Mkuu, huyo mtoto wa mtu unayelala nae kimya kimya siku asipoamka hakuna mtu atakuelewa hapo mtaani

Kabisa mkuu, na hapo uombe ndugu wa binti wasiwe vichwa mbovu pia asiwepo mtu mwenye kesi ya mauaji mwenye fedha akahonga usomewe mashataka yake. Unashangaa siku ya kesi jina unaloambiwa umeua ni tofauti na mwanamke aliyefia ndani kwako hujakaa sawa jaji kagonga meza poop, afungwe maisha huyu.
 
Ndio maana kuna Postmortem, natural Death inajulikana..

Kama unajiweza vzr usipeleke kila Mwanamke nyumbani kwako. Kuna zile Pisi za kuleta.. exempted coochies.
 
Mkuu mimi kuna siku nampa show my wife.
Sasa mikikimikiki imezidi naona mtu kalegea tu.
Nipo napump nahisi utofauti hata kwenye rhythm..
Nikamuangalia,, mbona huyu siko nae kabisa? Namuita haitiki naona ni jasho tu limemjaa usoni halafu la baridi.
Nikaloose confidense nikawa na namtingisha tu bila majibu.
Kumbe mwenzangu kakata moto muda tu.
Nikapepea wee ndio baadae anakuja kuzinduka halafu kinyonge sana..
Nikamuuliza vipi hajibu chochote yeye mwenyewe ananiuliza kwan vipi?
Niliwaza hapo hapo nimpige chini maana sielewi..
Lakini siku nyingine nikalipata limshangazi moja hivi lilikuwa na kama pepo la ngono hivi..maana lilikuwa linapenda sana show sasa tukawa tumekutana tumeweka lama ligi yetu..

Sasa ikaja siku niko zangu busy nakula mbususu kwa hisia kishenzi hamna jasho wala kasi kihivyo hee nimeenda kilomita za kutosha hadi mshangazi anaona giza tu ananiuliza Sonko mbona unatembea slow lakini kimaajabu hivi kuna nini umeniwekea??
Mimi namjibu tu twende mama..
Mara akakata moto nae akalegea na kutulia siku hii niliwahi kumuobserve tofauti na ilivyokuwa kwa wife..
Nikashuka kifuani na kukaa kwenye angle ya kitanda nikimuangalia kwa umakini sana ni kweli hana fahamu kabisa nikawa najiuliza kwani hawa watu wangu wana nini??
Nikakurupuka na kuanza kumpepea na shuka alipozinduka ni yale yale..

Ila huyu mshangazi alinipitisha kwenye changamoto nyingine ya kupandisha majini wakati namgegeda aisee siku hiyo ndio niligundua kumbe mashetani hawapendi kuziona shahawa aisee mimi ni jasiri lakini nilifokewa hadi nikapoteza umakini kwa sekunde kadhaa kwanza..
 
Mleta mada ana hoja anastahili kusikilizwa! Gharama za kumudu nyapu za muda mfupi ni kubwa sana kuliko kumiliki chombo chako halali! Kijana oa! Hata hivyo hizo nyapu miongoni wana mikosi, nuksi, na mabalaa! Kama sio leo uwe na uhakika yatakutembelae!
 
Mkuu usiishi kiuoga uoga, kimachale chale hadi ukakosa amani na kuanza kuogopesha wenzako kwa fikra zako hizo.

Kila kitu na kila mahali kuna negative impact zake, usipaamini hata hapo ulipokaa sasa hivi panaweza kukuzulia balaa ukashangaa.

Kwani huyo mkeo halali akikufia ghafla inakuwaje?

Process utakazofuata wewe kufiwa na mkeo ghafla, ndizo atakazozitumia mtu akifiwa na hawara yake ghafla, iwe chumbani kwake ama 'guest'.

Dhana zote potofu huondolewa hospitali kwa njia ya postmoterm.

Kushauri vijana kuoa ni jambo jema, lakini ushauri huo haufai kuletwa kwa njia ya vitisho na mizengwe.
 
Acha uoga, mwanaume sifa yake mikiki mikiki mzee wa sea piano, ss wewe muoga mno unaona hapo tu badala uchukue kenwood ukachukua Taiwanese, badala usikilze intrnational playlist umemuweka mbosso.. una uoga sana.
hebu nipe play list non stop konki ulizonazo!
 
Dadaake anajua
Shosti ake anajua... Yakitokea mazonge ni ajali kazini.. Ukiwa bondia usiogope za chembe
 
Vipi wasipokufa! Halafu huu utaratibu wa kupangia watu maisha nani amekumilikisha? Kwani hao mabinti huwa anawaleta hapo geto huku wakiwa wamefungwa kamba? Je, ni wanafunzi? Vipi, na wewe kesho yako unaijua?

Naomba majibu tafadhali.
 
Ukweli mtupu na kama kuna anebisha mwache yamkute ili awe mfano kwa wenzake.
 

Hili si jambo la kushabikia, tuna mifumo ya hovyo tu..hakuna sababu yeyote ya kumuweka ndani mtu muda wote huo! Kwa Us baadhi ya hizo murder case unapewa bail vizuri tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…