Mlio karibu na Tundu Lissu mumkanye aache mara moja kuropoka ropoka!

Kwanza kwanini utumie TECNO F1 kiongozi [emoji16][emoji1787][emoji1787] wew ni maskini kuanzia akilini hadi chini ya makalio ukijibu basi jua unalambwa na wenzio chawa mkubwa wew
Unatutukanisha waafrika [emoji1787][emoji1787]

Kwa hiyo kipimo cha mizani ya hoja ni simu kuwa ya gharama kubwa ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Kwa hiyo maskini hana hekima wala busara ?!!![emoji1787]

Hivi shule ulikwenda kusomea "ushoouuugeeer"?!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe na Tundu Lissu sioni tofauti, kwa andiko lako unataka kutuaminisha kuwa wewe uko sahihi.
 
Punguza makasiriko
Wewe mmoja huwezi kutufanya wewe ndio mwenye uelewa kuliko WaTz wote.
Usitukeleleshe na kutujazia server.

Weee ndio mropokaji
How about that?

Lissu kanyaga twende achana na wanywa vimpumu

Thread ndeeeefu upulusi mtupu
Uropokaji kama huu hapa;

"...Mwiba Holdings imehongwa zaidi ya hekari milioni 2 huko mkoani SIMIYU [emoji1787]

Ukubwa wa hekari hizo ni eneo la mkoa 1 tu ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]

Mashabiki wa TL ni mazombi...

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mbona wengine wamekubali kwenda Msomera Handeni?!!

Ni wapumbavu?!!

Ngorongoro ni turathi ya dunia....pia ni ya watanzania na si wamasai tu....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Si kweli.
Ngorongoro ni ya Wamasai.
Wamasai wameishi hapo na ndio ecology pekee ambayo wanyama wanachanganyika na binadam bila tatizo wala hatari ya ujangili wa wanyama.
Unaweza nipa sababu tatu za kuwahamisha ukiacha blabla za mazingira ambazo zinatokea kila mahali?
 
Nini haswa maana ya neno "kuropoka" halafu tuanze kujadiliana bila kuhemka.
 
Kwani iwe Ngorongoro na isifanyike Serengeti,Burigi,Same,Tarangire,Mikumi,Katavi,Ruaha na sehemu nyingine zenye hifadhi?
Daaah [emoji1787][emoji1787]

Ngorongoro unakufananisha na Katavi ,Burigi na kwengineko ?!!!

Ngorongoro ndiko inakopatikana "caldera" kubwa kuliko zote duniani ,upo ?!!

Ngorongoro ina wanyama wengi ambao sehemu nyingine wametoweka na hawapatikani uko ?!!!

Hivi shule mlikwenda kusomea "upungeeer"?!!!

Haya "napungeeer"[emoji106] ,nawe pungeeer basi....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe nawe ni "sarcastic"?!! [emoji15][emoji15][emoji1787]

Hivi TL ni mkweli ?!!!

Hapa anasema kuwa ,Mwiba Holdings imehongwa zaidi ya hekari milioni 2 huko Simiyu [emoji1787][emoji1787]

Hekari milioni 2 ni mkoa mmoja?!!!

Kweli amewashika akili....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
huyu maza yenu mwenye diploma ya cherehani ndio presidential material???
Kama ni hivyo hata TL hafai kuwa Rais....vigezo wangeviweka "uprofesa" nguli....

Wewe ni "sarcastic"?!! [emoji1787]

Kweli Tundu Lissu amewashika akili misukure koko [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sisi tunakuonya wewe uache kujitia vidole matakoni kwako!
 
MBona hangaya anaropoka zaidii yake hamumkanyi au kwasababu anadola
 
Mlio karibu na wakuu waambie wao ni custodian wa raslimali za Nchi na sio wauzaji watambue hilo!
 
Uropokaji kama huu;

"...Mwiba Holdings imehongwa zaidi ya hekari milioni 2 huko mkoani Simiyu "[emoji1787][emoji1787]

Hekari milioni 2 ni mkoa mmoja ?!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kabla ya hizo sababu 3 unazonitaka nikupe....kubali Kwanza hoja ya "uharibifu wa mazingira" na kutishia watalii....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…