Pre GE2025 Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

Pre GE2025 Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na tufanye nini sasa kuondokana na hii kadhia? Maana wasije gusa unyeti wa Nchi tukangamia kama kuku hapa. Usalama kwanza Maslahi ya chapa na nmtu binafsi pembeni.
Chakufanya ni kuendesha nchi kwa utawala wa sheria. Mamraka yote ya rudi kwa wananchi. Hapo hata mgeni akipewa uraisi haita kuwa na shida kwani atafuwata sheria za nchi na kama akikosea wananchi watamuondowa kwa kura. Siku zote maamuzi ya wengi ni maamuzi ya ki Mungu pia ni ya haki.
 
Kama wapo kwenye nafasi kubwa za maamuzi nini kifanyike juu yao?
Na hao ni waliofahamika, je kuna uhakika gani hao waliofahamika tayari wameshaweka mapandikizi yao huko kwenye ngazi za chini za maamuzi?

Siku zote haya yanasemwa ila leo CDF kusema mwenyewe ni hatari!
 
Wapo wengi Sana kuanzia bashe,mpango na dotto biteko
Wanaweza kuwa wazalendo zaidi ya wanaojiita wazawa
Hujui Africa kuna silaha wanapewa majambazi na kwenda kufanyia uharamia?
Wanaokula Rushwa maofisini ni kina nani?
Wanaobambikia kesi watu ni nani?

Kuna watu wanaiba hela za miradi mabilioni ila huoni wamefungua makampuni je umejiuliza hao wazawa wanazipeleka wapi hizo hela ?

Kama wana nia mbaya nazo unajuaje?

Leo mnabaguana mpaka mnawataja walioshika wadhifa tena kwa upendo wao kuingia siasa

Ni mmoja katika milioni ya wasomali ndio utaona kwenye siasa au General mwenye asili ya Rwanda au Zambia lakini babu zao walikuja miaka 100 iliyopita
Sasa kuna watu humu wengi sana asili zao sio hapa ila kwa kuwa ni wabantu hawajisemi kwa woga

Ila wenzetu mbona wanasema asili zao kama Biden ambae ni Irish?
Ila wabongo waoga kwanini
Kwani ukisema asili yangu Zimbabwe nani atakurudisha kwenu
 
Ameongeza kuwa imebainika baadhi ya Waomba Hifadhi au Wakimbizi au familia zao wameteuliwa Serikalini katika nafasi zenye maamuzi.
 
Wanaweza kuwa wazalendo zaidi ya wanaojiita wazawa
Hujui Africa kuna silaha wanapewa majambazi na kwenda kufanyia uharamia?
Wanaokula Rushwa maofisini ni kina nani?
Wanaobambikia kesi watu ni nani?

Kuna watu wanaiba hela za miradi mabilioni ila huoni wamefungua makampuni je umejiuliza hao wazawa wanazipeleka wapi hizo hela ?

Kama wana nia mbaya nazo unajuaje?

Leo mnabaguana mpaka mnawataja walioshika wadhifa tena kwa upendo wao kuingia siasa

Ni mmoja katika milioni ya wasomali ndio utaona kwenye siasa au General mwenye asili ya Rwanda au Zambia lakini babu zao walikuja miaka 100 iliyopita
Sasa kuna watu humu wengi sana asili zao sio hapa ila kwa kuwa ni wabantu hawajisemi kwa woga

Ila wenzetu mbona wanasema asili zao kama Biden ambae ni Irish?
Ila wabongo waoga kwanini
Kwani ukisema asili yangu Zimbabwe nani atakurudisha kwenu
Ajabu kweli anaongelea watu ambao wazazi wao waliingia nchini toka 1972 hao watoto zao na wajukuu zao warundi tena. Si washakuwa watanzania.

Embu wapunguze kunyanyapaa watu kisa babu zao walikuja kama wakimbizi.
 
Kama wapo kwenye nafasi kubwa za maamuzi nini kifanyike juu yao?
Na hao ni waliofahamika, je kuna uhakika gani hao waliofahamika tayari wameshaweka mapandikizi yao huko kwenye ngazi za chini za maamuzi?

Siku zote haya yanasemwa ila leo CDF kusema mwenyewe ni hatari!
Kuna Arabs of Latin America walienda huko 19 century na kuna nchi 11 waliwachagua Marais wenye asili yakiarabu huko
Ila unaweza wakawa wakuja na wakafanya vizuri kuliko wanaojiita wananchi

GCC wameajiri wa Sudan, Wasomali kwenye majeshi yao mpaka ukienda kama UAE na Qatar mpaka police na traffic ni wamo wengi tu ila husikii hata siku moja wakilalamika kuwa wameiba silaha au wanataka kupindua au usalama wao waarabu upo hatarini
Sisi masikini tunaogopa wakati ndugu zetu wenyewe wanatupiga mizinga kila leo

Nilienda Cairo miaka 35 iliyopita
Nikampa taxi driver $100 alifurahi akaniambia chukua Cairo yote 😄
 
Back
Top Bottom