Ukiwa unalala nae huyo ni mkeo asiye halali. Ni suala la muda tu utakabidhiwa au akufie hapo ndani uanze kupambana na mikesi.Nilichogundua mtoa mada anatuambia tusilale nao tuhakikishe baada ya mabao mechi kuisha tuwarudishe makwao.. ila kuoa ni mtego hatuwezi nasa hapo ndoa ni utapeli.
Kila siku watu wanafiwa na wake zao, hakuna tatizo katika hilo mkuu unless umeua. Kama ni natural death hakuna shida.Kifo kifo tu, iwe wa kwako au sio lazima kiwake
Kama unajidanganya eti kisa akiwa mke wako ndio simu moja tu, kesho matanga kesho kutwa unaanza kusaka mwengine hakuna kitu kama hiko, lazima uchunguzi wa kina ufanyike
Hivyo potelea pote, mtoto akiutaka anaupata
Vizuri. Hayo ndio maisha. Mess happens shukuru Mungu alikua uoanfe wakoKitambo kidogo mkuu ashaolewa kwa sasa na ana watoto wawili ila huwa tunawasiliana mara moja moja akinikumbuka ananipgia simu kwanza tuko mikoa 2 tofauti yuko a city mimi niko dsm.
hio inawezekana kabisaa, sasa wakaona na wewe usije ukajua kama yakienda mbali so maadam ni mzima basi acha yapite. Vipi uhusiano wako na hiyo familia baada ya hapo, ulikuaje especially na wazaz wake??Huenda alikuwa na shida mkuu sikuulizwa swali lolote. Mama yake alikuwa analia tu
Ahahahahah.. sasa mkuu una drive vipi gari na mfukoni una buku 2?? 😂😂.daah nilikuwa najiona mwenye hatia nakaza mfuko nina buku 12 tu hata haiwezi nunua chochote.
Wadogo zetu hawa ni wabishi sana kaka..Kila siku watu wanafiwa na wake zao, hakuna tatizo katika hilo mkuu unless umeua. Kama ni natural death hakuna shida.
Hata kwa mpenzi wako, natural death ni natural death tuKila siku watu wanafiwa na wake zao, hakuna tatizo katika hilo mkuu unless umeua. Kama ni natural death hakuna shida.
Yah ni kweli majanga hutokea maishani mkuu ni kumshukuru Mungu.Vizuri. Hayo ndio maisha. Mess happens shukuru Mungu alikua uoanfe wako
hio inawezekana kabisaa, sasa wakaona na wewe usije ukajua kama yakienda mbali so maadam ni mzima basi acha yapite. Vipi uhusiano wako na hiyo familia baada ya hapo, ulikuaje especially na wazaz wake??
Wazaz wako wewe walisemaje maana umesema familia zenu zilikua friends!!
Ahahahahah.. sasa mkuu una drive vipi gari na mfukoni una buku 2?? 😂😂.
Hiki kitu mimi huwa sifanyi.
Labda kama iwe jumapil naenda kanisani na kurud home maana always nina hakikishaga kuwa gari ina fuel ya dharura muda woote ikiwa imepaki siitumii
Balehe za miaka hii zinakaa muda mrefu mno mkuu. Unakuta kijana ana miaka 35-40 bado anabalehe tu, mtazamo wake kuhusu mahusiano na familia unamuona kabisa bado ana akili za kijana anayebalehe.Wadogo zetu hawa ni wabishi sana kaka..
Till they cum ,then their senses come wanabaki kujutia
Waeleze hao Bokoharam wa Chibok waache utekaji.🤔Mi nakwambia ukweli kabisa
Haya mapenzi haram unayofanya kila siku kwa kuwaleta watoto wa watu Geto kwako wanalala na wewe kisha alfajiri unawarejesha kwao...
Ipo siku yako nakwambia!
Mtoto wa watu akifia geto kwako, hakuna mtu atakuelewa hapo, we waone tu wanakuchekea na kukupa sifa... eti wewe ni kidume.. acha kabisa ndugu chukua tahadhari!
Sisi binadamu tunapita, hatueleweki tutakatia kamba muda gani, saa gani.. usiku au mchana!
Kama umefikia umefikia uwezo wa kupanga Geto na kuvusha kina dada kila leo, basi unaweza kuoa na kumiliki Mwanamke kihalali kabisa...
NAKUSHAURI OA..
Mpenzi wako ni yule anayetambulika na jamii yako kuwa huyu ni mpenzi wako na ikishafikia hatua hiyo kwa hapa Tanganyika huyo ni mkeo asiye halali kidini ila nadhani kuna sheria zinamlinda mwanamke wa aina hiyo maana kuna watu wanaishi pamoja hata miaka mpaka wanazaa na hawana ndoa na serikali inawatambua watu wa aina hii kupitia jamii yao inaowazunguka.Hata kwa mpenzi wako, natural death ni natural death tu
Kipengele huanza pale ambapo uchunguzi unafanyika na kugundulika sio kifo cha kawaida
Ahahahahahah pole sana...na hongera pia. MUNGU alikua upande wako wewe, mshukuru sana, hukuanza kufanya ibada kweli baada ya hilo???Yah ni kweli majanga hutokea maishani mkuu ni kumshukuru Mungu.
