Mkuu, huyo mtoto wa mtu unayelala nae kimya kimya siku asipoamka hakuna mtu atakuelewa hapo mtaani

Mkuu, huyo mtoto wa mtu unayelala nae kimya kimya siku asipoamka hakuna mtu atakuelewa hapo mtaani

Dooh i feel sory for her.. kumpenda mtu halaf yeye hakupendi ni jambo linalovunja sana moyo.
Ulikuwa ujana mkuu yani nilikuwa nina ujana na usela mavi sikuwa focused. Alikuwa mke wa kuoa yule. yeye na mwingine ambaye nilikuwa nimempa rank ya pili wale ilifaa nioe mmojawapo. Walikuwa poa sana ila nilikuwa busy collecting stones wakati nina diamonds ndani.
Wote wameolewa wana familia mimi hadi leo bado nipo nipo tu naelekea kwenye u-seniour bachelor.
 
Ulikuwa ujana mkuu yani nilikuwa nina ujana na usela mavi sikuwa focused. Alikuwa mke wa kuoa yule. yeye na mwingine ambaye nilikuwa nimempa rank ya pili wale ilifaa nioe mmojawapo. Walikuwa poa sana ila nilikuwa busy collecting stones wakati nina diamonds ndani.
Wote wameolewa wana familia mimi hadi leo bado nipo nipo tu naelekea kwenye u-seniour bachelor.
Mungu akusaidie japo ulishapoteza fursa ila tumain bado lipo na wanawake wazur wa kuoa bado wapo wengi tu labfa kama umeshakua mwanachama wa chama hik cha vijana wa JF
 
Ukiwa na mawazo haya, then uwez kumpa hata mtu lift kwenye gari yako

Utakuwa unajua anytime anaweza kuzimika ikawa shida

Haha
Jamii ya sasa haielewi mtu akifia kwenye gari yako, utaambiwa ulimtoa kafara upate utajiri.
 
Mungu akusaidie japo ulishapoteza fursa ila tumain bado lipo na wanawake wazur wa kuoa bado wapo wengi tu labfa kama umeshakua mwanachama wa chama hik cha vijana wa JF
Hahaha siko desperate kihivyo mkuu ntaoa tu Mungu akijalia sidhani kama mimi ni mwanachama wa kudumu wa kataa ndoa. Ni temporary member.
 
Mi nakwambia ukweli kabisa
Haya mapenzi haram unayofanya kila siku kwa kuwaleta watoto wa watu Geto kwako wanalala na wewe kisha alfajiri unawarejesha kwao...

Ipo siku yako nakwambia!

Mtoto wa watu akifia geto kwako, hakuna mtu atakuelewa hapo, we waone tu wanakuchekea na kukupa sifa... eti wewe ni kidume.. acha kabisa ndugu chukua tahadhari!

Sisi binadamu tunapita, hatueleweki tutakatia kamba muda gani, saa gani.. usiku au mchana!

Kama umefikia umefikia uwezo wa kupanga Geto na kuvusha kina dada kila leo, basi unaweza kuoa na kumiliki Mwanamke kihalali kabisa...

NAKUSHAURI OA..
Ushahidi wa kimazingira,

Ndoa ni utapeli.
 
Nikioa jf member wote na moderators waje kwenye harisi waje kunipiga viboko vikiambatana na LIFEBAN
 
Cha muhimu ni kutoa taarifa polisi wewe mwenyewe ili aje afanyiwe postmortem kama amekufa natural death dokta atathibitisha wala wewe hutapata tatizo lolote, shida ni pale utakapotaka kujiongeza jinsi ya kupoteza hiyo maiti na kuficha siri ndo hapo utakapoingia kwenye matatizo makubwa.

NB: Siungi mkono zinaa, ni uchafu na ni katika madhambi makubwa.
 
