[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo ya kijasusi waachieni IDF huku kwetu maigizo mengi mno kuliko uhalisia, sasa hapo Kuna tishio Gani la kiusalama mpaka dume Zima lenye ndevu zake livae hijabu likajichanganye na wanawake tena msikitini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilisikia mlindwaji akimuambia mlindaji amependeza na hayo maushungi
Haha naona umetabasamu sana binti yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mwenyewe sioni mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Onesheni picha ya kidume aliyevishwa juba.
Mbona kika nikiangalia sioni?
Haswaaa daddie!!Haha naona umetabasamu sana binti yangu
wao wanaamini mlinzi anaweza kumlinda vizuri na salama zaidi anapokuwa kwenye nyumba ya ibada kuliko mwenyenzi MunguHII KIDINI IPOJE ????
Rais atalindwa Kwa gharama na mbinu yeyoteImenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
View attachment 3019543
Inashangaza!
Kama sivyo kwanini inaitwa RC badala ya LC?
π π π π π π π πππIla Kaz nyingne hizi hata kama zina Hela hapana unaweza jikuta unavalishwa had chupi ya kike na pedy hvhv Kwa niaba ya boss wako dadekiππ
wanaume tumeumbwa mateso mkuu....Wanaume tuna struggle kweli yaani Hadi tunavaa Dera Ili mradi tulipwe tuu
π·π·π·Kwa ustaarabu upi mlionao bwana mnahangaika na vitu vya kijinga kama hivi?
Hata mi naonaSiasa ndio muasisi wa Dini,msishangae
-Rejea Roman /ottoman empire