Mliofiwa na wazazi (mama), mliwezaje kuvuka kipindi hiki?

I lost my dad 2017
I lost my mom 2019
Na Wala hawakuwa wazee
Ni muda tu utakuponya ukae sawa.
Here I am stronger than ever nipo nachapa gwaride because they left a strong daugh

Wapo hai ila usijisifu na kuwakejeli ambao hawana wazaz rafiki
Nitakuwa mjinga wa mwisho duniani kama nitakejeli kwanza naanzaje kufanya hivyo katika umri wangu wa miaka 39
 
Mungu akutie nguvu,yeye tu aweza kukufariji,binafsi sijui hat nilivukaje,Mungu alinisaidia
 
Mama yangu alikufa 1992 alituacha 4 nilipata uchungu nikiwa mtoto mpaka sasa nimekua mama wa watoto 3 ila hapa ninaandika huku nalia. Kwani baada ya hapo nilipotoa changamoto nyingi sana kwani mimi ndio nilikua mkubwa. Kuna maisha fulani huwezi kueleza kwa mtu. Ila sasa nimekua mfanyabiashara mkubwa na wadogo zangu wako vizuri najionea fahari na wadogo zangu kwani ndio tuliofarijiana kwa kipindi chote.
Mama pumzika kwa amani alikufa akiwa na miaka 30
 
Wazazi walioaga dunia

Mithali 6:20-22

[20]Fanya kile baba yako akuambiacho, mwanangu, wala usisahau kamwe yale ambayo mama yako alikufundisha.

[21]Yaweke maneno yao kwako siku zote, yakiwa yamefungwa moyoni mwako.

[22]Mafundisho yao yatakuongozeni msafiripo, yatakulindeni usiku, na yatakushauri mchana.


Pole mkuu, I know how it feel, but with time your wound will heal.
 
Reactions: Ok9
siku mdogo wangu alivyofariki ilinitia huzuni na simanzi sana😭😭.....maadui zangu walitaka kuutumia huo msiba kunimaliza kabisa....kwa sababu kama nisingekaza ningeathirika kisaikorojia ila hilo nililitambua mapemaaa....nilisimama imara kama nilivyosimama imara kipindi cha mwendazake...mwendazake alikuwa amepania kutupoteza kabisa kwenye ramani sisi wasomi watoto wa wakulima tusiokuwa na connection....alitaka wengi wetu tuishie kufanya kazi za hovyoo....alitaka nyuso zetu zipoteze nuru kwa sababu ya kukosa matumaini ya maisha yetu ya baadae.......lakini mungu aliamua kusimama nasisi😢😢😢😢 .....wasomi wote tusiokuwa na connection tupo imara mpaka leo mikono juuuuuuuuuuuuuuuuuu.......mwamba wa miamba wote mikono juuuuu....😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Reactions: Ok9
Faraja pekee ni kusali sana. I have lost a mother too, miaka 6 imepita ila kumove on haiwezekani sababu kila ukipata issue ambazo yeye alikua msaada au mshauri lazima itakusumbua. Kwahyo jambo la kukushauri ni kusali na kukubali tu kuwa mama hauko naye tena. Ila hauwezi kumove on. POLE SANA na Apumzike kwa Amani
 
Binafsi mama yangu ndio alikuwa tegemeo langu kwe2 mambo ya kujikwamua kusaka elimu, wala hakuumwa aliniaga anasafiri akirudi tutaongea vizuri, dah ndio ikawa ntolee iyo.. Miaka 7 sasa bado sijamsahau ni ngumu sana kusahau. Tumshukuru mungu kwa yote.
 
Ebwan hili usiombe likukute... il muhimu nenda kanisani dua na sala utapata faraja maana mtuhani huu mgumu sana
 
Reactions: Ok9
Utalia milele kwenye maisha.... tena hapo mbona hujalia... haijawahi kuzoeleka.

Ila Bora hata wewe umeweza kupost kabla ya mazishi. Wengine hata nguvu za kupost hazikuwepo.... tulikuwa kama wajinga....yani kwa kifupi zaidi ya kupiga na kupokea simu mengine hayakuwezekana.
Pole kwa Kifo cha mama....
 
Pole. Lakini hayo ndo maisha yetu wanadamu, tunakufa/tutakufa lazima. Uwe unasoma Biblia pia na usitafute faraja kwa watu saaana maana nao watakufa. Soma 1Wathethalonike 4:13-18
 
Reactions: Ok9
Simple tu nilikuwa form six nilihandle situation bila wasi
 
Reactions: Ok9
Moshi uko mtoto kaua Mama yake.
 
Pole sana.Mapito juu ya mapito.
 
Reactions: Ok9
Pole sana mkuu wangu. Ila kama ukijihisi kulia lia tu wala usijikaze. It helps much.
 
Reactions: Ok9
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…