Mlio karibu na Tundu Lissu mumkanye aache mara moja kuropoka ropoka!

Mlio karibu na Tundu Lissu mumkanye aache mara moja kuropoka ropoka!

Uropokaji kama huu;

"...Mwiba Holdings imehongwa zaidi ya hekari milioni 2 huko mkoani Simiyu "[emoji1787][emoji1787]

Hekari milioni 2 ni mkoa mmoja ?!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kama wamegawa bandari zote za Tanganyika kwa mwarabu wa Dubai,mbuga za wanyama unashangaa kugawa hekari milioni mbili?

Kama sio hekari milioni mbili tuambia wamemgawia ngapi ili tukuinge mkono.
 
Ukweli husemwa na yeyote....

Ndg.Tundu Lissu anafanyia siasa ndani ya turathi ya dunia.....si suala la wamasai tu....ni la watanzania...maisha yao na utalii....ni la kilimwengu....

Wale waliohamia Msomera Handeni ni wapumbavu ?!!![emoji15][emoji15][emoji1787]

Watu walihamishwa makwao kwenda vijiji vya ujamaa....hili lilikuwa ni la hiyari ?!!!

Tundu Lissu anafanya siasa zake kwa faida ya nani ?!!!!

Alipinga ujenzi wa bwawa la kufua umeme la mwalimu Nyerere kwa sababu dhaifu za uharibifu wa MAZINGIRA....Mbona sababu zilezile ndizo ziko upande wake hapo Ngorongoro?!!!

Hakika hii ni "sarcasm" [emoji1787]



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Acha ujinga, hakuna popote ambapo Lisu alipinga au kuunga mkono ujenzi wa hilo bwawa. Waliopinga ujenzi wa hilo bwawa ni kamati ya Makamba alipokuwa waziri wa mazingira. Usitake kumtuhumu Lisu kwa sababu za kutunga ili kubeba utetezi wako wa kijinga. Hata hivyo hivyo ujenzi wa hilo bwawa unakuwaje wakati CCM walisema umeme wa maji matatizo ni mabadiliko ya tabia nchi?
 
Kama wamegawa bandari zote za Tanganyika kwa mwarabu wa Dubai,mbuga za wanyama unashangaa kugawa hekari milioni mbili?

Kama sio hekari milioni mbili tuambia wamemgawia ngapi ili tukuinge mkono.
Tutafika huko bandarini....

Kwanza umekubali kuwa hekari milioni mbili ni zaidi ya mkoa 1?!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Acha ujinga, hakuna popote ambapo Lisu alipinga au kuunga mkono ujenzi wa hilo bwawa. Waliopinga ujenzi wa hilo bwawa ni kamati ya Makamba alipokuwa waziri wa mazingira. Usitake kumtuhumu Lisu kwa sababu za kutunga ili kubeba utetezi wako wa kijinga. Hata hivyo hivyo ujenzi wa hilo bwawa unakuwaje wakati CCM walisema umeme wa maji matatizo ni mabadiliko ya tabia nchi?
Ni ndugu TL aliyewashawishi wabunge wa CDU wafanye "lobbying" Bundestag dhidi ya ujenzi wa bwawa lile kwa hoja za mazingira....

Unalipinga na hili ?!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Mkuu nashukuru kwa andiko lako murua, wewe ni mmoja kati ya bright minds zilizopo humu JF

Tundu Lissu sio tu kwamba ni mropokaji bali ni mweupe kichwani kuhusu suala la mazingira na hataki kueleweshwa, yaani huyu jamaa ambaye alikua ndio mkosoaji mkubwa wa Magufuli, hana tofauti kubwa na Magufuli katika kujidai anajua kila kitu na kulazimisha mambo ambayo hana ufahamu nayo
 
Mkuu nashukuru kwa andiko lako murua, wewe ni mmoja kati ya bright minds zilizopo humu JF

Tundu Lissu sio tu kwamba ni mropokaji bali ni mweupe kichwani kuhusu suala la mazingira na hataki kueleweshwa, yaani huyu jamaa ambaye alikua ndio mkosoaji mkubwa wa Magufuli, hana tofauti kubwa na Magufuli katika kujidai anajua kila kitu na kulazimisha mambo ambayo hana ufahamu nayo
[emoji106][emoji1787][emoji1666][emoji7][emoji2956][emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Daaah [emoji1787][emoji1787]

Ngorongoro unakufananisha na Katavi ,Burigi na kwengineko ?!!!

