Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Mkuu Paskal aliwahi sema mishe zake zinampa mpunga kushinda wa kina disiiii! Pia yeye ashazoea kuisha dasam!Pasco, nafasi ya mwisho kwako,dakika za lala salama.
Watu mnaombea sanaHivi Chato iko ndani ya mkoa wa Geita au Kagera?
Muujiza upi MkuuNaona Covid 19 inacheza karibu na Chato. Usije ukatenda Muujiza Eeh Covid 19😄😄
Taarifa haijasema lolote.As usual, tutapewa taarifa kuwa amefariki kutokana na matatizo ya kupumua.
Taarifa za ugonjwa ni siri ya mgonjwa na Daktari. Wewe unachofanya hapa ni kuongea UONGOAcha kupotesha Dc huyu alikuwa akisumbuliwa na kisukari ni wiki sasa alikuwa akisumbuliwa na kisukari icho kwa siku za karibuni kikawa kimezidi kupanda mpaka kufikia 29 ambapo ndio kimepelekea na kifo chake na siyo hiyo korona au kujifukuzia kama unavyo danganya watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona bwana CORONA akiwa na silaha yake SARS anazidi kuchanja mbuga na kufika Geita anasafiri huyu jamaaaa
Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi. .
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
RIP
Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi. .
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Nineteen
Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi. .
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Au ndio vita ya kiuchumiAcha ujinga na utoto utakuwa umetumwa na mabeberu