Pre GE2025 Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna ka mchomali humu jf kalivuka mipaka na kusema eti hii ardhi yao😂😂😂 haya sasa bishana na wakulungwa .... na msako wa nyumba kwa nyumba uanzwe kutoa hivyo vipaka pori vinavyo chochea ugaidi maana wanakuaga na siri zao hao mixer long term plans , udhibiti ufanyike kwa hawa watu wa itikadi kali maana tutakao umia ni sisi raia wazawa na wazelendo wa nchi yetu. Tunapenda kula kwa kutabasamu na utulivu sio kukimbia kimbia kama walivyozoea wao!!!
 
Wakati huo Vyombo vya habari vilikuwa vinaweza kupaza sauti na kuiokoa Tz.

Kwa sasa wacha tuendelee hivi hivi.
 
Ficha ujinga wako.
 
Wahamiaji haramu hujipenyeza kwanza kwenye vyombo vya usalama, vyama tawala na ukaribu/urafiki na familia za viongozi.
Changamoto kubwa huwa ipo hapo (siyo kwa Tanzania tu).
Hata hivyo, viongozi waovu huwapenda na huwatumia kuwadhibiti wazawa.
Jambo la muhimu ni raia kujitambua na kuwatambua wageni pia kuwatendea haki katika hadhi yao ya ugeni au ukimbizi.
Niliandika sehemu wanapolenga au kupitia;
1. Vyombo vya usalama
2. Vyama tawala
3.Ukaribu na viongozi au familia zao

Matokeo yake = teuzi na baadaye kutawala nchi.
 
Statement ina maswali mengi kuliko majibu wanaashiria nini haswa.

Wamejuaje kuna watu wana nafasi serikalini wakiwa wakimbizi? Wakati statement kama hiyo ulitegemea kutolewa na uhamiaji.

Je wakimbizi wakipewa uraia awaruhusiwi kufanya kazi serikalini au kushiriki siasa.

Je kuna mienendo ya watu walikuwa inawafuatulia katika uchunguzi wao wakabaini hawana makaratasi sahihi ya kushika hizo nafasi

Je wanaashiria uhamiaji inatoa uraia kirahisi without due processes.

Je wanaashiria ni rahisi kupata vitambulisho na huko serikalini hawana system nzuri ya ku-very background ya watu.

Ni statement tata sana with ‘fuzzy logic’ conclusion.
 
Daah Jeshi nao wanalia kuwa Wakimbizi wapo kwenye maamuzi nilitegemea kwa Mamlaka yao wafanye kazi na Uhamiaji tu ila pia ni ngumu kuwatoa wana Siasa waliochimba mizizi mikubwa..
 
Kuna mwaka siukumbuki CFD waliwahi kutangaza kuwa kamanda wao wa jeshi upande wa tehama alitoweka kusiko julikana, ikasemekana kuwa yawezekana alikuwa siyo m tz karudi kwao sjui nchi gani. Hadi leo labda jeshi tu ndo wanajua ukweli wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…