Ngorongoro ndiko inakopatikana "caldera" kubwa kuliko zote duniani ,upo ?!!

Ngorongoro ina wanyama wengi ambao sehemu nyingine wametoweka na hawapatikani uko ?!!!

Hivi shule mlikwenda kusomea "upungeeer"?!!!

Haya "napungeeer"[emoji106] ,nawe pungeeer basi....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Punguzeni ulafi pumbavu zenu.
 
Mkuu Rutashubanyuma
Umeongea ukweli na pia umechambua vizuri kwa kina.
Lissu hataki kukubali kwamba yeye ana kasoro.hafanyi tafakuri kabla ya kutamka jambo.

Lissu ni mfuasi wa sifa bila kujali athari zitakazotokaba na utafutaji sifa wake.
Yuko radhi kuwavunjia heshima wenzake ili mradi yeye asifiwe kwa walioko mbele yake.kwa ujumla Lissu ni mbinafsi na mtu wa Visasi.
Hana staha ya kiuongozi na kweli sio Presidential Material.Ni bahati tu kwamba yuko kwenye chama ambacho
"Code& Conduct" sio kipaumbele chao.

Kuhusu Ngorongoro pia uko sahihi isipokuwa idadi uliyoitaja ya Wamasai ni ndogo kuliko uhalisia.
Na ni kweli wanatishia uoto wa asili na mali kale zilizohifadhiwa hapo Ngorongoro kwa faida za kiuchumi kupitia utalii na kihistoria na ndio maana pale ni mojawapo ta maeneo ambayo yanaangaliwa pia na kuhifadhiwa na taasisi za kimataifa kama UNESCO,AWF na FZS.
Kuendelea kuwaacha wamasai na mifugo yao kuongezeka ndani ya hifadhi ni hasara kubwa kwa taifa kuliko madhara ya kuwahamishia eneo lingine tofauti na hapo.

Pia uko sahihi kuliona suala la kuwapeleka eneo tofauti na Handeni.
Kwa pale Sonjo, Sale na Digodigo tayari palikwisha kuwa na migogoro ya kugombea ardhi baina ya jamii mbili tofauti za Wamasai na Wasomjo.
Na hata kuwahi kupiteza maisha ya mamia ya watu huko nyuma.
Hivyo ni jambo ambalo halingewezekana....
Lakini ninayo imani kwamba kuna maeneo mengine pembezoni mwa Monduli na Longido ambako ingefaa zaidi kuwa mbadala wa Handeni.
Na pia wangeendelea kuishi na kutengamana na jamii zao za kimasai na kuzidi kuimarisha na kuudumisha utamaduni na Mila zao za kiasili kwa pamoja.
Tofauti na Handeni ambako wanakwenda kuwa jamii iliyoxungukwa na tamaduni tofauti za kisambaa,Kibondei na kizigua.
Naomba niishie hapo kwa sasa!
Tundu Lissu na Magufuli wanafanana sana, japo wanachukiana sana pia

Wote wanajiona wanajua kila kitu na hakuna anayejua zaidi yao, na wapo tayari kudhalilisha watu ili kujipatia sifa kutoka kwenye kundi la watu
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Mtu mpaka kapigwa risasi mia hajafa..tutamuonya nini mkuu?
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Unasema mara "tungependa kuona..."ungependa kuona na nani? Kwani wenye maoni kama yako mmepiga kura na kuona tofauti iliyopo na wasiokubaliana na wewe? Jisemee mwenyewe hayo ni maoni yako, halafu wewe siyo level ya LISSU.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom