Vyombo vyote vya usafiri kasoro milango ya magari binafsi vina namna ya kufungua mlango kwa nje lakini iko kitaalam sana. Pengine shujaa aliweza kusoma maelezo ya namna ya kufunguaMilango ya ndege inaweza kufunguliwa Kwa nje pia. Siku nenda hata airport uulize maswali utapata upeo kidogo.
Kweli unachosema mkuu yule majeruhi wa kwanza kuhojiwa ukimsikiliza mpaka mwisho na ukirudi kumsikiliza majaliwa unaona kabisa mlango ulifunguliwa na watu wa ndani majaliwa aliwakuta katika harakati hizo na yeye akahesabika kafungua.simple mbona wakati mhudumu anajaribu kufungua mango wa ndege at the sametime mahalia nae alikuwa ana hangaika kuufungua mlango huo huo hivyo ukajikuta umefunguka. ndo ilivyokuwa
Unaambiwa ni mvuvi ambaye shule aliishia njiani tu... Ina maana hata ndege ndio mara ya kwanza pale majini anaiona... Hiyo elimu kaipata wapi ya kuifahamu ndege na kufungua milango kwa nje.?Vyombo vyote vya usafiri kasoro milango ya magari binafsi vina namna ya kufungua mlango kwa nje lakini iko kitaalam sana. Pengine shujaa aliweza kusoma maelezo ya namna ya kufungua
Mkuu hapo ndipo maswali yanazidi kuongezeka.Unaambiwa ni mvuvi ambaye shule aliishia njiani tu... Ina maana hata ndege ndio mara ya kwanza pale majini anaiona... Hiyo elimu kaipata wapi ya kuifahamu ndege na kufungua milango kwa nje.?
Kwa maelezo ya yule majeruhi wa kwanza kwenye ndege shun ni muhudumu aliyewaelekeza mlango ulipo na kupambana kuufungua na katika harakati za kutoka nje akapoteza maisha ni bahati mbaya amepoteza maisha ila yeye ndio angeelezea vizuri sana hili sakata ilivyokuwa.Pia liangalie la airhostess kuelekeza mlango ulipo wa dharura kisha kuufungua na bado ripoti inaeleza wahudumu wote wamepoteza maisha
Nakumbuka Majaliwa alisema mlango ulikuwa umejam hivyo yeye amesaidia tu kuupiga ili ukubali kufunguka.Kuna manusura alisema mudumu ndie aliyefungua mlango, hapa inawezekana mhudumu alifungua kitasa na aliyekua nje alifungua mlango, kwa aliyekua ndani ni dhahiri mlango ulikua mzito kutokana na presha ya maji, na muda huo pia akili za waliokua ndani ni tofauti na waliokua nje.
Itakuwa kanavuta bangiAchana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa
Ukweli ni kuwa ruban aliufungua mlango wa emergency thus why dogo ilikuwa easy kuufunguaMilango yote ya ndege inafunguliwa kwa nje, lkn ikiwa tu waliofunga nao wako nje ya hiyo ndege. Mfano wakienda kulala ile ndege inaachwa milango wazi??, Jibu hapana, wanafunguaje wao, jibu kuna namna ya kufungua.
Kwa ishu ya dogo, pale tumepangwa, ndege ikifungwa milango yake, na wahusika wakiwa ndani yake ni ngumu kwa mtu wa nje na asiyejua lolote kuhusu ndege akaweza kufungua.
Kumbe story, mnaweza kuisikiliza wote, ila huyu akaelewa hivi na huyu hivi, mimi nilivyo muelewa, yule manusura hakujiokoa kupitia mlango wa dharula uliokua unafunguliwa na muhumu.Kuna manusura alisema mudumu ndie aliyefungua mlango, hapa inawezekana mhudumu alifungua kitasa na aliyekua nje alifungua mlango, kwa aliyekua ndani ni dhahiri mlango ulikua mzito kutokana na presha ya maji, na muda huo pia akili za waliokua ndani ni tofauti na waliokua nje.
YesNaomba kuuliza kwa wenye uelewa. Hivi mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje? Wajuzi wa mambo ya ndege tafadhali.
God's intervention makes impossibles possibleMlango wa ndege kufunguliwa kwa nje,
tena kuvunjwa kwa kutumia kasia. Isitoshe ndege ilikuwa ndani ya maji.
Ni jinsi gani unaweza kupiga mlango mpaka ufunguke na ni ndani ya maji?
Mimi sikatai ila najaribu kuangalia ugumu uliopo.
Nikampungia mkono wa baibai kisha akasema kwaheri ya kuonanaMilango yote ya ndege inafunguliwa kwa nje, lkn ikiwa tu waliofunga nao wako nje ya hiyo ndege. Mfano wakienda kulala ile ndege inaachwa milango wazi??, Jibu hapana, wanafunguaje wao, jibu kuna namna ya kufungua.
Kwa ishu ya dogo, pale tumepangwa, ndege ikifungwa milango yake, na wahusika wakiwa ndani yake ni ngumu kwa mtu wa nje na asiyejua lolote kuhusu ndege akaweza kufungua.
Katapeli Sana kale pumbavu kabisa.Achana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa
Mlango wa ndege wa aftatu hufunguka hata ukiloa na mvuaKwa Ndege zinazokuja futuhi inawezekana,
Jamaa alikuta kufuri la Solex na kitasa,
Ushahidi👇View attachment 2413797
Akavunja👇View attachment 2413798
AKA YA Majaliwa anakuambia mtaani anajulikana kama "Maja Mnyama." Dogo sound nyingi alafu hizo pesa anazopewa ingekuwa vizur angewapa na marafiki zake waliokuwa wote kwenye pirika za uokozi.Achana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa
All in all watu wameokolewa na wengine wamekufa tusubiri ripoti ya uchunguzi.Msitumie kanuni hii kwa kubisha scenario ya dogo,kumbuka ndege ilikuwa imeanguka imevunjika mifumo mingi kama inavyoonekana haikuwa katika hali yake ya kawaida.
Kama ingekuwa nzima ilikuwa ni uchizi hata kufikiria kuvunja tu achia mbali kuvunja na kasia,vioo vya ndege sio kama vya kabati la vyombo,ukizingatia ilikuwa ndani ya maji,hapo isingewezekana kabisa.
but tuzingatie ndege ilikuwa imecrash.
wewe ndio utulize kichwa,unadhani ni jambo jepesi mtu kufungua mlango wa ndege ndani ya maji bila msaada kutoka nje???Milango ya ndege hutumia Mannually mzee. Tuliza kichwa hiko utagundua dogo ni fix tu