Mkuu wa HAMAS apoteza watoto watatu na wajukuu watatu huku akiendelea kula maisha Qatar

Kama ulikuwa hujui ukifa shahidi wewe moja kwa moja peponi hii ndo raha ya uislam

Hao watoto wa kiongozi wa Hamas moja kwa moja wameenda peponi
 
Wewe mjinga bora ungekaa kimya hufahamu ushenzi unaofanywa na viongozi dini yako pata darsa kidogo.
>>>>>>>>>>>>>>>>
Mwanasheria Mkuu wa jimbo la Illinois nchini Marekani amewatuhumu makasisi 700 wa Kanisa Katoliki katika jimbo hilo kwamba wamewalawiti watoto, ikiwa ni idadi kubwa mno ikilinganishwa na ile iliyokuwa imetolewa na kanisa hilo huko nyuma.

Katika taarifa, Lisa Madigan amesema Dayosisi ya Kanisa Katoliki katika jimbo hilo ilikiri kuwa makasisi na mapadri wake 185 tu ndio wamewalawiti watoto, huku ikificha kwa makusudi majina 500 ya viongozi wa kanisa hilo walioshiriki vitendo hivyo vya ufuska.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Nipo pale nimrejibanza nakunywa kahawa na kashata ukimaliza kusoma nistue nikupe zingine.
 
Wamewekwa kwenye target na nani au wale walevi walio mashimoni
 
Kama ulikuwa hujui ukifa shahidi wewe moja kwa moja peponi hii ndo raha ya uislam

Hao watoto wa kiongozi wa Hamas moja kwa moja wameenda peponi
Bas wakiuliwa watulie wasitie huruma, na kwann wengine wamejificha kwenye mahandaki na kule Qatar au wao hawataki pepo?
 
Revenge serve no purpose. Both ways need to understand that. The vicious circle of killing will not end untill one side agree to stand down and sometimes, it need a strong heart to admit defeat. I wish the hamas can see how it is causing unnecessary killing. Sit in the table and sometimes, COMPROMISE. When we conduct funerals we only need no more than 1.5M of land!
 

Kumbe upo paroko? Kwamba ilikuwa ni kufichama tu? 🤣🤣

Kwa hiyo hapa waliongelea hili jembe?

 
Watoto wa viongozi wa nchi unawaona? Utawapatia wapi? Labda wazururaji wa super market walikuwa ni akina Sasha na Maria Obama. Hata hao watoto wa Ismail Haniyeh basi hawakuchukua tahadhari za kuingia kwenye bunker
 
Jipeni moyo ila ndio mnapungua kila siku
 
Kama ulikuwa hujui ukifa shahidi wewe moja kwa moja peponi hii ndo raha ya uislam

Hao watoto wa kiongozi wa Hamas moja kwa moja wameenda peponi
Wewe na Haniya hamtaki kufa mashahidi muone Pepo na Bikra 72?

Huu ujinga mwingine kama ni kweli upo kwenye mafundisho ya dini basi kazi ipo.
 
kwanin yeye kachimba ? msala kaachia wenzie ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…