Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
lisu kwenye swala la nidhamu yuko hovyo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa msamiati "bwaku"
nakupa masaa 24 uwe umerudisha simu yangu, nitakachokufanya tusilaumianeHuko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.
Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.
Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.
Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!
Hatuendi hivyo hata chembe.
Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.
Tutaangaza mambo mawili.
Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.
Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.
Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.
Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?
Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.
Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.
Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.
Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.
Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.
Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.
Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.
Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.
CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.
Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.
Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?
Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.
Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.
Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Unachanganya mambo....Ndugu Rutashuba Nyuma bandiko lako linaonesha jinsi ulivyo nyuma kama jina lako!! T.L amewashika pabaya, na kwa sasa ndio tumaini pekee walilo nalo Watanzania!
Kama concern yako ni IDADI ya wamasai kule NGORONGORO, hiyo concern ihamishie Zanzibar kwanza, maana ni eneo dogo lenye limitation ya ardhi, lakini idadi ya Wazanzibar wa mwaka 1959 ni ndogo sana ukilinganisha na idadi ya Wazanzibar wa mwaka 2023
Mkuu RutashubanyumaHuko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.
Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.
Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.
Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!
Hatuendi hivyo hata chembe.
Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.
Tutaangaza mambo mawili.
Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.
Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.
Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.
Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?
Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.
Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.
Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.
Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.
Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.
Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.
Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.
Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.
CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.
Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.
Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?
Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.
Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.
Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
CrapTuwekee hapa mfano wa kauli zake za kuropoka
Mada za kipuuzi hizi.Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.
Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.
Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.
Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!
Hatuendi hivyo hata chembe.
Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.
Tutaangaza mambo mawili.
Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.
Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.
Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.
Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?
Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.
Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.
Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.
Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.
Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.
Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.
Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.
Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.
CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.
Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.
Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?
Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.
Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.
Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Imeingia hiyo....Tafuta mume wewe unapitwa na vingi!!
Wenzio wake zetu hawana hasira kama wewe.
Hujajibu hoja yake....ni kubwa zaidi ya kichwa chako [emoji1787]Unampangia wew kama nani chawa au au umetumwa mwambie alie kutuma ashindwe na alegee ikiwezekana afe kibudu[emoji706]
Uropokaji....Yaani umesimuliwa kuwa anaropoka na wewe unakurupuka na kudakia hicho kiitikio cha kwamba anaropoka.
Hebu lete yoyote kati ya statements alizowahi kuzitoa Lissu utwambia sehemu ambayo ameropoka!?
Badala yake mimi naona wewe ndiyo umekurupuka na kuanza kuropoka vitu ulivyolishwa na wasiopenda kuambiwa ukweli.
Unajifanya kuchambua sheria na Katiba ndiyo unazidi kujidhihirisha ulivyo empty set kichwani. Yaani Katibba mbovu inawezaje ikakupatia sheria imara? Hizo sheria zitalindwa na Katiba ipi? Taasisi zipi?
Kuna Watu yaani mpompo tu kama Moshi wa takataka.
Lissu ni mtu wa mipasho....Na kama yeye yuko karibu na Mh. Rais amwambie awe ana jibu hija na siyo mipasho. Yeye ni Rais wa nchi ajitofautishe na kina Kibajaji
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.
Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.
Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.
Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!
Hatuendi hivyo hata chembe.
Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.
Tutaangaza mambo mawili.
Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.
Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.
Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.
Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?
Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.
Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.
Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.
Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.
Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.
Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.
Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.
Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.
CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.
Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.
Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?
Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.
Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.
Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Mbona wengine wamekubali kwenda Msomera Handeni?!!Ujuaji na arrogance za kijinga kupita maelezo.
Nani amewahi kuwa Rais wa nchi hii ni presidential material zaid ya bla bla zako hapa
Kuna unalolijua kuhusu uhifadhi zaid ya hizo hadithi zako za alfulela ulela.
Aliekwambia kukosoa lazima utoe mbadala ni nani? Serikali haina wataalamu?
Mbadala wa hayo matatizo ni CCM kutoka madarakani.
Kuhusu NCAs aliwambia kuhamisha wamasai ilikuwa sulujisho nani?
Pressure ya conservation ipo NCA pekee?
Unaijua vizur hustoria ya NCA?
Punguza mihemko .
