Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi, Scotland: Rais Samia ametuangusha

🤣🤣🤣Hivi mkuu wangu una madini ardhini.....tunayachimba sisi "in large scale"?!!!

Uwezo huo tunao?!!

Mbali na kuchimba...je kuyanunua(soko la ndani)?!!!

Iko hivi.....

Ili uchimbe madini(kitalu kimoja) kwa kutolegalega na kutopata hasara huna budi kuwekeza DOLA MILIONI 500 mpaka DOLA BILIONI 1....

Fedha zote hizo unaweza kuzipata kutoka MIKOPO YA BENKI YENYE RIBA KUBWA......

Huna viwanda vya kutengeneza yafuatayo halafu unapandwa "mori wa uchungu na jazba tu":- 🤣

✓Wheel Tractor Scrapers
✓Hydraulic Mining Shovels
✓Large Dozers
✓Rotary Drill Rigs
✓Drag Lines
✓Underground Mining Loaders and Trucks
✓n.k n.k n.k

Looo saalaaleeee 🤣🤣


SIEMPRE SSH💪
NCHI KWANZA👊
 
Jamaniee, msisahau Rais wetu ni Mwanamke wa kibongo! Kwao maendeleo na kupendwa ni KUOMBA HELA..
 
We lofa kweli,KWA hyo wakupe KWA mkono huu afu wakupe masharti ya kuingiza sheria zao za kishenzi kama ushoga!

Mnateteaga upumbavu sana
 
Huo ndio ukweriiii ndugu zangu
 
Ukija mkutano mwingine,utakwenda wewe uhutubie.
 
Umeelezea vizuri sana.Nafikiri itakuwa wamekuelewa,japo watajifanya hawajakuelewa.
 
Hotuba yake ni nzuri.Hakuna nchi duniani isiyopokea misaada,nchi zote duniani zinapewa na kupokea misaada.
 
Tena hakuna kiongozi mbaya kama mzee wa namungo na nimemdharau sana inaonekana ni mrafi sana sana
 
Hakuna Taifa,wala binadamu,asiyetaka msaada,msaada upo wa kifedha,kimawazo,kuonyeshwa njia,kupewa fikiria.Ni mjinga peke yake ndio,anaweza kuishi kwa kuona aibu,kuomba msaada.Hata wewe mleta mada,hapa uko JF,unatoa mawazo yako,umesaidiwa na aliyanzisha hii forum,wewe kuweza kutoa mawazo,ungekuwa na forum yako,kama hutaki kusaidiwa.
 
Kwanza sio kila mikutano lazima aende kuhudhulia. Mikutano mingine unaangalia Ina tija gani kwa Taifa letu. Kwenda ktk mikutano kama huo ni matumizi mabaya ya pesa Yetu ya tozo. Angemtuma balozi wetu wa huko au aliye kalibu na hapo Kwenda kumuwakilisha
 
Acha akomae na hizo hela, hawa mabeberu lazima uende na uzungumze nao na kupambania nchi yako ipate hela,ukijifanya kiburi etc hupati.na hiyo ni misaada na mikopo ya riba nafuu au ulitaka akomae hapa akope mikopo ya kibiashara yenye riba kubwa, unaambiwa kila mwaka kuna zaidi ya $ billioni mia moja, kwaajili hiyo, sasa nchi zetu maskini unataka tususe
 
Mkuu usitake mama kufanya vitu ambavyo hana uwezo navyo huo ndo uwezo wake kutembeza bakuri a.k.a ombaomba
 
Ataachaje kwenda na Waswahili mnavyopenda kudhurura. Akirudi tu tumeishampangia safari ya kwenda kutembea jamaica.
 
Wafugaji wamejaa maporini wanafyeka misitu/mapori eti wanyama wao wasipotee, hakuna anaejali! Wenye mamlaka wako bize na machinga! Bado mapori ya akiba/tengefu kwa ajili ya kuhifadhi mazingira mnawagawia wananchi wafyeke waishi! Ina maana Mwalimu alikuwa mjinga kuyatenga? Aisee yaani afrika haina viongozi ndiyo maana tramp alikuwa anawadharau sana! Yaani ni mizigo! Ndiyo haibebeki! Mapori yanateketea halafu wanaenda ulaya sijui kusema nini! Sisi wakulima tunasikitika sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…