Sikuwapigia simu home, na sijui hata kama wao waliwaambia home. Ila mimi kesho yake nilienda home maana nilikuwa naishi alone nshatoka home, so nilienda nikawa najiongelesha ooh fulani aliumwa akalazwa, nilikuwa pale hospital. Sikusema kama nilikuwa naye na nikampeleka nao home wakaonekana kutokuwa na taarifa.
Wazazi wake yani hawakuonyesha reaction yoyote. Ila sasa mimi nikawa najishtukia. Nilikuwa naenda pale nikaacha. Walikuwa muda mwingine wananiomba nimpeleke mdogo wake huyo binti shule alikuwa anasoma sekondari hasa siku zikifunguliwa muda mwingine mimi nilikuwa nampeleka shule, wakaacha kuniambia nimpeleke sijui waliniona ni fisi.
Aaah mkuu gari mafuta ilikuwa nayo, ila fedha kama fedha sikuwa nayo nilikuwa nimepiga. Halafu nilikuwa naishi bahari beach, so nilimpeleka rabinsia pale tegeta, na kwao ilikuwa hapo Africana.
Kwanza nimepiga simu kwao nikiwa mbuyuni, bahati nzuri baba na mama yake walikuwa maeneo ya wazo so tumekutana pale pale hospital maana hata fedha ya kufungua file ilikuwa buku 10 ningebaki na buku mbili. Ilikuwa noma mtu wangu.
...ukiacha ushabiki hata watoto nao watapenda kulala na wenzao kupunguza stress za dunia mental heslth pia.....zunguka dunia nzima......kile kitu muhimu kote kote.....Mi nakwambia ukweli kabisa
Haya mapenzi haram unayofanya kila siku kwa kuwaleta watoto wa watu Geto kwako wanalala na wewe kisha alfajiri unawarejesha kwao...
Ipo siku yako nakwambia!
Mtoto wa watu akifia geto kwako, hakuna mtu atakuelewa hapo, we waone tu wanakuchekea na kukupa sifa... eti wewe ni kidume.. acha kabisa ndugu chukua tahadhari!
Sisi binadamu tunapita, hatueleweki tutakatia kamba muda gani, saa gani.. usiku au mchana!
Kama umefikia umefikia uwezo wa kupanga Geto na kuvusha kina dada kila leo, basi unaweza kuoa na kumiliki Mwanamke kihalali kabisa...
NAKUSHAURI OA..
Aaah wapi mkuu. Kwanza nilikuwa ujana mwingi nina mademu kama wanne. Yeye alikuwa main chick na kuna semi main chick na kuna side chicks wawili na party time.Ahahahahahah pole sana...na hongera pia. MUNGU alikua upande wako wewe, mshukuru sana, hukuanza kufanya ibada kweli baada ya hilo???
Mi nakwambia ukweli kabisa
Haya mapenzi haram unayofanya kila siku kwa kuwaleta watoto wa watu Geto kwako wanalala na wewe kisha alfajiri unawarejesha kwao...
Ipo siku yako nakwambia!
Mtoto wa watu akifia geto kwako, hakuna mtu atakuelewa hapo, we waone tu wanakuchekea na kukupa sifa... eti wewe ni kidume.. acha kabisa ndugu chukua tahadhari!
Sisi binadamu tunapita, hatueleweki tutakatia kamba muda gani, saa gani.. usiku au mchana!
Kama umefikia umefikia uwezo wa kupanga Geto na kuvusha kina dada kila leo, basi unaweza kuoa na kumiliki Mwanamke kihalali kabisa...
NAKUSHAURI OA..
Dooh i feel sory for her.. kumpenda mtu halaf yeye hakupendi ni jambo linalovunja sana moyo.Aaah wapi mkuu. Kwanza nilikuwa ujana mwingi nina mademu kama wanne. Yeye alikuwa main chick na kuna semi main chick na kuna side chicks wawili na party time.
Yeye nikaanza kumwogopa kama ukoma akawa ananisumbua najifanya niko bsy. Alikuwa ana funguo za nyumbani kwangu alikuwa anapenda kwenda kunifanyia usafi akitoka kazini weekend hasa alikuwa anatoka mapema. Nikawa nikijua anakuja mimi naondoka atakaa mpaka usiku sijarejea hadi anaondoka.
Alivyoona hali imezidi si akajilipua akamtafuta kaka yangu kumweleza kuwa tulikuwa tuna mahusiano na sasa namzingua.
Sasa kesi ya nyani unampelekea ngedere, na mimi bro wangu alikuwa ushauri wake ni kama humtaki achana naye tu ila yeye anampa moyo.