mantiki, siyo hizi za kuimba propaganda za mabeberu na kuomba usaidizi. Lazima nchi kama nchi ieleze mawazo na mitazamo yake kulingana na mazingira na hali yake...​
 
Unaweza kuhimiza wananchi lakini kama hela ya kununua gesi hawana ni kazi bure. Wanaopikia kuni na mkaa siyo wanapikia kuni na mkaa kwa kupenda. Wanafanya hivyo kwa sababu ni uwezo wao. Wangekuwa na uwezo wa kupikia na gesi wangefanya hivyo.
Solutions ni kupunguza gharama za gesi na umeme Ili watu wapikie kwa wingi
 
Mleta mada naomba ujielekeze kwa usahihi...
Lisemwalo lipo... Hizo nchi zilizoendelea "zinaiba" sana rasilimali za dunia kujiendeleza! Na pia katika mchakato wa kufanya hivyo zinafanya uzalishaji mkubwa wa gesijoto na kufanya uchafuzi mwingi unaosambaa ulimwenguni kote!
Sikia; kwamba nchi tajiri zilizoendelea zitoe fedha kusaidia nchi maskini na zinazoendelea ni suala la makubaliano rasmi yaliyokuwepo toka enzi za Kyoto Protocol na sasa Paris Agreement. Hivyo #SSH kuweka msisitizo huo kwenye hotuba zake ni kuwakumbusha hao wakubwa majukumu yao kwenye makubaliano rasmi yaliyopo.
Itakuwa ni ajabu kama unaona tatizo kwenye kuwadai uwekezaji wa fedha hizo!
Hiyo ndiyo climate politics! #SSH yupo sahihi!
Ni ujinga kuwakamua wananchi maskini wa Tanzania ili kutoka kwao fedha zipatikane za uwekezaji na ujenzi wa miundombinu (hizo akili zilizikwa pamoja na JPM).
Matajiri wa dunia hii wana pesa ambazo walizipora kutoka kwetu. Matajiri wa dunia hii wamesababisha mabadiliko ya tabianchi kwa viwango visivyomithilika! Matajiri wa dunia hii wanauwezo mkubwa wa kustahimili majanga yatokanayo na mabadiliko ya tabianchi tofauti na maskini wa dunia hii! HIVYO wanapaswa kubanwa wazirudishe kwa namna nzuri na endelevu ya kuzikwamua na kuziendeleza nchi maskini kujihimu na mabadiliko ya tabianchi!
Na huo ndo msimamo wa dunia kwa sasa unaoangazia masuala ya climate finance and adaptation fund kwa kuwataka nchi tajiri kutoa zaidi fedha na technolojia!
Kama unapingana nao basi huyajui vizuri mabadiliko ya tabianchi na madhara yake.

NB: Tafadhali rejea reports mbalimbali za UN, UNFCCC, IPCC, KYOTO PROTOCOL, PARIS AGREEMENT, n.k!
Mama #SSH hakwenda kutembeza mabakuli. Kwa muda mrefu mikutano ya UNFCCC COP imekuwa ni sehemu ya kuzibana nchi tajiri kutimiza makubaliano yaliyopo.
Hapa ndio mnapojjchanganya
Mama Samia alipokuwa bagamoyo alisema wameweka tozo ili nchi ijiendeshe iache kutegemea mikopo ambayo inakuja na mashrti magumu
Kama mnasema hao matajiri wana pesa za kuleta huku basi ondoeni tozo
 
Yaani nilipomsikia anazungumzia kupewa misaada na analialiatu sisi nchi masikini nikajiuliza haya kama ni masikini dunia haijaanza leo wala yeye hajaanza kuzurula huko alikuwepo muzurulaji mahili Kikwete hakuna tulichopata! Anasema anakusanya trilion almost mbili kwa mwezi pamoja na tozo! Kwa kweli anapoteza rasilimali kwenda kulialia kwa watu ambao wanasimamia masirahi yao!
Nchi bila misaada haiendi ndio maana kina mwigulu walikuja na tozo za miamala mkaanza kulia lia, na ujue budget ya nchi 60% inategemea wahisani Sasa acheni kujilisha upepo serikali ikiongeza Kodi mtaanza kulia ka yatima jangwani.
 
Back
Top Bottom