Pre GE2025 Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yani utayari huu unapelekwa JWTZ? Kwanini sio wizara ya mambo ya ndani?
Sasa naelewa kwanini CHADEMA wanataka kuandamana.
 
Na inawezekana they mean biznes kulisema hadharan maana wangeweza kuli communicate internally tu.. sasa kuliweka public inaweza ikawa ni message intended to be delivered kwa wahusika..either humu ndani au huko nje
Soyo siri kuwa Kagame ametumia nguvu kubwa ku infiltrate vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Hii nchi inapaswa kuiga mfano wa Marekani na Canada. Marekani haina mwenyeji wa asili tena zaidi ya Red Indians ambao kimsingi waliuawa wengi ama kupiungua wenyewe baada ya kukosa uhuru na huduma za msingi. Canada pia kila baada ya muda inapokea wahamiaji wa hiari na wanapewa uraia.

Tanzania karibu kila kabila imetoka nchi nyingine. Cha msingi kwa maoni yangu ni kuwa na Katiba nzuri na Sheria nzuri. Then hata mhamiaji anapewa majukumu na atatekeleza kwa mujibu wa Sheria.
 
Huyo hajawahi kuwa mkimbizi yeye wala wazazi wake, wala babu na bibi zake.
 
Tulia Mzee,

CDF kasema bado wanatafakari kwanza ili kupata namna bora ya kuwaondosha ama kuwahamisha hapa nchini.
Kwa hiyo wewe, ndugu na jamaa zako mjiandae soon kuwa deported mpaka nyumbani kwenu.
 
Mbaya zaidi public inaona wazi hampo pamoja
 
Unamtukana nani sasa ?
 

..Cdf kusema wakimbizi wanateuliwa nafasi za maamuzi maana yake analaumu vetting system na mamlaka za uteuzi nchini.
 
Kwa Katiba hii ya Kwetu hata Rais akiwa Mkongo anaweza kuteua wakondo wake na akajaza baraza lote la Mawaziri na wakurugenzi wa mashrika na hatuna cha kufanya na ukihoji unapotea au kupigwa kesi ya Ugaidi unafia jela.
 
Huyo hajawahi kuwa mkimbizi yeye wala wazazi wake, wala babu na bibi zake.
Sheria zetu ziko wazi Utaifa wa Kuzaliwa, wa kujiandikisha na wa kuhamia.
Hapa tz as long as wewe ni supporter wa chama kubwa Hakuna anayekuda Cheti cha Kuzaliwa cha Bibi yako wala Babu yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…