....hana adabu....Ongezea pia wamasai wengi wametoka Kenya wako Ngorongoro na Loliondo na mifugo yao
Hivyo matajiri wengi wako Kenya na mifugo iko Ngorongoro na Lolindo na wamasai wa Kenya wako kibao wameungana na watanzania, hivyo mifugo mingi na wamasai wengi sana karibu 171,000 wako Ngorongoro na Loliondo, hivyo huaribu kabisa uoto wa asili na hifadhi, wanyamapori wanakimbia na hifadhi inabakia ni mifugo tupu na binadamu, tungeacha miaka 4 au 5 baadae tungepoteza kabisa Ngorongoro na Loliondo sbb ingekuwa ni wamasai tupu na mifugo malaki, na hiyo isingekuwa ni hifadhi tena.
Pia ujue NGOs nyingi sana hutumia hao wamasai na mifugo yao kupata fedha ili kujidai wanawasaidia, so kulikuwa na miradi ya watu na wanapata billions of dollar kupitia hizo NGOs, so Serikali yetu imefanya juhudi kubwa sana kuokoa Ngorongoro na Loliondo, nimefika mara 4 huko, hali ilikuwa mbaya sana hao wamasai wakiendelea kukaa huko, kwani wamekuwa wengi mno na mifugo imechukua kila eneo huko, watalii wakija walikuwa wanaona ng’ombe wengi, kondoo wengi, mbuzi, punda na mbwa na wamasai tupu mbugani, hii sio sawa, tungeua kabisa hizi sehemu muhimu sana za utalii
Tundu Lissu acha apayuke payuke tu, hana akili, hajui lolote, yeye anapiga siasa tu, na mtu kama Tundu Lissu ni kosa kubwa sana kukaa nae chini eti mfanye maridhiano, au kuwe na political dialogue nae, ni kitu hakiwezekani, dawa ya Tundu Lissu ni kutumia nguvu hapo atakuelewa, hana hekima wala busara kabisa, anajifanya mbabe sana, so dawa ya mbabe ni kuwa mbabe zaidi yake, hana adabu kabisa.
[emoji2956][emoji2956]Ongezea pia wamasai wengi wametoka Kenya wako Ngorongoro na Loliondo na mifugo yao
Hivyo matajiri wengi wako Kenya na mifugo iko Ngorongoro na Lolindo na wamasai wa Kenya wako kibao wameungana na watanzania, hivyo mifugo mingi na wamasai wengi sana karibu 171,000 wako Ngorongoro na Loliondo, hivyo huaribu kabisa uoto wa asili na hifadhi, wanyamapori wanakimbia na hifadhi inabakia ni mifugo tupu na binadamu, tungeacha miaka 4 au 5 baadae tungepoteza kabisa Ngorongoro na Loliondo sbb ingekuwa ni wamasai tupu na mifugo malaki, na hiyo isingekuwa ni hifadhi tena.
Pia ujue NGOs nyingi sana hutumia hao wamasai na mifugo yao kupata fedha ili kujidai wanawasaidia, so kulikuwa na miradi ya watu na wanapata billions of dollar kupitia hizo NGOs, so Serikali yetu imefanya juhudi kubwa sana kuokoa Ngorongoro na Loliondo, nimefika mara 4 huko, hali ilikuwa mbaya sana hao wamasai wakiendelea kukaa huko, kwani wamekuwa wengi mno na mifugo imechukua kila eneo huko, watalii wakija walikuwa wanaona ng’ombe wengi, kondoo wengi, mbuzi, punda na mbwa na wamasai tupu mbugani, hii sio sawa, tungeua kabisa hizi sehemu muhimu sana za utalii
Tundu Lissu acha apayuke payuke tu, hana akili, hajui lolote, yeye anapiga siasa tu, na mtu kama Tundu Lissu ni kosa kubwa sana kukaa nae chini eti mfanye maridhiano, au kuwe na political dialogue nae, ni kitu hakiwezekani, dawa ya Tundu Lissu ni kutumia nguvu hapo atakuelewa, hana hekima wala busara kabisa, anajifanya mbabe sana, so dawa ya mbabe ni kuwa mbabe zaidi yake, hana adabu kabisa.