Cha muhimu ni kutoa taarifa polisi wewe mwenyewe ili aje afanyiwe postmortem kama amekufa natural death dokta atathibitisha wala wewe hutapata tatizo lolote, shida ni pale utakapotaka kujiongeza jinsi ya kupoteza hiyo maiti na kuficha siri ndo hapo utakapoingia kwenye matatizo makubwa.

NB: Siungi mkono zinaa, ni uchafu na ni katika madhambi makubwa.
Ni sahihi sababu utapunguza usumbufu na itakusaidia wakati wa kesi ila shida ipo pale pale maana dhamana hutapata na utakaa ndani mno mpaka kesi isikilizwe labda kama upo vizuri kifedha.
 
Kwa kweli watu wawe makini sana, kuingiza ghetto mdada hujulikani kwao wala kwenu hajulikani ni hatari sana. Akikufia hapo kesi yake utakaa mahabusu hadi uchakae. Its dangerous sana. Angalau basi familia zinajuana, unaweza kusema tatizo litapungua nguvu kidogo.

Kupeleka tu mtu guest kuna hatari zake. Kina dada alinihadithia, alienda lodge na mzee wa makamo(around 60s) yeye yupo 40s, basi wakafanya yao hapo for hrs then mzee akazima ghafla.

Yule dada alihaha balaa, mawazo yakamjia amkimbize hospitali(uzuri mzee alikuja na gari), akampeleka hospitali X baada ya kufika akapokelewa, matibabu yakaanza, yule dada akachukua simu akapiga kwa mkewe....familia ilovyokuja hawakutaka hatakuuliza nini kilitokea zaidi ya kushukuru kwa msaada wake, dada akaponea namna hiyo.
 
Mi nakwambia ukweli kabisa
Haya mapenzi haram unayofanya kila siku kwa kuwaleta watoto wa watu Geto kwako wanalala na wewe kisha alfajiri unawarejesha kwao...

Ipo siku yako nakwambia!

Mtoto wa watu akifia geto kwako, hakuna mtu atakuelewa hapo, we waone tu wanakuchekea na kukupa sifa... eti wewe ni kidume.. acha kabisa ndugu chukua tahadhari!

Sisi binadamu tunapita, hatueleweki tutakatia kamba muda gani, saa gani.. usiku au mchana!

Kama umefikia umefikia uwezo wa kupanga Geto na kuvusha kina dada kila leo, basi unaweza kuoa na kumiliki Mwanamke kihalali kabisa...

NAKUSHAURI OA..
ushauri mzuri sana umempa
 
Ni sahihi sababu utapunguza usumbufu na itakusaidia wakati wa kesi ila shida ipo pale pale maana dhamana hutapata na utakaa ndani mno mpaka kesi isikilizwe labda kama upo vizuri kifedha.
Kweli bro ukikutana na askari waliovurugwa wanakubeba utakaa gerezani mahabusu zaidi ya mwaka hadi siku kesi yako ipangiwe session kwenye ushahidi huko ndo utaenda kuachiwa huru kutokana na majibu ya daktari kwenye postmortem, ila ndo hivyo miaka miwili au zaidi utakua umepotezea gerezani
 
Mi nakwambia ukweli kabisa
Haya mapenzi haram unayofanya kila siku kwa kuwaleta watoto wa watu Geto kwako wanalala na wewe kisha alfajiri unawarejesha kwao...

Ipo siku yako nakwambia!

Mtoto wa watu akifia geto kwako, hakuna mtu atakuelewa hapo, we waone tu wanakuchekea na kukupa sifa... eti wewe ni kidume.. acha kabisa ndugu chukua tahadhari!

Sisi binadamu tunapita, hatueleweki tutakatia kamba muda gani, saa gani.. usiku au mchana!

Kama umefikia umefikia uwezo wa kupanga Geto na kuvusha kina dada kila leo, basi unaweza kuoa na kumiliki Mwanamke kihalali kabisa...

NAKUSHAURI OA..
Kwani uchunguzi kuwa kwanini hajaamka hakuna?. Acha kutisha watu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom