Mlio karibu na Tundu Lissu mumkanye aache mara moja kuropoka ropoka!

Mlio karibu na Tundu Lissu mumkanye aache mara moja kuropoka ropoka!

Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
nakupa masaa 24 uwe umerudisha simu yangu, nitakachokufanya tusilaumiane
 
Ndugu Rutashuba Nyuma bandiko lako linaonesha jinsi ulivyo nyuma kama jina lako!! T.L amewashika pabaya, na kwa sasa ndio tumaini pekee walilo nalo Watanzania!

Kama concern yako ni IDADI ya wamasai kule NGORONGORO, hiyo concern ihamishie Zanzibar kwanza, maana ni eneo dogo lenye limitation ya ardhi, lakini idadi ya Wazanzibar wa mwaka 1959 ni ndogo sana ukilinganisha na idadi ya Wazanzibar wa mwaka 2023
Unachanganya mambo....

Zanzibar ni hifadhi ya wanyamapori ?!!!

Tundu Lissu si tegemeo la watanzania....

Ona alivyo mwongo....

Anasema kuwa MWIBA HOLDINGS imepewa ardhi zaidi ya hekari milioni 2 huko mkoani SIMIYU....sasa ukubwa huo si zaidi ya mikoa 2?!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Mkuu Rutashubanyuma
Umeongea ukweli na pia umechambua vizuri kwa kina.
Lissu hataki kukubali kwamba yeye ana kasoro.hafanyi tafakuri kabla ya kutamka jambo.

Lissu ni mfuasi wa sifa bila kujali athari zitakazotokaba na utafutaji sifa wake.
Yuko radhi kuwavunjia heshima wenzake ili mradi yeye asifiwe kwa walioko mbele yake.kwa ujumla Lissu ni mbinafsi na mtu wa Visasi.
Hana staha ya kiuongozi na kweli sio Presidential Material.Ni bahati tu kwamba yuko kwenye chama ambacho
"Code& Conduct" sio kipaumbele chao.

Kuhusu Ngorongoro pia uko sahihi isipokuwa idadi uliyoitaja ya Wamasai ni ndogo kuliko uhalisia.
Na ni kweli wanatishia uoto wa asili na mali kale zilizohifadhiwa hapo Ngorongoro kwa faida za kiuchumi kupitia utalii na kihistoria na ndio maana pale ni mojawapo ta maeneo ambayo yanaangaliwa pia na kuhifadhiwa na taasisi za kimataifa kama UNESCO,AWF na FZS.
Kuendelea kuwaacha wamasai na mifugo yao kuongezeka ndani ya hifadhi ni hasara kubwa kwa taifa kuliko madhara ya kuwahamishia eneo lingine tofauti na hapo.

Pia uko sahihi kuliona suala la kuwapeleka eneo tofauti na Handeni.
Kwa pale Sonjo, Sale na Digodigo tayari palikwisha kuwa na migogoro ya kugombea ardhi baina ya jamii mbili tofauti za Wamasai na Wasomjo.
Na hata kuwahi kupiteza maisha ya mamia ya watu huko nyuma.
Hivyo ni jambo ambalo halingewezekana....
Lakini ninayo imani kwamba kuna maeneo mengine pembezoni mwa Monduli na Longido ambako ingefaa zaidi kuwa mbadala wa Handeni.
Na pia wangeendelea kuishi na kutengamana na jamii zao za kimasai na kuzidi kuimarisha na kuudumisha utamaduni na Mila zao za kiasili kwa pamoja.
Tofauti na Handeni ambako wanakwenda kuwa jamii iliyoxungukwa na tamaduni tofauti za kisambaa,Kibondei na kizigua.
Naomba niishie hapo kwa sasa!
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Mada za kipuuzi hizi.

'Presidential material' ni anayekwambia uongo kwa sauti nyororo na kukuona wewe ni mpumbavu?

Unaambiwa unatakiwa ufunzwe maana ya Katiba kwa miaka mitatu, ndipo upewe ruhusa ya kuwepo na katiba mpya, tena wanayoitengeneza wao na siyo wewe mwananchi?
'Presidential material' ni mtu anayekiuka katiba, hata hiyo mbovu, halafu anarudi nyuma kukwambia wewe hujui katiba, hadi hapo utakapofunzwa?

Akili za namna hii kama siyo za matope, tuziite kitu gani..
Sijakusoma humo ndani umeandika takataka gani, nimejibu tu kichwa cha mada, na huo mstari ulioanzia mada yako ya kipuuzi.

Nyinyi watu mnaudhi sana, ndiyo maana inalazimu tutumie hizi lugha nzito, mnazoziita nyinyi lugha za kuudhi.

Unanifanyia ushenzi, halafu bado unataka nikunyenyekee, eti kwa vile wewe una cheo huko serikalini?

Hovyo kabisa.
 
Yaani umesimuliwa kuwa anaropoka na wewe unakurupuka na kudakia hicho kiitikio cha kwamba anaropoka.
Hebu lete yoyote kati ya statements alizowahi kuzitoa Lissu utwambia sehemu ambayo ameropoka!?
Badala yake mimi naona wewe ndiyo umekurupuka na kuanza kuropoka vitu ulivyolishwa na wasiopenda kuambiwa ukweli.
Unajifanya kuchambua sheria na Katiba ndiyo unazidi kujidhihirisha ulivyo empty set kichwani. Yaani Katibba mbovu inawezaje ikakupatia sheria imara? Hizo sheria zitalindwa na Katiba ipi? Taasisi zipi?
Kuna Watu yaani mpompo tu kama Moshi wa takataka.
Uropokaji....

Mwiba holdings imehongwa hekari zaidi ya milioni 2 huko Simiyu [emoji1787][emoji1787]

Hekari milioni 2 ni mkoa mmoja?!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Na kama yeye yuko karibu na Mh. Rais amwambie awe ana jibu hija na siyo mipasho. Yeye ni Rais wa nchi ajitofautishe na kina Kibajaji
Lissu ni mtu wa mipasho....

Eti Mwiba Holdings imehongwa zaidi ya hekari milioni 2 huko Simiyu....Sasa hekari zaidi ya milioni 2 si zaidi ya mikoa miwili?!! [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.


Ongezea pia wamasai wengi wametoka Kenya wako Ngorongoro na Loliondo na mifugo yao

Hivyo matajiri wengi wako Kenya na mifugo iko Ngorongoro na Lolindo na wamasai wa Kenya wako kibao wameungana na wamasai wa Ngorongoro na Loliondo, na huwezi wajua yupi wa Tanzania au Kenya, wanaitana na kukaa huko, na kuhamia kiharamu, illegal kabisa, na huwezi wajua hao wamasai, hivyo mifugo mingi na wamasai wengi sana karibu 171,000 wako Ngorongoro na Loliondo, hivyo huharibu kabisa uoto wa asili na hifadhi, wanyamapori wanakimbia na hifadhi inabakia ni mifugo tupu na wamasai, tumshukuru sana Mama Samia na serikali yake, tungeacha miaka 4 au 5 baadae tungepoteza kabisa Ngorongoro na Loliondo sbb ingekuwa ni wamasai tupu na mifugo malaki, na hiyo isingekuwa ni hifadhi tena. Mama Samia aliona hili na hakurudi nyuma, Mungu mlinde mama huyu, kwani miaka michache tusingekuwa na Ngorongoro na Loliondo.

Pia ujue NGOs nyingi sana hutumia hao wamasai na mifugo yao kupata fedha ili kujidai wanawasaidia, na hizo NGOs ziko Kenya na Arusha, so kulikuwa na miradi ya watu na wanapata billions of dollars kupitia hizo NGOs, so Serikali yetu ya Mama Samia, imefanya juhudi kubwa sana kuokoa Ngorongoro na Loliondo, nimefika mara 4 huko, hali ilikuwa mbaya sana hao wamasai wakiendelea kukaa huko, kwani wamekuwa wengi mno na mifugo imechukua kila eneo huko, watalii wakija walikuwa wanaona ng’ombe wengi, kondoo wengi, mbuzi, punda na mbwa na wamasai tupu mbugani, hii sio sawa, tungeua kabisa hizi sehemu muhimu sana za utalii, hivyo tuunge mkono kwa nguvu zote wamasai watolewe huko, kwani si mara ya kwanza Serikali kuhamisha wananchi wake kuokoa sehemu husika au kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa letu, kwani wamasai ni nani?

Tundu Lissu acha apayuke payuke tu, hana akili, hajui lolote, yeye anapiga siasa tu, na mtu kama Tundu Lissu ni kosa kubwa sana kukaa nae chini eti mfanye maridhiano, au kuwe na political dialogue nae, ni kitu hakiwezekani, dawa ya Tundu Lissu ni kutumia nguvu hapo atakuelewa, hana hekima wala busara kabisa, anajifanya mbabe sana, so dawa ya mbabe ni kuwa mbabe zaidi yake, hana adabu kabisa, hatuwezi poteza World Cultural Heritage za Ngorongoro Loliondo kisa wanasiasa wapuuzi kama Tundu Lissu.

Mama Samia usirudi nyuma hata kidogo, moto ni ule ule na ongeza moto zaidi na watakuelewa kuhusu Ngorongoro na Loliondo, akina Tundu Lissu achana nao ni wapuuzi wakubwa.
 
Ujuaji na arrogance za kijinga kupita maelezo.

Nani amewahi kuwa Rais wa nchi hii ni presidential material zaid ya bla bla zako hapa

Kuna unalolijua kuhusu uhifadhi zaid ya hizo hadithi zako za alfulela ulela.
Aliekwambia kukosoa lazima utoe mbadala ni nani? Serikali haina wataalamu?

Mbadala wa hayo matatizo ni CCM kutoka madarakani.

Kuhusu NCAs aliwambia kuhamisha wamasai ilikuwa sulujisho nani?
Pressure ya conservation ipo NCA pekee?
Unaijua vizur hustoria ya NCA?

Punguza mihemko .
Mbona wengine wamekubali kwenda Msomera Handeni?!!

Ni wapumbavu?!!

Ngorongoro ni turathi ya dunia....pia ni ya watanzania na si wamasai tu....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mambo yanashangaza sana....

Hivi ndugu zetu wakurya wangeachwa wafuge mifugo humu mijini ingekuwaje ?!!!

Kila kitu kina utaratibu wake.....

Ni rahisi kuipoteza hifadhi kwa sababu ya wingi wa mifugo....tena mifugo yenyewe ikiwa ni ya watanzania na ya wakenya.....

Tundu Lissu hana hoja[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sidhani km kuna mwenye uwezo wa kumwambia hata kama ingekuwa kweli! Hahaa!
 
Ongezea pia wamasai wengi wametoka Kenya wako Ngorongoro na Loliondo na mifugo yao

Hivyo matajiri wengi wako Kenya na mifugo iko Ngorongoro na Lolindo na wamasai wa Kenya wako kibao wameungana na watanzania, hivyo mifugo mingi na wamasai wengi sana karibu 171,000 wako Ngorongoro na Loliondo, hivyo huaribu kabisa uoto wa asili na hifadhi, wanyamapori wanakimbia na hifadhi inabakia ni mifugo tupu na binadamu, tungeacha miaka 4 au 5 baadae tungepoteza kabisa Ngorongoro na Loliondo sbb ingekuwa ni wamasai tupu na mifugo malaki, na hiyo isingekuwa ni hifadhi tena.

Pia ujue NGOs nyingi sana hutumia hao wamasai na mifugo yao kupata fedha ili kujidai wanawasaidia, so kulikuwa na miradi ya watu na wanapata billions of dollar kupitia hizo NGOs, so Serikali yetu imefanya juhudi kubwa sana kuokoa Ngorongoro na Loliondo, nimefika mara 4 huko, hali ilikuwa mbaya sana hao wamasai wakiendelea kukaa huko, kwani wamekuwa wengi mno na mifugo imechukua kila eneo huko, watalii wakija walikuwa wanaona ng’ombe wengi, kondoo wengi, mbuzi, punda na mbwa na wamasai tupu mbugani, hii sio sawa, tungeua kabisa hizi sehemu muhimu sana za utalii

Tundu Lissu acha apayuke payuke tu, hana akili, hajui lolote, yeye anapiga siasa tu, na mtu kama Tundu Lissu ni kosa kubwa sana kukaa nae chini eti mfanye maridhiano, au kuwe na political dialogue nae, ni kitu hakiwezekani, dawa ya Tundu Lissu ni kutumia nguvu hapo atakuelewa, hana hekima wala busara kabisa, anajifanya mbabe sana, so dawa ya mbabe ni kuwa mbabe zaidi yake, hana adabu kabisa.
....hana adabu....

Unawezaje kuingia makubaliano na mtu asiye na heshima ,utu na mjuaji zaidi ya kila mmoja wetu ?!!!!

Mashabiki wa TL ni mazombi.....[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ongezea pia wamasai wengi wametoka Kenya wako Ngorongoro na Loliondo na mifugo yao

Hivyo matajiri wengi wako Kenya na mifugo iko Ngorongoro na Lolindo na wamasai wa Kenya wako kibao wameungana na watanzania, hivyo mifugo mingi na wamasai wengi sana karibu 171,000 wako Ngorongoro na Loliondo, hivyo huaribu kabisa uoto wa asili na hifadhi, wanyamapori wanakimbia na hifadhi inabakia ni mifugo tupu na binadamu, tungeacha miaka 4 au 5 baadae tungepoteza kabisa Ngorongoro na Loliondo sbb ingekuwa ni wamasai tupu na mifugo malaki, na hiyo isingekuwa ni hifadhi tena.

Pia ujue NGOs nyingi sana hutumia hao wamasai na mifugo yao kupata fedha ili kujidai wanawasaidia, so kulikuwa na miradi ya watu na wanapata billions of dollar kupitia hizo NGOs, so Serikali yetu imefanya juhudi kubwa sana kuokoa Ngorongoro na Loliondo, nimefika mara 4 huko, hali ilikuwa mbaya sana hao wamasai wakiendelea kukaa huko, kwani wamekuwa wengi mno na mifugo imechukua kila eneo huko, watalii wakija walikuwa wanaona ng’ombe wengi, kondoo wengi, mbuzi, punda na mbwa na wamasai tupu mbugani, hii sio sawa, tungeua kabisa hizi sehemu muhimu sana za utalii

Tundu Lissu acha apayuke payuke tu, hana akili, hajui lolote, yeye anapiga siasa tu, na mtu kama Tundu Lissu ni kosa kubwa sana kukaa nae chini eti mfanye maridhiano, au kuwe na political dialogue nae, ni kitu hakiwezekani, dawa ya Tundu Lissu ni kutumia nguvu hapo atakuelewa, hana hekima wala busara kabisa, anajifanya mbabe sana, so dawa ya mbabe ni kuwa mbabe zaidi yake, hana adabu kabisa.
[emoji2956][emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom