Mlinzi wa kiume wa Rais kuvaa juba (vazi la kike) na kuketi msikitini sehemu ya wanawake ni sawa?

Mambo ya kijasusi waachieni IDF huku kwetu maigizo mengi mno kuliko uhalisia, sasa hapo Kuna tishio Gani la kiusalama mpaka dume Zima lenye ndevu zake livae hijabu likajichanganye na wanawake tena msikitini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni sawa ndiyomaana alikaa!!!!.
Kuna kasumba mbaya serikali kutoheshimu utaratibu wa dini ingawa dini usajiliwa na serikali labda ndo maana wanatumia ubabe
 
Ila Kaz nyingne hizi hata kama zina Hela hapana unaweza jikuta unavalishwa had chupi ya kike na pedy hvhv Kwa niaba ya boss wako dadekiπŸ˜‚πŸ˜‚
😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…