Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

Ila CHADEMA wapuuzi sana. Mnajivunia kutumbua mihela ya ruzuku kwenye mahoteli ya kifahari huku chama hakiwezi hata kupangisha achilia mbali kujenga ofisi nzuri?

Huyo unayesema aliwahi kuwa meya wa sijui wa Ubungo miaka yote na asijue mmiliki wa ukumbi ulio katika eneo lake ni takataka kabisa.
CCM mataahira sana, Chadema haichukui ruzuku hata senti moja
 
Kuna watu siasa haziendani nao wanforce tu.
Jitu kuubwa tumbo kulee linapiga makelele kunyimwa lunch.
Huyo jamaa kila siku ndio mleta vurugu kwenye kila vikao viwe chandema au vingine.
Eti X -Mayor matako ya mbuzi.
Jitu kuubwa akili kama punje ya mchele.
Taguta kazi zingine we we bongenyanya k vant na minyama haisaidii kitu.
Utakuwa umekalia kitu kigumu chenye ncha butu na kimezama kabisa uvinza,siyo Kwa povu hili kama umefakamia Omo
 
Wanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.

Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
Pumba tupu. Kuna aliekukataza wewe usiwe mwanasiasa asiyetafuta maslahi? Wenzako wanapitia tanuru la moto halafu wewe umekaa nyuma ya keyboard tu unaandika utumbo. Ingia uwanjani tukuone.
 
Pumba tupu. Kuna aliekukataza wewe usiwe mwanasiasa asiyetafuta maslahi? Wenzako wanapitia tanuru la moto halafu wewe umekaa nyuma ya keyboard tu unaandika utumbo. Ingia uwanjani tukuone.
Achana na viumbe wa sampuli hiyo aisee!Huwa vinaongea kishujaa utadhani kichwani kuna kitu kumbe bure beleshi!
 
Leo yamebaki mafuvu tu utadhani siyo yule aliyejifanya Mungu mtu.
Hahaha! Hata mafuvu hamuna pale, yalishaungua moto na majivu Leo ni udongo mtupu; eti Jiwe? Jiwe mama yake ambaye miaka 6 sasa anapumulia mashine!
 
Tatizo ni kwamba kila baya au kosa lililofanyika awamu ya tano uhusishwa moja kwa moja na Jiwe, tofauti na sasa ambapo mazuri yote ndio uhusishwa nayo Samia ila mabaya ni ya wasaidizi wake ama ameshauriwa vibaya au hajui.
 
Anaandika Boniface Jacob ambaye alikuwa Meya wa Ubungo na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, aisee inaonekana wafanyabishara wote wa ndani na wa kigeni walikuwa wakimuogopa Magufuli isipokuwa mmiliki wa Mlimani City kama anavyoandika Boniface Jacob hapa
================

ZAMA ZILE ZA GIZA kumbi nyingi sana Dar es Salaam ziligoma Kupokea Pesa za Chadema Kwa ajili ya Kukodi Kumbi za Kufanyia mikutano ya Kamati kuu 2016 Kuelekea Operation Ukuta Giraffe Hotel wao Katikati ya Kikao Walifuatwa na Magari ya Polisi, Wakaturudishia pesa zetu tuondoke

Basi tukavunja Kikao wakiwa wameshapika Chakula cha Wajumbe na Break fast, Ila wakarudisha pesa zote Tiffany Diamond, Wao Siku ya Kikao cha Kamati kuu,Waligoma Kufungua Ukumbi Kufuatia Vitisho walivyo pokea kutoka Serikalini, Wakaturudishia pesa zetu, tukatafuta Kumbi Nyingine

2017 Double Tree Hotel wao Walipokea pesa za Chadema Kwa ajili ya Kikao cha Kamati Kuu Siku 3 ila Baada tuh ya Kikao cha Siku ya Kwanza Kesho yake wakaomba tusi rudi tena pale Hotelini Kwao
Kufuatia Vitisho walivyopokea kutoka Serikalini

Siku Moja Week end baada ya Vikao pia tukaenda Hotel Moja Masaki Kupumzika na Kupata Chakula na Kinywaji Wao Wahudumu Walikatazwa kabisa Kuja kutusikiliza Mezani Kwetu,Tulipo kuwa wakali Meneja alituambia Maboss zake Wahindi Wametuona tukiwa tunaingia Wameogopa sana Ukaondoka

Wamiliki wa Kumbi moja tuh ya Mlimani City hadi Leo hatujui kwanini Walikuwa wanajiamini sana Mara zote Walipokea pesa na Wakatupatia Ukumbi Chadema,Serikali ilipofika kuwatisha Walikuwa Wanatoa akaunti namba za Benki,Serikali iweke pesa zote za Kuwa rudisha Chadema

Mwaka 2019 Ukumbi Wa Mlimani City pakiwa pamepambwa na bendera za Chadema,Serikali Walifika tena Kuwatisha ili tunyimwe Ukumbi, Jamaa wa Katoa Akaunti ya Benki Waingize pesa ili wao wavunje Mkataba na Chadema Kwahasira Serikali ilirudi Mida ya Saa 5 Usiku ikiwa na Polisi wengi

Polisi wakazingira Ukumbi Mlimani City,Usiku Ule Wajumbe wa Mkutano Mkuu waliokuwa Dar es Salaam tukahamasishana Kuja Mlimani City Wanachadema Walipojaa,Polisi Walitoka nje ya eneo la ukumbi kwahasira walipiga Mabomu wakaondoa Bendera zote za Barabarani pamoja Mgambo wa Jiji

Kwa Mabomu yale nilifikiri sasa Wamiliki wa Ukumbi Wa Mlimani City Wataingia Uoga, Siku Nyingine hatutopewa tena Ukumbi Tulienda tena 2020 kukakodi Ukumbi tulijua watagomea, Walaah hata hawakuuliza Maswali, Walipokea pesa wa Katoa Ukumbi, Tukampitisha Lissu kama Mgombea Urais

Nimeitoa TwitterView attachment 2252605

Kwa kifupi ni kwamba haya yalikuwa hayamhusu Magufuli wala hakuwatuma, walikuwa wanajaribu kumfurahisha, ingekuwa ni agenda ya Magufuli Hakuna namna mngefania vikao Mwabepande
 
Wamewasema kwa kuwasifu.Au haujui kutofautisha?Uzuzu wa kurithi huo.

"Mlimani city walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuri hivi? inamilikiwa na nani?"...

Hiyo ndio heading ya habari, heading ya habari ndio habari yenyewe...

Wapi Meya Jackob ametoa shukrani na kuwasifia Mlimani City zaidi ya kushangazwa?....
 
"Mlimani city walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuri hivi? inamilikiwa na nani?"...

Hiyo ndio heading ya habari, heading ya habari ndio habari yenyewe...

Wapi Meya Jackob ametoa shukrani na kuwasifia Mlimani City zaidi ya kushangazwa?....
Kusoma haujui ni kweli.Hata content (maudhui) hujui kuchambua?Bure!
 
Wanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.

Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app

Huyo mwenye uso wa mbuzi Yuko wapi siku hizi,hasikiki sana.
 
Back
Top Bottom